Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

SHARPERVILLE MASSACRE South Africa, March 1960 Walikufa wati 69 tu. Dunia ikatetemeka Baadae June 1976 SOWETO Official number 176 Kuna picha moja tu ya SOWETO KILLINGS ya mtoto Hector Piterson...
4 Reactions
3 Replies
83 Views
Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa...
7 Reactions
26 Replies
531 Views
TAARIFA KWA UMMA Kesho tarehe 1/6/2026 Mahakama Kuu Masijala ya Kigoma mbele ya Jaji Rwinzile itasikiliza maombi ya Marejeo (Judicial Review) yaliyofunguliwa na 1. Buberwa Ephraimu Kaiza 2...
4 Reactions
8 Replies
215 Views
Leo nagusa where Satan fears to tread MUUNGANO Kwa mwenendo huu ulionyeshawa na utawala huu unaongozwa na Wazanzibari kuna haja kubwa ya kuungalia huu muungano Hapa kuna mawaziri very senior ni...
4 Reactions
10 Replies
187 Views
KAFULILA ANASEMA UBIA (PPP) NI NGUZO MUHIMU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NA UUGUZI Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila...
10 Reactions
18 Replies
260 Views
David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali na...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
Ni, Ubia wa PPP wa Dola Milioni 116: Vituo vya Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Kujengwa Mikoa 26 === Dar es Salaam – Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia mitaji binafsi kupitia ubia wa sekta ya...
11 Reactions
56 Replies
875 Views
Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023: 1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa...
4 Reactions
6 Replies
144 Views
Dunia inakabiliwa na janga la kimyakimya linaloendelea kuua maelfu ya watu kila mwaka, Moshi wa majumbani unaotokana na kuni na mkaa ingawa tatizo hili mara nyingi halipewi uzito wa kutosha...
7 Reactions
37 Replies
483 Views
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso leo Alhamisi tarehe 8 Mei 2025, atawasilisha Bajeti ya Mageuzi Sekta ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 Bungeni jijini Dodoma...
1 Reactions
6 Replies
943 Views
Ukichunguza njia zilizotoa uhuru wa nchi nyingi Afrika hata uko dunia ya pili ni kuchanganya harakati na siasa, mapinduzi ingawaje kwa sasa hivi serikali nyingi zinawaona wanaharakati, mapinduzi...
1 Reactions
0 Replies
57 Views
Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
46 Reactions
239 Replies
5K Views
Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi...
2 Reactions
27 Replies
339 Views
== TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka...
16 Reactions
71 Replies
3K Views
ZUNGU: MZIGO WA BARABARA NI MKUBWA MNO TUMIENI PPP Spika Zungu Aikosoa Wizara ya Ujenzi awaambia “PPP ni Hitaji, Siyo Chaguo” Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu, ameikosoa Wizara ya...
5 Reactions
28 Replies
410 Views
WACHIMBAJI WADOGO WAGEUKA NGUZO YA SEKTA YA MADINI TANZANIA. Na Mwandishi Wetu, Katika historia ya sekta ya madini nchini, wachimbaji wadogo mara nyingi walionekana kama sehemu isiyo rasmi...
2 Reactions
7 Replies
400 Views
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani tarehe 17.03. 2021, Mwaka huo wa 2021 Tanzania ilitimiza miaka 60 ya Uhuru baada ya uhuru wake wa 9 dec 1961. Katika kipindi hicho...
8 Reactions
113 Replies
3K Views
Hatimaye Tanzania yavuna Trilioni 10 kwenye Utalii , Juhudi hizi za Rais Samia ikiwemo Royal Tour zimesaidia kuongeza ajira, kwa mfano idadi ya wakala wa utalii imeongezeka kutoka mawakala 2,885...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom