Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pamoja na kwamba mamlaka zetu zilitoa taarifa ya kiashiria Cha El Nino mapema mwezi julai lakini taarifa zinazotoka kwenye vyombo vya habari Duniani zinaonesha hatari kubwa zaidi. Kikawaida EL...
4 Reactions
61 Replies
2K Views
EWURA imetangaza bei elekezi ya mafuta kwa mwezi August. Wastani wa bei ya Petroli ni TZS 4,034/=. Yaani ukichukua bei ya Dar 3,898/= (bei ndogo zaidi), ukajumlisha bei ya Kyerwa (Kagera) 4,170/=...
14 Reactions
32 Replies
639 Views
Kikwete family yake, Samia family yake wameweza kututeka, kubaka watu na kuiba pesa kwasababu ya ujinga wa wananchi.
12 Reactions
20 Replies
440 Views
Mhojiwa (Mwanamke): "Laba nitoe mfano sasa hivi. Unajua sasa hivi hata hali ya kisiasa, kwa ninavyotazama mimi, kwa namna ambavyo naiona, hali ya kisiasa ina utofauti mkubwa sana na hali ya siasa...
2 Reactions
5 Replies
176 Views
  • Redirect
Kama hii kitu ina ukweli basi taifa letu lina mpasuko mkubwa sana👇
2 Reactions
Replies
Views
Wadau karibuni tutoe maoni kwenye rasimu ya muswada wa mfano (Model Bill): The National Dialogue, Truth, Reconciliation and Social Healing Bill, 2026. Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa (KKMK).
0 Reactions
3 Replies
62 Views
Maridhiano bila waovu kuchukuliwa hatua kali za kisheria waliosababisha Yale ya October 29 waliomchukua Polepole walio nyuma yanayondelea kwenye kesi ya Lissu aya mambo sijui kesi za Ugaidi...
1 Reactions
18 Replies
211 Views
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa imeomba Serikali kuandaa na kuwasilisha bungeni mswada wa sheria utakaoongoza mchakato mzima wa mazungumzo na maridhiano nchini, ili kutoa mwongozo rasmi...
0 Reactions
2 Replies
148 Views
KANUNI YA AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA IMEBUNIWA NA WAYAHUDI NA WANAITUMIA. HIVYO USITEGEMEE IFANYE KAZI KWAKO KAMA HUFANYI JITIHADA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Siwakatishi tamaa...
0 Reactions
4 Replies
72 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa anaendelea kuliheshimisha Taifa letu, anaendelea kuifanya Tanzania Kuwa Sauti ya Afrika, nguvu ya Kuaminika na kutegemewa ya Wa Afrika. Anaendelea...
2 Reactions
24 Replies
207 Views
Nimeshangaa sana kijana kama huyu na umri mdogo anawashinda waandishi wakongwe kama Pascal Mayala kwenye kudadavua mambo. CCM sasa imefikia ukomo. Ni kama ajuza ambae hata apake makeup za...
23 Reactions
45 Replies
805 Views
  • Redirect
Mfanyabiashara na mwanasiasa wa zamani, Azim Dewji, amefunguka kuhusu masuala ya utekaji na upoteaji wa watu nchini na kueleza kuwa haamini kama Serikali ina sababu yoyote ya kumpoteza au kumuuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Kama mwenendo ndiyo huu basi hii dira ya 2050 isogewe miaka 100 mbele CCM wanatia aibu na hasira kwa wakati mmoja.
2 Reactions
11 Replies
193 Views
Royal tour imegeuka kuwa roho toa. Serikali ya Tanzania imechafuka kimataifa. Watanzania hawatakuzomea uone aibu, bali watakulaani wewe na kizazi chako. 29.10.2025 haitasahaulika. Ndo kitu pekee...
4 Reactions
13 Replies
399 Views
  • Featured
Shauri la ugaidi linalomkabili mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dk Melikisedeki Kaijage, limeahirishwa hadi Agosti 19, 2026 baada ya kutajwa Agosti 5, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
6 Reactions
14 Replies
607 Views
Ugaidi wenye Lengo la Kutisha Wanaharakati waishio Nje. Ugaidi wenye Lengo la kudumaza Uhuru wa Kuongea Ugaidi wenye Lengo la kunyamazisha Wakosoaji. Ugaidi unaoionyesha Dunia kwamba Tanzania...
3 Reactions
13 Replies
378 Views
Habari wana Jukwaa , Toka nimefika Tanzania napata changamoto yaku access Mtandao wa Twitter (X) , Je ni VPN gani nzuri ambayo nitaitumia ili niweze kupata mtandao huo hapa Tanzania. Naombeni...
0 Reactions
12 Replies
172 Views
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni. Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni...
15 Reactions
475 Replies
49K Views
CCM kama chama cha siasa kilishakufa siku nyingi sana. Sasa hivi ni genge wa wahuni wamejivika mamvuli wa chama cha siasa. Lakini ni typical group la wahuni na wezi. Sijawahi kuona mwizi ana...
4 Reactions
12 Replies
174 Views
Back
Top Bottom