Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna nguvu kubwa sana inatumika na imekuwa inatumika miezi 12 iliyopita kuzima ushawishi na nguvu ya Mhe. Tundu Lissu, hamahama ya CHADEMA ikiwa mojawapo. Kuna uwezekano Mhe. Lissu atakaporudi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Tumefika hapa. Na bado Haya twende kazi
0 Reactions
3 Replies
81 Views
Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015, CCM ilikuwa imevurugika kwa mgogoro wa ndani kwa ndani na kulikuwa na tishio la kugawanyika pande mbili na moja ya mambo yaliyowashangaza wengi ni...
13 Reactions
85 Replies
4K Views
Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria zetu za uchaguzi zinataka mtu ukigombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa na...
4 Reactions
10 Replies
737 Views
  • Featured
Hatua ya maswali ya dodoso (Cross Examination) kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, yanatarajiwa kutamatishwa leo Agosti 27, 2026 na kufungua mlango kwa shahidi mwingine wa Lissu kupanda...
28 Reactions
339 Replies
11K Views
Hivi wabunge wamepiga kura kumkubali Makamu wa Rais au kumchagua? Kulikuwa na uwezekano wa kumkataa kweli? Kama ni demokrasia kwanini Rais asingechagua majina matatu halafu wabunge wapige kura...
1 Reactions
10 Replies
140 Views
Narudia tena, Kwa Tanzania organization structure Iko hivi Mungu - Rais wa JMT/Rais - wengine Kiufupi kiutawala Tanzania , ukiacha Mungu alie Mbinguni, katiba yetu imetupa Mungu Binadamu ambaye...
1 Reactions
3 Replies
57 Views
Wakuu, Watanzania tulipokea barua ya Nchimbi kujiuzulu kupitia mitandao ya kijamii, hakutoa Press au kusikia akihojiwa sehemu, na baadaye Rais Samia akasema amepokea barua yake ya kujiuzulu...
1 Reactions
8 Replies
318 Views
Upinzani wa Syria, Libya, Yemen na mataifa mengi walifanikiwa kubadilisha mfumo katili kwa kuweza kuanzisha "Parallel institutes" Watanzania hawakumpa Uhalali Samia hivyo wako tayari kumpa...
0 Reactions
3 Replies
118 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Ni kweli Emanuel Nchimbi amekuwa kwenye CCM kwa muda mrefu sana. Wengi tunamjua toka akiwa Umoja wa Vijana wa CCM na kwa kweli hakuwa mtu ambaye tulimfikiria hata kwa mbali...
105 Reactions
196 Replies
5K Views
Kupitia mambo mengi mazuri yaliyofanywa na CCM tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977 ninaweza sema hadharani kuwa CCM ni mpango wa Mungu. CCM ndo chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote...
-3 Reactions
24 Replies
474 Views
Naanza Kwa Wino Mzito wa salamu, "Kwa Haki, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji wa Pamoja", wote Twaitikia "Ndio Tamaduni zetu Watanzania". Ndugu wa Tanzania, kutokana na hoja mbali mbali za...
1 Reactions
19 Replies
212 Views
Kichwa cha habari hapo juu kiko wazi. Nina mambo kadhaa nayaangalia tokana na 'uteuzi' wa mhusika. Mosi, ana sifa gani ki-CCM zaidi ya kuwa mjukuu wa MCCM na kibaraka wa mama? Pili, kwanini...
8 Reactions
46 Replies
1K Views
Wanabodi, Wale wenye kumbukumbu ya Kesi ya Mauaji Mwanza, kilichomtokea Daudi Mwangosi mikononi mwa polisi sote tumekiona, sasa nauliza hivi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Nchimbi na IGP, Saidi...
18 Reactions
67 Replies
8K Views
Kujiuzulu kwa Emmanuel Nchimbi kutoka nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania na baadaye kufukuzwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumemaliza kwa ghafla moja ya safari za kisiasa zilizokuwa...
0 Reactions
1 Replies
61 Views
Wakili Peter Kibatala amesema Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua uamuzi wa awali uliokuwa umemwamuru msanii Webiro Wasira (Wakazi) kumlipa TZS milioni 100 Clayton Chipando (Baba Levo) kwa madai ya...
2 Reactions
6 Replies
150 Views
Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani. Kwa...
11 Reactions
117 Replies
20K Views
Wanabodi, Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi kama Mtanzania mzalendo wa taifa letu, pale linapofanywa jambo jema lolote la kheri kwa...
17 Reactions
50 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna Watu wanaojiita Wanaharakati wana ujinga Mwingi sana ,wana utoto sana , wana umbumbumbu mkubwa sana vichwani Mwao. Wivu ,chuki binafsi na ubaguzi vinawatesa sana...
1 Reactions
62 Replies
506 Views
Wametoa TISS wameweka TISS, nanyi mna makundi?
1 Reactions
13 Replies
502 Views
Back
Top Bottom