Kwa vile sasa hivi hatuna serikali iliyo ya wananchi, iliyotokana na uamuzi wa wananchi, na inayotumikia wananchi, basi sisi wananchi tufanye yale tunayoweza kuanza kuwatambua wahanga wa mauaji ya...
Familia ya marehemu kachero mbobezi Benard Membe imeingia kwenye mgogoro mkubwa wa kugombea mali za Membe, ikumbukwe Benard Membe amefariki mwaka 2023 tu na tayari Familia yake wanapelekana polisi...
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================...
Kwamba kabla hawajafungiwa akaunti zao za nje je,hawawezi kuzichepusha ili zisifungiwe hususani kipindi hiki wakati mchakato wa utekelezaji wake unasubiriwa?
Rufaa iliyokatwa na upande wa mashtaka (mawakili wa serikali) katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Antipas Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 11-06-2026...
Kama sio kweli basi badili Body movements
======
Edwin Odemba: Gazeti la Tanzania Daima, toleo la 421 la tarehe 20 April, mwaka 2019, liliandika kwenye ukurasa wake wa mbele kabisa ya kwamba...
Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu alipoachiwa huru, Mchungaji Godfrey Malisa amesema kipindi cha siku 183 alizokaa gerezani kilikuwa chuo cha mafunzo, huku akishauri kufanyika kwa marekebisho...
Nani mwenye hekima amnyang'anye Kalamu Naibu msajili wa vyama vya Siasa?
Mimi siyo Muumini wa dhihaka na Matusi. Lakini hata kwa akili za kuvukia barabara tuu huwezi kunishawishi kwamba Kauli...
Kinondoni Road pale, karibu na ubalozi wa Urusi na benki ya Stanbic, kimeendelea kushamiri kina mama wanaoomba wakiwa na watoto wadogo. Wanakenda kusha pale, wanalala pale, wanapika pale, wana fua...
My Take
Sgr ikifika Mwanza & Kigoma Tanzania ndio itakuwa Gulio Kuu la Nchi za Afrika.
Hakuna tena kwenda China Wala Dubai Bali Tanzania.
Hongera SSH Kwa kazi nzuri,pia soma Ndani ya Miaka 4...
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown.
Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14...
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Hakuna ubishi kuwa kilichotokea October 29, kimesababishwa na chuki iliyopitiliza!. Japo Ripoti ya Jaji Chande, imepunguza kidogo...
Mwandishi wa habari mkongwe, Pascal Mayalla ameeleza kuwa kauli tutakinukisha siyo uhaini. Anaendelea kueleza pia kuwa serikali wanapenda kuwaonea wapinzani na hutumia mbinu nyingi ikiwemo...
Wanabodi
leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
Baada ya Tume ya Othman Chande , Rais kaunda tume nyingine ya Uchunguzi wa Kijinai.
Hii sasa ndio itakuja na majibu ya nani kahusika na hatua gani zichukuliwe.
Bado hatujapata majibu yake, kule...
Wanabodi,
Hii ni barua ya wazi ya mtu akimuandikia Dada yake.
Japo Dada yake huyo ni mtu mzima, ameolewa na ana watoto, hivyo kwa watoto wake wanamwita Mama na ana wajukuu ambao wanamwita Bibi...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo ambapo tunatuma maombi kwa Rais Samia, aiweke hadharani ile Ripoti ya Jaji Chande, kwasababu hata Jaji Chande Mwenyewe, alidhamiria...
Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi?
By Hata Mimi JF member
Salaam alaikum,
Zamani kabla ya 2010 kurudi nyuma huko tulizoea kuona vitabu vya namna mbalimbali kwa maudhui moja. Namaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.