MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 7,216
- 13,540
Humphrey Polepole ndiye angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
Ameyatimba.Polepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
Mnapenda kuuza mambo Pole pole ni Nani?Polepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
Mhanga wa utekajiMnapenda kuuza mambo Pole pole ni Nani?
Kipindi hiki polepole, january hawa walikuwa na uwezo wa kuzima au kupunguza joto kwa yaliyotokeaPolepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
nonsense sana gentleman 🤣Polepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
Kwenye January ukakasiKipindi hiki polepole, january hawa walikuwa na uwezo wa kuzima au kupunguza joto kwa yaliyotokea
Lakin as usual huwa hawajifunzi hadi matatizo yawakute
Alikuwa na hamu ya kunywa damu yakePolepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
Uzazi wa mpango nimuhimuHalafu jamaa si alikuwa balozi wa Tanzania Cuba??
Kwani aliwahi kurudi??
Babu yako!Mnapenda kuuza mambo Pole pole ni Nani?
kama unao ushahidi wa Samia kuhusika na utekwaji wa Polepole, nitumie PM haraka iwezekanavyo.Polepole ndio angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
waliwaza nini washauri wa Samia... Kweli kuna muda mtu huwa na upofu
Huyu ni binadamu, kama huoni ubinadamu wake ukilinganisha na mambo mazuri alikuwa akishauri wewe ni mpuuziMnapenda kuuza mambo Pole pole ni Nani?
Makonda anajua yoteHalafu jamaa si alikuwa balozi wa Tanzania Cuba??
Kwani aliwahi kurudi??
How?Humphrey Polepole ndiye angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
Hajawahi kujuta kwa vile hajui kituHumphrey Polepole ndiye angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
Kwenye vita wanasemaga don't kill all your enemies...How?