Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa siku za hivi karibuni Rais Samia amekuwa akisemwa na kuchorwa sana na lawama zote kupewa yeye...
3 Reactions
23 Replies
536 Views
Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana. Karudishwa...
7 Reactions
127 Replies
2K Views
Katika ulimwengu wa siasa za kijiografia na uchumi wa kimataifa, swali kuu limeendelea kuibuka: Kwa nini mataifa mengi ya Afrika yanayofuata masharti ya IMF na Benki ya Dunia hubaki nyuma, huku...
0 Reactions
2 Replies
276 Views
IGP Mstaafu Omar Mahita amesema Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa. "Polisi wanaingiliwa na wanasiasa... ndio maana nikasema mimi wakati wangu hapa challenge yangu ni wanasiasa...
14 Reactions
37 Replies
1K Views
Aliteuliwa na Rais Samia mwaka 2023 kuwa mkuu wa wilaya Mbogwe yeye na mwenzake Maganga wakakataa uteuzi. Jana wamefikishwa mahakamani kwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Je, ni...
9 Reactions
47 Replies
1K Views
Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa. Msifikirie kuficha pesa uarabuni inasaidia wale ni vibaraka wa USA karibu wote. Mkihusishwa na CCM na majanga ya mauaji hakuna...
4 Reactions
25 Replies
471 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa. Mimi...
1 Reactions
13 Replies
325 Views
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
11 Reactions
51 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza kuwa amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama. "Kwa kuwa hii ni mara...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Jamaa alitoa jibu la kitoto sana eti walikubali kuingia kwenye uchaguz ili kupata ushahidi wa kula kutokuheshimika
2 Reactions
22 Replies
519 Views
Pamoja na kuwa bado utakuwa na kibarua kigumu kuhusu yaliyotokea October 29th 2025, bado unaweza kuonesha remorse and a road to a fresh start kwa yaliyotokea 29th October 2025 kwa kumwachia Lisu...
13 Reactions
14 Replies
324 Views
Huu ni upuuzi kama hatujapata nani aliua ndugu zetu! Haki ya waliokufa iko wapi, nani awajibike. Unaleta mambo ya uwanja ili akacheze nani wakati tuko kwenye msiba as of 29th October 2025! STOP...
9 Reactions
32 Replies
586 Views
Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama.. Kesi husika ipo hapa>> Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty...
22 Reactions
23 Replies
640 Views
  • Featured
Wakuu, Heche kupitia mtandaoni ametangaza kifo cha mwasisi wa chama chao CHADEMA, Mzee Edwin Mtei baada ya familia kuthibitisha huku mipango ya mazishi ikiendelea nyumbani kwake Tengeru, Arusha...
31 Reactions
116 Replies
5K Views
Wanabodi, Mimi ni mtu wa mastori mastori hivyo kama wewe sio mtu unaependa mastori mastori just jump this. Self Proclaimed Psychoanalysis Teacher wa Jf Humu duniani kuna daraja mbalimbali...
13 Reactions
51 Replies
5K Views
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, waliofika Ikulu jijini Dar es Salaam, Oktoba 15, 2013. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha...
1 Reactions
6 Replies
224 Views
Licha ya hivyo, Porojo, uzushi na upotoshaji wa seneta Ted Cruz kwa maseneta wenzake, kamwe hauwezi kumshawishi Rais wa Marekani D.Trump, ambae kiukweli nae yuko confused, kuchukua hatua yoyote...
2 Reactions
14 Replies
299 Views
Kuna mambo nchi hii, yanatia kinyaa, yanaleta aibu, na masikitiko makubwa sana. Mtu anasimama na kudai kuwa kemeo la Marekani dhidi ya mauaji ya 29 October 2025, na utekaji wa wanaotetea haki na...
7 Reactions
10 Replies
180 Views
Wakuu Waziri wa mambo ya ndani Patrobas Katambi anawabatiza watu wenye mitazamo mbadala kama "wasaliti" na "choroko zisizoiva," huku akitumia mifano ya kidini kumweka Rais kwenye nafasi ya...
1 Reactions
10 Replies
248 Views
Back
Top Bottom