Pamoja na kwamba mamlaka zetu zilitoa taarifa ya kiashiria Cha El Nino mapema mwezi julai lakini taarifa zinazotoka kwenye vyombo vya habari Duniani zinaonesha hatari kubwa zaidi.
Kikawaida EL...
EWURA imetangaza bei elekezi ya mafuta kwa mwezi August. Wastani wa bei ya Petroli ni TZS 4,034/=. Yaani ukichukua bei ya Dar 3,898/= (bei ndogo zaidi), ukajumlisha bei ya Kyerwa (Kagera) 4,170/=...
Mhojiwa (Mwanamke):
"Laba nitoe mfano sasa hivi. Unajua sasa hivi hata hali ya kisiasa, kwa ninavyotazama mimi, kwa namna ambavyo naiona, hali ya kisiasa ina utofauti mkubwa sana na hali ya siasa...
Wadau karibuni tutoe maoni kwenye rasimu ya muswada wa mfano (Model Bill): The National Dialogue, Truth, Reconciliation and Social Healing Bill, 2026.
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa (KKMK).
Maridhiano bila waovu kuchukuliwa hatua kali za kisheria waliosababisha Yale ya October 29 waliomchukua Polepole walio nyuma yanayondelea kwenye kesi ya Lissu aya mambo sijui kesi za Ugaidi...
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa imeomba Serikali kuandaa na kuwasilisha bungeni mswada wa sheria utakaoongoza mchakato mzima wa mazungumzo na maridhiano nchini, ili kutoa mwongozo rasmi...
KANUNI YA AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA IMEBUNIWA NA WAYAHUDI NA WANAITUMIA. HIVYO USITEGEMEE IFANYE KAZI KWAKO KAMA HUFANYI JITIHADA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Siwakatishi tamaa...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa anaendelea kuliheshimisha Taifa letu, anaendelea kuifanya Tanzania Kuwa Sauti ya Afrika, nguvu ya Kuaminika na kutegemewa ya Wa Afrika. Anaendelea...
Nimeshangaa sana kijana kama huyu na umri mdogo anawashinda waandishi wakongwe kama Pascal Mayala kwenye kudadavua mambo.
CCM sasa imefikia ukomo. Ni kama ajuza ambae hata apake makeup za...
Mfanyabiashara na mwanasiasa wa zamani, Azim Dewji, amefunguka kuhusu masuala ya utekaji na upoteaji wa watu nchini na kueleza kuwa haamini kama Serikali ina sababu yoyote ya kumpoteza au kumuuwa...
Royal tour imegeuka kuwa roho toa. Serikali ya Tanzania imechafuka kimataifa. Watanzania hawatakuzomea uone aibu, bali watakulaani wewe na kizazi chako. 29.10.2025 haitasahaulika. Ndo kitu pekee...
Shauri la ugaidi linalomkabili mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dk Melikisedeki Kaijage, limeahirishwa hadi Agosti 19, 2026 baada ya kutajwa Agosti 5, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
Ugaidi wenye Lengo la Kutisha Wanaharakati waishio Nje.
Ugaidi wenye Lengo la kudumaza Uhuru wa Kuongea
Ugaidi wenye Lengo la kunyamazisha Wakosoaji.
Ugaidi unaoionyesha Dunia kwamba Tanzania...
Habari wana Jukwaa , Toka nimefika Tanzania napata changamoto yaku access Mtandao wa Twitter (X) , Je ni VPN gani nzuri ambayo nitaitumia ili niweze kupata mtandao huo hapa Tanzania. Naombeni...
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.
Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni...
CCM kama chama cha siasa kilishakufa siku nyingi sana. Sasa hivi ni genge wa wahuni wamejivika mamvuli wa chama cha siasa. Lakini ni typical group la wahuni na wezi.
Sijawahi kuona mwizi ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.