Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naanza KAGERA na KIGOMA- Hii mikoa ilikuwa na utiifu uliotukuka Singida ilitegemewa kitanuka sababu mtoto wao yupo ndani, ila tofauti na mategemeo hali ilikuwa shwari kabisa Njombe na Iringa...
12 Reactions
81 Replies
1K Views
Katibu wa NEC, Organizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Chacha, amesema CCM haina ajenda za kuua watu, kama ambavyo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amekuwa akidai...
1 Reactions
16 Replies
288 Views
Jamaa aliingilia msafara wa Mwenge huko Bariadi, Simiyu, Kijiji cha Nkololo. Hivi ndugu zetu baadhi ya askari na mgambo, mbona mna roho ngumu hivi? Haya maisha hamuwazi kwamba nafasi zenu...
25 Reactions
165 Replies
3K Views
Alichoandika Hilda Newton: Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha...
6 Reactions
24 Replies
894 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , Yeye badala ya kuwaita watanzania wenzake...
12 Reactions
57 Replies
3K Views
Kila kukicha serikali inawakamata wahamiaji wanaotoka Ethiopia somalia wakiwa wamefichwa kwenye magari. Lengo lao kubwa kupita kwenda A.kusini wanapita kenya Tanzania wanapita Malawi na...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kada wa Chama cha Mapinduzi CDE Bakari Kazungu akifanya mahojiano na Jambo TV Februari 4, 2026 alisema kuwa kwa mujibu wa ahadi namba 8 ya CCM inayomtaka mwanachama kusema ukweli daima lakini kwa...
4 Reactions
10 Replies
475 Views
  • Redirect
Vyama vya upinzani nchini Namibia vyapinga uteuzi wa jaji katika tume ya uchunguzi ya Tanzania. Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus...
0 Reactions
Replies
Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali la msingi, kisha majibu utayatoa wewe. Swali la leo la bandiko hili ni kuhusu hoja ya...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Au zoezi la uhamasishaji uchangiaji limesitishwa kwa muda mitandaoni na linaendelea kimkakati kimya kimya kule field ground, moja kwa moja, nyumba kwa nyumba kwa wananchi? Maana ghafla tu...
3 Reactions
38 Replies
326 Views
Tarehe 11/12/2014 Pale Mwitongo walikuwapo watu kwa kikao cha Siri hasa Mzee Mkapa ndo alishnikiza kikao kufanyika, nakumbuka tulikuwa watu saba! Kulikuwa na Threat ndani ya CCM yaan Lowassa, na...
36 Reactions
122 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika. Rais Samia amemteua Paul Kadushi kuwa Katibu wa Tume ya Jaji Lila. Paul Kadushi ndiye muasisi wa muenendo mbaya wa mawakili wa serikali dhidi ya wapinzani kipindi...
13 Reactions
20 Replies
351 Views
Msiache comedy hizi zikapita bila kukemewa. Tafuteni wataalamu wa sheria, siasa, psychology, philosophy and the like fields to counter these movies. Msiache bila kutoa strong statements against...
2 Reactions
0 Replies
55 Views
https://www.youtube.com/watch?v=lTwq-sOG2Is Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria...
6 Reactions
69 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anaweza Kuongoza Taifa letu kwa mafanikio Makubwa kabisa hata bila...
0 Reactions
32 Replies
143 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Anna Henga ametoa maoni yake kuhusu Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya Kuchunguza Ghasia za Oktoba 29, 2025...
3 Reactions
12 Replies
191 Views
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
65 Reactions
65 Replies
5K Views
Ujue haya mambo inatakiwa kukaa kwa makini na kuyataftia ufumbuzi wa kina. Alianza Ndugai akaona Mwanga kama Sauli akawa Paulo...mkamshinikiza na kina Msukuma wakiwa mstari wa mbele.. Mzee wa...
0 Reactions
5 Replies
94 Views
Siandiki chochote, zaidi hangaika mwenyewe na. Picha UJUMBE: HATUTAKI MARIDHIANO NA SHETANI
30 Reactions
89 Replies
1K Views
Nchimbi amekuwa akitoa kauli zinazojitenga na mambo ya aibu na ukatili yanayotendwa na Samia pamoja genge lake Kikao cha Kamati Kuu CCM kilichofanyika Unguja kimevuja kuwa Nchimbi atapelekwa...
26 Reactions
70 Replies
1K Views
Back
Top Bottom