SHARPERVILLE MASSACRE
South Africa, March 1960
Walikufa wati 69 tu.
Dunia ikatetemeka
Baadae June 1976
SOWETO
Official number 176
Kuna picha moja tu ya SOWETO KILLINGS ya mtoto Hector Piterson...
Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa...
TAARIFA KWA UMMA
Kesho tarehe 1/6/2026 Mahakama Kuu Masijala ya Kigoma mbele ya Jaji Rwinzile itasikiliza maombi ya Marejeo (Judicial Review) yaliyofunguliwa na
1. Buberwa Ephraimu Kaiza
2...
Leo nagusa where Satan fears to tread MUUNGANO
Kwa mwenendo huu ulionyeshawa na utawala huu unaongozwa na Wazanzibari kuna haja kubwa ya kuungalia huu muungano
Hapa kuna mawaziri very senior ni...
KAFULILA ANASEMA UBIA (PPP) NI NGUZO MUHIMU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NA UUGUZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila...
David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali na...
Ni, Ubia wa PPP wa Dola Milioni 116: Vituo vya Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Kujengwa Mikoa 26
===
Dar es Salaam – Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia mitaji binafsi kupitia ubia wa sekta ya...
Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023:
1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa...
Dunia inakabiliwa na janga la kimyakimya linaloendelea kuua maelfu ya watu kila mwaka, Moshi wa majumbani unaotokana na kuni na mkaa ingawa tatizo hili mara nyingi halipewi uzito wa kutosha...
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso leo Alhamisi tarehe 8 Mei 2025, atawasilisha Bajeti ya Mageuzi Sekta ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 Bungeni jijini Dodoma...
Ukichunguza njia zilizotoa uhuru wa nchi nyingi Afrika hata uko dunia ya pili ni kuchanganya harakati na siasa, mapinduzi ingawaje kwa sasa hivi serikali nyingi zinawaona wanaharakati, mapinduzi...
Wanabodi,
Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums.
Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda
Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi...
==
TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka...
WACHIMBAJI WADOGO WAGEUKA NGUZO YA SEKTA YA MADINI TANZANIA.
Na Mwandishi Wetu,
Katika historia ya sekta ya madini nchini, wachimbaji wadogo mara nyingi walionekana kama sehemu isiyo rasmi...
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani tarehe 17.03. 2021,
Mwaka huo wa 2021 Tanzania ilitimiza miaka 60 ya Uhuru baada ya uhuru wake wa 9 dec 1961.
Katika kipindi hicho...
Hatimaye Tanzania yavuna Trilioni 10 kwenye Utalii ,
Juhudi hizi za Rais Samia ikiwemo Royal Tour zimesaidia kuongeza ajira, kwa mfano idadi ya wakala wa utalii imeongezeka kutoka mawakala 2,885...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.