Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jaji wa Namibia anakuja kushirikiana na tume za Samia kuchunguza mauaji ya 29.10.2025. Tume ya Huduma za Mahakama nchini Namibia (JSC) imemteua Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus T. Damaseb...
2 Reactions
4 Replies
174 Views
Kutokana na ushahidi wa kina, Tume ilibaini kuwa ghasia zilikuwa na athari pana za kiuchumi na kijamii. Matokeo yalisisitiza haja ya kuimarisha mifumo ya majadiliano ya kisiasa na kijamii...
1 Reactions
2 Replies
124 Views
Joyce Hilda Banda, alizaliwa 1950. Huyu alikua Rais wa Malawi (April 2012-May 2014) msomi haswa alifurushwa kupitia sanduku la kura za Wananchi.
12 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Redirect
LUCY KOMBA AOMBA MSAMAHA KUHAMASISHA MAANDAMANO Badala ya kumkebehi au kumdharau kwa kujishusha na kuomba msamaha, tujifunze kwamba kuomba msamaha ni ishara ya ujasiri na uwajibikaji. Pia...
0 Reactions
Replies
Views
Mwigizaji wa zamani wa maigizo lucy Komba ameomba msamaha kwa Serikali na wananchi wa Tanzania kufuatia mjadala ulioibuka baada ya kuwa moja ya watu waliowahi kuzua kauli tata za maandamano Mwaka...
4 Reactions
36 Replies
750 Views
Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jamal K. Ali, amemwomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa masuala ya fedha ndani ya Chama cha...
3 Reactions
52 Replies
571 Views
Anatomia ya 'Kirusi cha Mfumo': Jinsi Rushwa ya Kijiniazi Inavyofanya Kazi na Silaha ya Kiintelijensia Kuifuta Wana-JamiiForums,Watu wengi wakisikia neno "rushwa," akili zao zinakwenda moja kwa...
0 Reactions
2 Replies
92 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni aibu ,ni fedheha na Simanzi kubwa sana na masikitiko . Yaani hiki Chama kimejipatia Aibu ya karne ,aibu ambayo haijapata...
4 Reactions
91 Replies
1K Views
Bibi Mgaya ndiye alikuwa mama yake Mwalimu Nyerere, na mara nyingi alikuwa anaongea naye. Na sisi familia, kwa kweli hatufahamu kizanaki. Na mimi hata leo Wazanaki wanaweza kuongea hapa mbele...
29 Reactions
115 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempangia kituo cha Balozi Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses...
1 Reactions
8 Replies
286 Views
RAIS MUSEVENI AONDOKA NCHINI BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA RASMI Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, ameondoka nchini tarehe 6 Agosti, 2026 baada ya Kukamilisha Ziara Rasmi...
1 Reactions
2 Replies
92 Views
Wewe sifia mazuri yao,mema yao te sifia hawamu hii zaidi then lete mlejesho
4 Reactions
16 Replies
303 Views
  • Featured
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli nchini, zikionyesha nafuu kubwa kwa wananchi kuanzia LEO Jumatano, Tarehe...
5 Reactions
59 Replies
1K Views
Akiwa Waziri katika awamu mbali mbali alikuwa ni mwana CCM na waziri anayefanya kazi na utendaji wake ulikuwa juu kuliko mtanzania yeyote aliyekuwa katika uongozi au sekta yeyote ile ya serikali...
138 Reactions
312 Replies
35K Views
Kuna mmoja aliandika sehemu kuwa alimnukuu Rais akisema kuwa kwa muda mfupi aliokuwa madarakani idadi ya tembo imeongezeka mara 3 ya ile ambayo aliikuta. Nikamuuliza sasa mjomba ulichukua muda...
16 Reactions
37 Replies
4K Views
Kuna suala ukiliangalia kichwa kichwa unaishia kuchanganyikiwa, Nauliza je mfano pale CHADEMA kuna mtu anaitwa Mbowe! Siyo rahisi kumtoa Mbowe kwenye uenyekiti najiuliza 1. Je, Chadema hawana...
3 Reactions
116 Replies
10K Views
Nchini Eritrea hakuna mashine za ATM na kadi za simu ni bidhaa adimu 15 Oktoba 2019 Mafunzo ya jeshi ni lazima kwa vijana nchini Eritrea Eritrea imekuwa ikielezwa kuwa moja kati ya nchi ambazo...
20 Reactions
113 Replies
19K Views
Kuna ka habari kanatrend sehemu kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ofisini kwake kumetokea uhalifu wa kuibiwa kwa CPU za kompyuta zote zenye data. --- Kamanda wa Kanda Maalum ya...
27 Reactions
473 Replies
59K Views
Usishangae Kwamba hata Kesi nyingi za uhujumu uchumi na uhaini data zake za upelelezi zinatunzwa sehem moja tu kupunguza uwezo wa Kuwa sehem mbali mbali kuharibu hatua za upelelezi kama watunza...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu Habari Nimepitia bandiko la jana la Bwana na kaka yangu Pascal Mayalla kuhusu ukosoaji na usifiaji lakin kwa jinsi alivyozishusha nondo ukiwa unasoma unasisimkwa mwili, Niliwahi kumshauri...
16 Reactions
126 Replies
12K Views
Back
Top Bottom