Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kafulila na Ramani ya Uchumi wa Dola Trilioni Moja ==== Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Tanzania inaweza kufikia uchumi...
6 Reactions
32 Replies
754 Views
Home Jamvi Ukweli ni Upi Kuhusu Oscar Kambona? Ukweli ni Upi Kuhusu Oscar Kambona? Global Publishers September 14, 2021 5,900 views 0 Comments SHARE THIS: Marehemu Oscar Kambona alizaliwa mwaka...
2 Reactions
2 Replies
108 Views
Video hizi mbili fupi zinatupa taswira ya kina na ya kipekee kuhusu mienendo ya uongozi wa kitaifa, siasa za madaraka, na migogoro ya kimaslahi inayowakabili viongozi na watoa maamuzi. Katika...
0 Reactions
4 Replies
45 Views
Hayo ni maneno ya kuleta taharuki. Nimeona mtu mmoja anaeleza sasa hivi. Anasema kiongozi kama Nchimbi ambaye anajua siri nyingi za serikali akijiuzulu au akistaafu au akifukuzwa kazi,anakua...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Familia mbili nchini zenye ushawishi ktk tasnia ya siasa, zaanza kuvutana. Inadaiwa JK anataka RK aanze huku naye YM akitaka JM ndiye aanze. Uzee unakuja kwa kasi kwa wote wawili RK na JM na...
33 Reactions
365 Replies
20K Views
Kumbukumbu zinaonyesha, Kamati Ndogo ya Maadili ilishawahi kumvua uanachama aliyekuwa Jasusi Mbobevu ambaye kwa Sasa ni Marehemu. Jibu ni Ndiyo inayo uwezo huo. Na endapo ikitokea, je Tutegemee...
1 Reactions
19 Replies
304 Views
Mbona huwa sijawahi kuwaonea wakina Majaliwa na Mwigulu wakienda kutoa maelekezo, maagizo na kufanya mikutano ya kutatua changamoto za wananchi Unguja au Pumba? Hii nafasi ya waziri mkuu wa...
4 Reactions
11 Replies
171 Views
Yule rais wao Toka aapishwe kuongoza lile taifa la Malawi na kuendelea mpaka sasa anaenda kumaliza mwaka wa kwanza wa awamu ya pili madarakani. Kashafanya kazi na manaibu prezida watatu japokua...
2 Reactions
5 Replies
140 Views
Nilijuwa tu ingekuwa hivi. https://www.youtube.com/live/WsIGb9vVMec?si=PlUY2O1nojL2QYr_
1 Reactions
13 Replies
220 Views
Maria Sarungi ameandika post ambazo zimenifanya nimjue kuwa hana akili sawasawa, hajui mambo mengi sana, wajinga tu ndo wanaweza kuamini post zake. Kwasababu chadema Ina ujinga ujinga na upumbavu...
5 Reactions
23 Replies
413 Views
Awamu ile nyingine hadithi na porojo zilikuwa nyingi sana kuhusu viwanda, ila wakaishia kuaibika kwa kusema vyerehani na vijiwe vya uchomeleaji ni viwanda. Hilo halipo awamu ya 6, ni maneno na...
8 Reactions
244 Replies
40K Views
Katika jambo baya sana wakoloni walilotufanyia Africa ilikuwa ni kugawa bara la Africa mezani katika vipande mbalimbali bandia walivyoviita nchi. Hili ni jambo ambalo limewatesa sana Waafrika...
5 Reactions
37 Replies
275 Views
Kesi ya madai ya umma iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu ya San Mateo, California (Case No. 26 CIV 06555) na Mange Kimambi dhidi ya Meta Platforms, Inc. (imeambatanishwa kama attachment) imeweka...
2 Reactions
1 Replies
176 Views
Tumefikia mahali ambapo viongozi hawana furaha japo wana kila kitu na wananchi hawana raha na hawawapendi viongozi wao. Kiongozi kila siku anaombewa apatwe na mabalaa watu wafurahi, kiongozi...
6 Reactions
12 Replies
216 Views
Wako wapi? Hilo ndilo swali linaloendelea kuwasumbua familia za watu waliotoweka mazingira ya kutatanisha. Leo, dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Waathirika wa Kutoweshwa kwa Nguvu...
1 Reactions
3 Replies
170 Views
Hakuna shule inayofundisha kuwa Makamu wa Rais, bali sifa zako na bidii, weledi, nidhamu na utayari wako wa kujifunza kufuatilia na kusimamia shughuli mbalimbali za utekelezaji zitakusaidia...
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Maybe! Mayi Mayoooo! Mashujaa wetu kifyetufyetu. Waenziwe mayii! Wamemtoa sio! Wamefikilia wametuweka pembeni! Heheheee! Haluuu.. kama wajua wao walimaliza siye ndo kwanza mchezo haukuanzaga...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Mwakumbuka akiwa anahojiwa alivyojibu kwa dhereu na kiburi. Mwenyewe anacho kilifikiri kinanguvu. Hehehee! Walahi tutaona mengi. Wewe mzee miyeyusho sana. Humwoni Emma the boy alivyowekewa...
7 Reactions
24 Replies
713 Views
Back
Top Bottom