Akizungumza kuhusu ujio wa Emmanuel Nchimbi baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Katibu Mkuu, Jaji Joseph Sinde Warioba amesema Nchimbi si mtu mgeni kwake na kwamba tayari alikuwa akimfahamu...
Dini, kabila, kanda, rangi na asili ya mtu ni sehemu muhimu ya utambulisho na maisha ya watu wengi. Tofauti hizi zimekuwa na nafasi kubwa katika kujenga maadili, tamaduni, mshikamano, huruma na...
Hili ndio swali kabambe ambalo Chawa na Wachumia tumbo wa ccm na wengine wote wanapaswa kujiuliza.
Kutekwa na kupotezwa kwa Nchimbi AMBAYe ameanzia UVCCM hadi kuwa Katibu Mkuu wa CCM huku...
Huenda nisieleweke, lakini ujumbe wangu wa wazi kwa dada yangu Rais Samia, kwa maslahi ya amani ya moyo wake akiwa Mtawala ni muhimu azungumze na Chadema na waelewane
Pamoja na kwamba dada Samia...
Anchoongea Waziri Katambi kwa maandishi
Kuna ambo wana kauli za ajabu kwenye vyombo vya habari. Tutachukua hatua pale mtaakapovunja sheria.
Lekini hatutaishia hapo tu. Na hii haivunji na...
Nchi yetu ipo katika eneo la kimkakati na hivyo inaingizwa kwenye vita ya kiuchumi na kiutawala kutokana na Jografia yake.
Jambo linaloshangaza ni kuona hakuna wasomi wabobevu mithili ya Kabudi...
Moja ya simulizi mbaya kutoka Uganda kuingia Kagera ni ugonjwa wa ukimwi miaka ya 1980,
ILA kilichokuja kusaidia kupunguza kwa maradhi hayo kuenea ni uwepo wa Kinga zilizojulikana kama "ojware"...
Lissu: Kuna kosa mtu akisema, “Msimamo huu unaashiria uasi”?
Mnyika: Sioni kosa, kwa sababu nilishawahi kuona nukuu ya Mwalimu Nyerere akiwaambia vijana:
“Tunataka katika taifa hili vijana waasi...
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona
Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
Kwa tafsiri hii sasa ni wazi huyo @timdraper Tim Draper anayedai kuuza kisiwa chake LUPITA anajichekesha . Hata kama yeye ndiye alitoa fedha kujenga na kuwekeza huko LUPITA ,ila alitumia Kampuni...
Ni swala la muda tu na wao wanajua hilo. Hivyo, waacheni watambe ila wakati wao unakuja wakati ambao mahakama hii itakuja kuponya majeraha ya watanzania wengi.
Uzuri ICC haingalii cheo cha mtu...
Kumbe judge Mutungi na msaidizi wake walielezwa kinagaubaga kuwa CHADEMA itaendesha kampeni nchi nzima juu ya no reform no election na akaridhia kuwa haina shida wala haiko kinyume cha sheria...
Friends and Our Enemies,
Katika pita pita yangu leo nimemkumbuka marehem Deo Filikunjombe pale alipokawa anahitimisha kuwasilisha ripoti yake kuhusu yale majizi ya fedha za wizi za escrow ambapo...
Tukikubali ku normalize binadamu kupotea kama vile mtu unavyopoteza funguo au goroli, halafu kunakuwa hakuna outrage kwenye jamii, tutakuwa tunawapa ushindi mkubwa sana Samia na hao watu wake...
copy paste fb
1
Julius Kambarage Nyerere(1964–1985)
• Hakuna mwanafamilia wa karibu aliyethibitishwa hadharani kushika nafasi kubwa ya kisiasa, Yupo Makongoro kapewa nafasi ya Uteuzi kuwa mkuu wa...
𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗡𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗨𝗡𝗔𝗢𝗛𝗘𝗦𝗛𝗜𝗠𝗨 𝗜𝗠𝗔𝗡𝗜
Kuna nyakati ambapo picha moja haiwezi kueleza falsafa nzima ya uongozi, lakini inaweza kutupa nafasi ya kutafakari kwa kina kuhusu uongozi, unyenyekevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.