Ukichunguza njia zilizotoa uhuru wa nchi nyingi Afrika hata uko dunia ya pili ni kuchanganya harakati na siasa, mapinduzi ingawaje kwa sasa hivi serikali nyingi zinawaona wanaharakati, mapinduzi...
Wanabodi,
Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums.
Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda
Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi...
==
TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka...
WACHIMBAJI WADOGO WAGEUKA NGUZO YA SEKTA YA MADINI TANZANIA.
Na Mwandishi Wetu,
Katika historia ya sekta ya madini nchini, wachimbaji wadogo mara nyingi walionekana kama sehemu isiyo rasmi...
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani tarehe 17.03. 2021,
Mwaka huo wa 2021 Tanzania ilitimiza miaka 60 ya Uhuru baada ya uhuru wake wa 9 dec 1961.
Katika kipindi hicho...
Hatimaye Tanzania yavuna Trilioni 10 kwenye Utalii ,
Juhudi hizi za Rais Samia ikiwemo Royal Tour zimesaidia kuongeza ajira, kwa mfano idadi ya wakala wa utalii imeongezeka kutoka mawakala 2,885...
“Tuna Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeelewa umuhimu wa sekta binafsi”
Msomi na mchambuzi wa sera za kiuchumi, Aurelia Kamuzora amesema changamoto ya upotevu wa maji na uchakavu wa miundombinu...
Akiongea mbele ya wachambuzi wa habari na uchumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Nchini (PPPC), Bw. David Kafulila, alisisitiza kuwa migogoro mikubwa ya dunia siku za usoni haitatokana na...
Hii ndio Taarifa mpya ambayo tumeona ni vema viongozi wa Chadema wakaifahamu
Kwa wiki mbili tu Wananchi wamefagia sare zote madukani, hata wale wachina wanaouza sare hizo kariakoo hawana kitu...
Hivi mnajua lakini, Rais Samia ametengeneza mkakati wa kiuchumi wa Kidijitali wa miaka kumi (2024-2034) na Mkakati wa Taifa wa Brodibandi (2021-2026) ambao utarahisisha na kuharakisha huduma na...
CCM ni sikio la kufa sasa hivi wanajidanganya eti wawatumie vyama vibaraka vyao kufanya maridhiano eti bila CHADEMA.
Lakini wote tunakumbuka CHADEMA waliposema NO REFORM NO ELECTION watu wengi wa...
Waziri mkuu kwa mujibu wa katiba JMT ndio msimamizi wa shuguli zote za serikali.
Sasa Msimamizi wa shughuli za serikali anapokuwa namna hii taifa letu linaenda wapi? Limepotea na shughuli za...
Profesa ataka sekta binafsi iokoe mamlaka za maji nchini
Kongamano la Kitaifa kuhusu Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika Sekta ya Maji lililofanyika Mei 9, 2026 jijini Dar es...
==
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 na kufafanua kuwa biashara ya kuuza...
Kuna kijipointi cha kipuuzi mnakig'ag'ania sana kuwa CHADEMA ni wanaharakati.
Harakati hizo ni zipi?
Kupinga utekaji, ufusisadi na CHADEMA kutaka Katiba mpya ili tuwe na demokrasia na maendeleo...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Ujumbe wa IPU umefika gereza la Ukonga na kufanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu, anayeshikiliwa kwa Tuhuma za Uongo za Uhaini
Ujumbe huo...
Ninapoongelea nguvu ya Mtandao, au wengine wakiuongelea, watu wengi wanachukulia kama mzaha. Sasa ngoja niwape habari za ndani kidogo.
NI kwamba, kabla hajafa, Nyerere aliweka msimamo thabiti...
Katika enzi ya sasa, vita vikuu havipigwi tena kwa mabomu na risasi pekee; vinapiganwa ndani ya akili na nyoyo za wanadamu. Hakuna kazi ya sanaa iliyofunua ukweli huu kwa usahihi mkubwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.