Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hakuna KUCHANA wala KUNYOA nywele mpaka Lisu aachiwe! Wote wapiganaji kuanzia sasa mpaka hapo atakapo achiwa LISU ndiyo mtindo wa kutunza Nywele. HAKUNA KUCHANA WALA KUNYOA NYWELE KICHWANI.
6 Reactions
19 Replies
386 Views
Nashauri katika Yale majimbo yenye ushawishi mkubwa wa Upinzani, basi wabunge wa majimbo hayo waachie ngazi kwa kujiuzulu nafasi zao za ubunge uchaguzi ufanyike na upinzani ushinde. Mfano: Jimbo...
2 Reactions
10 Replies
386 Views
The Lord is near to the brokenhearted and saves the crushed in spirit. He gives strength to the weary and increases the power of the weak. I urge… that petitions, prayers, intercession and...
13 Reactions
29 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania (JMAT) Taifa, Sheikh Alhad Mussa Salum ameitaka Serikali ya Marekani kuwakemea maseneta wawili waliosema kuwa Tanzania si salama na kuwa baadhi ya dini...
3 Reactions
23 Replies
549 Views
Mbunge wa Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu akichangia hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje leo Mei 26, 2026, Bungeni Dodoma "Ni Rais huyu Daktari Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani jambo la...
0 Reactions
9 Replies
215 Views
Tupo tunatazama! Huu mpambano uendeshwe Kwa tahadhari, maana kuna watu wanaanza kuingiza agenda zisizofaa. Gwajima ni mtu anayependa kushindana na kushinda. Kwa kushindana huchukulia kama...
30 Reactions
93 Replies
4K Views
CCM IMETESA SANA WATANZANIA na wamefikia mahali wanaona hawagusiki wameuwa sana watu na kusingizia watu kesi za uongo. Wanaona TUNDU LISSU ni kitisho kwao hivyo wanatafuta namna ya kumsilimisha...
21 Reactions
30 Replies
709 Views
Niliandika hapa, Na Sijui kwanini CCM mnashindwa kuzitambua Signals ambazo zinatumwa na Wanademokrasia Duniani. Ipo Wazi, Dunia ya Ujamaa ilishindwa na HAITAKAA kushinda ,Iwe MCHINA kaungana na...
79 Reactions
239 Replies
13K Views
EID AL ADHA MUBARAK Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwatakia Waislam na Watanzania wote sikukuu njema ya Eid. Tusherehekee sikukuu hii kwa...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Akihojiwa na vyombo vya habari mitandaoni, Mamluki huyo ametamba kwamba yeye ni Taasisi na ni Mkubwa kuliko Chadema. Ikumbukwe kwamba Yericko hana Cheo chochote CHAUMA Bali ni mbeba begi wa...
11 Reactions
31 Replies
624 Views
TUACHE PROPAGANDA JUU YA UHAI WA WATANGANYIKA. Hakuna Taifa linalotuonea wala kutuingilia mambo yetu ya ndani kinyume na Sheria za Kimataifa. Yanayotupata leo yanatokana zaidi na ujinga wetu...
10 Reactions
4 Replies
232 Views
Bora mganga wa kienyeji kuliko Hakimu au Jaji(judge) Hapo vip! Kuna wosia wa huyu Mzee Lonyamali Abraham Laizer Mzee huu ni miongoni mwa wale matajiri wa wazamani waliofanikiwa kwa nafasi yake...
11 Reactions
55 Replies
1K Views
Mungu wabariki Wazungu ,wabariki sana sana sana , waendelee kuwepo Hapa Duniani na wazidi kua na Nguvu !!. Wakuu, Muda wowote tangu Sasa Marekan na Ulaya watatangaza Vikwazo dhidi ya Top...
79 Reactions
132 Replies
7K Views
DKT. MWIGULU ASHIRIKI MKUTANO WA NGAZI YA WAKUU WA NCHI JIJINI BRAZZAVILLE • Rais wa Congo aufungua, ataka Afrika iwanufaishe wananchi wake WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameshiriki Mkutano wa...
1 Reactions
1 Replies
103 Views
Usiku wa Oct 31,2025 nilikuwa nachati na Mkuu wa Mkoa fulani ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa ule,tulikuwa tunajaribu "kudigest" kujua nini hasa kimetokea na nani hasa...
5 Reactions
58 Replies
2K Views
Watanzania ni kama kuku aliyekatwa kichwa ukimbia ovyo bila mwelekeo walisema Magufuli amefunga nchi amechafua nchi kimataifa kwa mauaji na utekaji. Sasa emekuja Samia Suluhu kuja kusafisha...
3 Reactions
7 Replies
250 Views
Tumeshuhudia wanavyonyukana kugombea nani awe na mamlaka ya mali ya umma Hili ni janga la Afrika ndio maana hadi leo hakuna muungano unaoeleweka Yale yale ya ukawa na siasa za Tanzania Bora...
0 Reactions
2 Replies
150 Views
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti. Wapo wanaoanzisha...
4 Reactions
13 Replies
335 Views
Kwanini amuulize Makonda kuhusu waliotekwa badala ya Waziri wa mambo ya ndani? Picha lishaungua.
1 Reactions
0 Replies
181 Views
Always msaliti ni msaliti tu hakuna siku atakuja kua malaika usaliti always uko kwenye damu ya mtu bora mara 100 Mdee lakini sio wakina Msigwa ambao walizunguka kwenye majukwaa wakikibagaza chama...
6 Reactions
42 Replies
541 Views
Back
Top Bottom