Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa vile sasa hivi hatuna serikali iliyo ya wananchi, iliyotokana na uamuzi wa wananchi, na inayotumikia wananchi, basi sisi wananchi tufanye yale tunayoweza kuanza kuwatambua wahanga wa mauaji ya...
17 Reactions
37 Replies
865 Views
Familia ya marehemu kachero mbobezi Benard Membe imeingia kwenye mgogoro mkubwa wa kugombea mali za Membe, ikumbukwe Benard Membe amefariki mwaka 2023 tu na tayari Familia yake wanapelekana polisi...
17 Reactions
84 Replies
3K Views
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo ========================...
10 Reactions
532 Replies
13K Views
Kwamba kabla hawajafungiwa akaunti zao za nje je,hawawezi kuzichepusha ili zisifungiwe hususani kipindi hiki wakati mchakato wa utekelezaji wake unasubiriwa?
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Rufaa iliyokatwa na upande wa mashtaka (mawakili wa serikali) katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Antipas Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 11-06-2026...
12 Reactions
33 Replies
585 Views
Kama sio kweli basi badili Body movements ====== Edwin Odemba: Gazeti la Tanzania Daima, toleo la 421 la tarehe 20 April, mwaka 2019, liliandika kwenye ukurasa wake wa mbele kabisa ya kwamba...
3 Reactions
12 Replies
228 Views
Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu alipoachiwa huru, Mchungaji Godfrey Malisa amesema kipindi cha siku 183 alizokaa gerezani kilikuwa chuo cha mafunzo, huku akishauri kufanyika kwa marekebisho...
2 Reactions
7 Replies
236 Views
Nani mwenye hekima amnyang'anye Kalamu Naibu msajili wa vyama vya Siasa? Mimi siyo Muumini wa dhihaka na Matusi. Lakini hata kwa akili za kuvukia barabara tuu huwezi kunishawishi kwamba Kauli...
14 Reactions
36 Replies
688 Views
Kinondoni Road pale, karibu na ubalozi wa Urusi na benki ya Stanbic, kimeendelea kushamiri kina mama wanaoomba wakiwa na watoto wadogo. Wanakenda kusha pale, wanalala pale, wanapika pale, wana fua...
1 Reactions
2 Replies
85 Views
My Take Sgr ikifika Mwanza & Kigoma Tanzania ndio itakuwa Gulio Kuu la Nchi za Afrika. Hakuna tena kwenda China Wala Dubai Bali Tanzania. Hongera SSH Kwa kazi nzuri,pia soma Ndani ya Miaka 4...
1 Reactions
5 Replies
123 Views
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14...
18 Reactions
58 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers...
5 Reactions
27 Replies
993 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Hakuna ubishi kuwa kilichotokea October 29, kimesababishwa na chuki iliyopitiliza!. Japo Ripoti ya Jaji Chande, imepunguza kidogo...
10 Reactions
59 Replies
872 Views
Mwandishi wa habari mkongwe, Pascal Mayalla ameeleza kuwa kauli tutakinukisha siyo uhaini. Anaendelea kueleza pia kuwa serikali wanapenda kuwaonea wapinzani na hutumia mbinu nyingi ikiwemo...
13 Reactions
25 Replies
684 Views
Wanabodi leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
34 Reactions
137 Replies
6K Views
Baada ya Tume ya Othman Chande , Rais kaunda tume nyingine ya Uchunguzi wa Kijinai. Hii sasa ndio itakuja na majibu ya nani kahusika na hatua gani zichukuliwe. Bado hatujapata majibu yake, kule...
6 Reactions
100 Replies
1K Views
Wanabodi, Hii ni barua ya wazi ya mtu akimuandikia Dada yake. Japo Dada yake huyo ni mtu mzima, ameolewa na ana watoto, hivyo kwa watoto wake wanamwita Mama na ana wajukuu ambao wanamwita Bibi...
56 Reactions
181 Replies
11K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo ambapo tunatuma maombi kwa Rais Samia, aiweke hadharani ile Ripoti ya Jaji Chande, kwasababu hata Jaji Chande Mwenyewe, alidhamiria...
4 Reactions
15 Replies
272 Views
Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi? By Hata Mimi JF member Salaam alaikum, Zamani kabla ya 2010 kurudi nyuma huko tulizoea kuona vitabu vya namna mbalimbali kwa maudhui moja. Namaanisha...
4 Reactions
5 Replies
151 Views
Back
Top Bottom