Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukichunguza njia zilizotoa uhuru wa nchi nyingi Afrika hata uko dunia ya pili ni kuchanganya harakati na siasa, mapinduzi ingawaje kwa sasa hivi serikali nyingi zinawaona wanaharakati, mapinduzi...
1 Reactions
0 Replies
57 Views
Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
46 Reactions
239 Replies
5K Views
Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi...
2 Reactions
27 Replies
339 Views
== TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka...
16 Reactions
71 Replies
3K Views
ZUNGU: MZIGO WA BARABARA NI MKUBWA MNO TUMIENI PPP Spika Zungu Aikosoa Wizara ya Ujenzi awaambia “PPP ni Hitaji, Siyo Chaguo” Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu, ameikosoa Wizara ya...
5 Reactions
28 Replies
410 Views
WACHIMBAJI WADOGO WAGEUKA NGUZO YA SEKTA YA MADINI TANZANIA. Na Mwandishi Wetu, Katika historia ya sekta ya madini nchini, wachimbaji wadogo mara nyingi walionekana kama sehemu isiyo rasmi...
2 Reactions
7 Replies
400 Views
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani tarehe 17.03. 2021, Mwaka huo wa 2021 Tanzania ilitimiza miaka 60 ya Uhuru baada ya uhuru wake wa 9 dec 1961. Katika kipindi hicho...
8 Reactions
113 Replies
3K Views
Hatimaye Tanzania yavuna Trilioni 10 kwenye Utalii , Juhudi hizi za Rais Samia ikiwemo Royal Tour zimesaidia kuongeza ajira, kwa mfano idadi ya wakala wa utalii imeongezeka kutoka mawakala 2,885...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
“Tuna Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeelewa umuhimu wa sekta binafsi” Msomi na mchambuzi wa sera za kiuchumi, Aurelia Kamuzora amesema changamoto ya upotevu wa maji na uchakavu wa miundombinu...
5 Reactions
33 Replies
573 Views
Akiongea mbele ya wachambuzi wa habari na uchumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Nchini (PPPC), Bw. David Kafulila, alisisitiza kuwa migogoro mikubwa ya dunia siku za usoni haitatokana na...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Hii ndio Taarifa mpya ambayo tumeona ni vema viongozi wa Chadema wakaifahamu Kwa wiki mbili tu Wananchi wamefagia sare zote madukani, hata wale wachina wanaouza sare hizo kariakoo hawana kitu...
8 Reactions
31 Replies
440 Views
Hivi mnajua lakini, Rais Samia ametengeneza mkakati wa kiuchumi wa Kidijitali wa miaka kumi (2024-2034) na Mkakati wa Taifa wa Brodibandi (2021-2026) ambao utarahisisha na kuharakisha huduma na...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
CCM ni sikio la kufa sasa hivi wanajidanganya eti wawatumie vyama vibaraka vyao kufanya maridhiano eti bila CHADEMA. Lakini wote tunakumbuka CHADEMA waliposema NO REFORM NO ELECTION watu wengi wa...
13 Reactions
38 Replies
522 Views
Waziri mkuu kwa mujibu wa katiba JMT ndio msimamizi wa shuguli zote za serikali. Sasa Msimamizi wa shughuli za serikali anapokuwa namna hii taifa letu linaenda wapi? Limepotea na shughuli za...
11 Reactions
47 Replies
739 Views
Profesa ataka sekta binafsi iokoe mamlaka za maji nchini Kongamano la Kitaifa kuhusu Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika Sekta ya Maji lililofanyika Mei 9, 2026 jijini Dar es...
4 Reactions
9 Replies
215 Views
== Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 na kufafanua kuwa biashara ya kuuza...
33 Reactions
170 Replies
7K Views
Kuna kijipointi cha kipuuzi mnakig'ag'ania sana kuwa CHADEMA ni wanaharakati. Harakati hizo ni zipi? Kupinga utekaji, ufusisadi na CHADEMA kutaka Katiba mpya ili tuwe na demokrasia na maendeleo...
5 Reactions
8 Replies
104 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Ujumbe wa IPU umefika gereza la Ukonga na kufanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu, anayeshikiliwa kwa Tuhuma za Uongo za Uhaini Ujumbe huo...
20 Reactions
89 Replies
1K Views
Ninapoongelea nguvu ya Mtandao, au wengine wakiuongelea, watu wengi wanachukulia kama mzaha. Sasa ngoja niwape habari za ndani kidogo. NI kwamba, kabla hajafa, Nyerere aliweka msimamo thabiti...
63 Reactions
130 Replies
9K Views
Katika enzi ya sasa, vita vikuu havipigwi tena kwa mabomu na risasi pekee; vinapiganwa ndani ya akili na nyoyo za wanadamu. Hakuna kazi ya sanaa iliyofunua ukweli huu kwa usahihi mkubwa kama...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Back
Top Bottom