Lazaro Nyalandu, Taifa linakutegemea katika hili

Lazaro Nyalandu, Taifa linakutegemea katika hili

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,138
Reaction score
3,077
Awamu ya Tano ya JIWE ulifanikiwa kuongea na Maseneta wa Marekani zaidi ya 20, na ukitaka uwakutanishe na JIWE, lakini JIWE akachomoa betri.

Naamini hili linaloendelea kwako ni jepesi Sana kama Mshauri wa Namba 1 katika masuala ya Diplomasia.

Tunakuomba uokoe Taifa katika hili, naamini wale Seneta wa Marekani ni marafiki zako, utazungumza nao na litaisha

Nawasilisha
 
Awamu ya Tano ya JIWE ulifanikiwa kuongea na Maseneta wa Marekani zaidi ya 20, na ukitaka uwakutanishe na JIWE, lakini JIWE akachomoa betri.

Naamini hili linaloendelea kwako ni jepesi Sana kama Mshauri wa Namba 1 katika masuala ya Diplomasia.

Tunakuomba uokoe Taifa katika hili, naamini wale Seneta wa Marekani ni marafiki zako, utazungumza nao na litaisha

Nawasilisha
Unamdanganya huyo mazafaka. This is a different ballgame altogether. Mtawala hawezi kuchinja maelfu ya raia wake criminally halafu akachomoka kirahisi.
 
JK Hachomoi
Akajibu Sina Nilipochomeka Hivyo Sina Cha Kuchomoa
Ukweli Wa Hilo Jambo Lao Hachomoi
 
Uaji haukubaliki..
ingetosha hata kuuza nchi. Kuliko kuua raia wasio kuwa na hatia.
 
Hana uwezo....HAana maarifa. mtaungua na huu moto
 
CCM imeshatatua mambo hayo!kilichobaki ni utekelezaji TU na muda WA mambo kuwa sawa!!

huyo nyalandu aendelee na mishe zake TU za kula bata!!

Chama kubwa linajua namna ya kuanzisha jambo na litalapoishia!!

Kazi na utu,tunasongambele,

Tuendelee
 
Back
Top Bottom