Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Submissions za Dr. Rugemeleza Nshala et al, kule Dodoma Court of Appeal zimekuwa nzuri. Zimekidhi haja! Kila mmoja kwa imani yake tusali na kuomba Watukufu majaji wasipigiwe simu, na wakipigiwa...
4 Reactions
11 Replies
308 Views
Kwako Mama Dorothy Gwajima. Natumai unaendelea vizuri na majukumu yako. Hivi Mama Gwajima, suala la ushoga hapa nchini Tanzania unaliona linavyozidi kasi au hulioni? Nakuelekezea wewe hii mada...
10 Reactions
65 Replies
1K Views
=== Katika zama hizi za ushindani wa kiuchumi na mabadiliko ya kidigitali, Tanzania inaweka misingi thabiti ya kujenga uchumi shirikishi kupitia ubia kati ya serikali na sekta binafsi. Hatua hii...
2 Reactions
8 Replies
79 Views
Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo...
2 Reactions
280 Replies
41K Views
Wale wenye jicho la tai nadhani mmenielewa. Tangu alipoenda Chato kwenye kumbukizi ni kama mambo yamebadilika. Yajayo yanaweza kufaurahisha.
5 Reactions
37 Replies
958 Views
Kwa hii overview fupi ya Tanzania unaonaje future yetu ya miska 15 mbele? Tanzania Yalenga Kusaini Mradi wa Gesi (LNG) wa Dola Bilioni 42 Kabla ya Juni Baada ya miaka kadhaa ya kukwama, Serikali...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Rugemeleza Nshala, akizungumza kwa niaba ya Jopo la Mawakili wa Chama hicho amesema kuwa Mahakama ya Rufaa imesikiliza na...
7 Reactions
11 Replies
274 Views
https://m.youtube.com/watch?v=CM45_lR3-DI Wendy William Ishengoma vs Republic (Economic Case No. 30853 of 2024; Miscellaneous Criminal Application No. 2751/2026) [2026] TZHC 629 (6 March 2026)
0 Reactions
0 Replies
95 Views
Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa barani Afrika kwa kuwa na umoja wa kitaifa unaovuka mipaka ya makabila zaidi ya 120. Hata hivyo, hivi karibuni kumeanza kujitokeza viashiria vya hatari ambapo...
9 Reactions
10 Replies
252 Views
Vijana ni taifa la leo, ni muhimu sana kuijua na kuipenda nchi yenu, hamna Tanzania nyingine tukiipoteza tuliyonayo sasa
3 Reactions
20 Replies
199 Views
Eti Samia anataka kuwaachia tabasamu la kauli mbiu ya PESA kwa Watanzania. Kwamba kila Mtanzania anachofanya kitakuwa ni pesa. Je, yeye pesa hazitaki? Anawaacha Watanzania anaenda wapi? Mbona...
3 Reactions
12 Replies
158 Views
Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Ibrahimu Shayo, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka mara kadhaa na kutumbukia korongoni katika eneo la Kirinjiko, Wilaya Same, mkoani...
5 Reactions
40 Replies
902 Views
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini. Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko...
10 Reactions
24 Replies
325 Views
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA AFYA,MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WAZEE NA WATOTO, MHESHIMIWA CECILIA DANIEL PARESSO (MB), KUHUSU UTEKELEZAJI WA MPANGO WA...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Akitoa tathmini yake kuhusu hali ya utawala wa sheria nchini kupitia kipindi cha Jambo Asubuhi kinachorushwa na Jambo TV, Wakili Edson Kilatu ameeleza kuwa hali ya utawala wa sheria nchini...
0 Reactions
0 Replies
44 Views
  • Redirect
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) imesisitiza kuwa ni kosa kisheria kwa mtu binafsi au taasisi kutumia kamera za usalama (CCTV) bila kujisajili rasmi na tume hiyo. Akizungumza...
0 Reactions
Replies
Views
Ulitumia TBC kukandamiza upinzani hasa Chadema, ambao walikuwa wanatekeleza haki ya kikatiba ya kitoa na kupata habari kupitià TBC. Ukawanyima fursa hiyo na kuwa CHAWA No. 1 wa CCM. Leo umeondoka...
10 Reactions
28 Replies
810 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ameiomba Mahakama iitishe na kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu ili kesi iishe na Lissu akafanyiwe matibabu ambapo...
1 Reactions
0 Replies
98 Views
Mtaalamu wa Masuala ya Katiba na Sera Wakili Edson Kilatu ameeleza wasiwasi wake, na kutilia shaka kuhusu utendaji wa 'Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)' Nchini akidai kwamba akidai...
2 Reactions
0 Replies
73 Views
Ni haki kwa mlalamikaji yeyote kutafuta haki yake mahakamani ila historia inaonesha matumizi ya mifumo ya mahakama kutatua migogoro ya vyama vya siasa hayajaonesha mafanikio ya kudumu barani...
23 Reactions
41 Replies
682 Views
Back
Top Bottom