Jaji wa Namibia anakuja kushirikiana na tume za Samia kuchunguza mauaji ya 29.10.2025.
Tume ya Huduma za Mahakama nchini Namibia (JSC) imemteua Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus T. Damaseb...
Kutokana na ushahidi wa kina, Tume ilibaini kuwa ghasia zilikuwa na athari pana za kiuchumi na kijamii. Matokeo yalisisitiza haja ya kuimarisha mifumo ya majadiliano ya kisiasa na kijamii...
LUCY KOMBA AOMBA MSAMAHA KUHAMASISHA MAANDAMANO
Badala ya kumkebehi au kumdharau kwa kujishusha na kuomba msamaha, tujifunze kwamba kuomba msamaha ni ishara ya ujasiri na uwajibikaji.
Pia...
Mwigizaji wa zamani wa maigizo lucy Komba ameomba msamaha kwa Serikali na wananchi wa Tanzania kufuatia mjadala ulioibuka baada ya kuwa moja ya watu waliowahi kuzua kauli tata za maandamano Mwaka...
Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jamal K. Ali, amemwomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa masuala ya fedha ndani ya Chama cha...
Anatomia ya 'Kirusi cha Mfumo': Jinsi Rushwa ya Kijiniazi Inavyofanya Kazi na Silaha ya Kiintelijensia Kuifuta
Wana-JamiiForums,Watu wengi wakisikia neno "rushwa," akili zao zinakwenda moja kwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni aibu ,ni fedheha na Simanzi kubwa sana na masikitiko . Yaani hiki Chama kimejipatia Aibu ya karne ,aibu ambayo haijapata...
Bibi Mgaya ndiye alikuwa mama yake Mwalimu Nyerere, na mara nyingi alikuwa anaongea naye.
Na sisi familia, kwa kweli hatufahamu kizanaki. Na mimi hata leo Wazanaki wanaweza kuongea hapa mbele...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempangia kituo cha Balozi Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses...
RAIS MUSEVENI AONDOKA NCHINI BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA RASMI
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, ameondoka nchini tarehe 6 Agosti, 2026 baada ya Kukamilisha Ziara Rasmi...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli nchini, zikionyesha nafuu kubwa kwa wananchi kuanzia LEO Jumatano, Tarehe...
Akiwa Waziri katika awamu mbali mbali alikuwa ni mwana CCM na waziri anayefanya kazi na utendaji wake ulikuwa juu kuliko mtanzania yeyote aliyekuwa katika uongozi au sekta yeyote ile ya serikali...
Kuna mmoja aliandika sehemu kuwa alimnukuu Rais akisema kuwa kwa muda mfupi aliokuwa madarakani idadi ya tembo imeongezeka mara 3 ya ile ambayo aliikuta. Nikamuuliza sasa mjomba ulichukua muda...
Kuna suala ukiliangalia kichwa kichwa unaishia kuchanganyikiwa,
Nauliza je mfano pale CHADEMA kuna mtu anaitwa Mbowe!
Siyo rahisi kumtoa Mbowe kwenye uenyekiti najiuliza
1. Je, Chadema hawana...
Nchini Eritrea hakuna mashine za ATM na kadi za simu ni bidhaa adimu
15 Oktoba 2019
Mafunzo ya jeshi ni lazima kwa vijana nchini Eritrea
Eritrea imekuwa ikielezwa kuwa moja kati ya nchi ambazo...
Kuna ka habari kanatrend sehemu kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ofisini kwake kumetokea uhalifu wa kuibiwa kwa CPU za kompyuta zote zenye data.
---
Kamanda wa Kanda Maalum ya...
Usishangae Kwamba hata Kesi nyingi za uhujumu uchumi na uhaini data zake za upelelezi zinatunzwa sehem moja tu kupunguza uwezo wa Kuwa sehem mbali mbali kuharibu hatua za upelelezi kama watunza...
Wakuu Habari
Nimepitia bandiko la jana la Bwana na kaka yangu Pascal Mayalla kuhusu ukosoaji na usifiaji lakin kwa jinsi alivyozishusha nondo ukiwa unasoma unasisimkwa mwili,
Niliwahi kumshauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.