Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tayari mshtakiwa Tundu Lissu ameshawasili mahakamani na anauliza leo vipi leo wako wapi ? Anajibiwa wanakuja Kaa tayari kwa updates Shahidi Aman Golugwa nae ameshafika ======== Leo...
20 Reactions
329 Replies
8K Views
JESHI LA POLISI TANZANIA – KITENGO CHA USALAMA BARABARANI Askari wa Usalama Barabarani wanaoomba rushwa tena bila kificho—je, wewe umewahi kukutana na hali hii? Je, umewahi kusimamishwa na...
2 Reactions
16 Replies
185 Views
Mwaka 1964 palitokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi wana Tanu wanasema lilikuwa ni kama maasi ya wanajeshi wa Tanganyika Rifles. Chanzo ilikuwa Nyerere hakuwapa vyeo maaskari weusi wa...
18 Reactions
46 Replies
1K Views
Kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Emmanuel John Nchimbi. Je, nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?
9 Reactions
129 Replies
2K Views
Mtaelewa kwanini ile sheria ya usalama wa taifa kuteka na kuua bila kuhojiwa wala kuulizwa ilipitishwa na wabunge hawa, Hongereni CCM, tena hongereni sana sasa nchi itakula mavuno ya kazi yenu ...
15 Reactions
70 Replies
2K Views
Mmawia tena nimeibuka mshindi pamoja na wale tuliokuwa/ tunao endelea kukubali sana Urusi dhidi ya USA. Mwanzoni kabisa mwa Vita kati ya Urus na chawa wa USA nchi ya Ukraine nilisema au tulisema...
3 Reactions
2 Replies
130 Views
Askofu katoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Facebook ambapo kaweka maelezo ya mtu aliedai kuwa ni ndugu wa Polepole
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari ndugu wana jamii forums. Nimeshtushwa sana na kauli ya kiuchochezi na kibaguzi iliyotolewa na Rais wa Kenya, William Ruto juu ya amri ya kuanza kukamata wageni wote wanaofanya biashara...
0 Reactions
2 Replies
83 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la The Voices from Within,naomba kulianza kwa disclaimer Wanabodi Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa...
63 Reactions
264 Replies
36K Views
Ndugu Watanzania! Usiku huu nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu ambaye ni mmoja wa ndugu wa Mhe. Balozi Humphrey Polepole. Nimebadilisha initials au utambulisho wake kwa sababu za kiusalama. Suala la...
25 Reactions
82 Replies
2K Views
Hivi hiki kilichofanyika Mkutano mkuu wa ccm Dodoma leo ni uchaguzi , uteuzi au kuthibitisha jina la mteuliwa ? Uchaguzi ni kuchagua mtu au vitu zaidi ya kimoja sasa mtu yupo mmoja hapo unakuwa...
4 Reactions
4 Replies
686 Views
Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Dua Lyamzito, amesema kuwa tofauti kubwa kati ya baraza hilo na mabaraza ya vijana ya vyama vingine vya siasa nchini...
2 Reactions
1 Replies
55 Views
Hatuwezi kushindana na kushinda kiuchumi bila katiba mpya. Kenya mfano bila katiba leo tungekuwa tumewazidi kiuchumi. Kwasasa umasikini mkubwa wetu umetokana na katiba mbovu
2 Reactions
9 Replies
107 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania wote kutofautisha kati ya mpango wa Bima ya Afya kwa Wote na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), akisisitiza kuwa mfumo wa bima ya afya sio...
0 Reactions
6 Replies
172 Views
RMO Chunya na Songwe, tunawaomba mchukue hatua za haraka na za kisheria dhidi ya leseni za utafiti wa madini ambazo zimepitwa na muda au hazifanyiwi kazi, badala ya kuendelea kuacha maeneo makubwa...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Jamaa mmoja kajikuta aking'olewa meno mawili kwa kumwita mwenzake CCM.
7 Reactions
82 Replies
10K Views
Wote tunajua Dudu baya anapinga ushoga kwa kauli mbiu ya You better watch your back Afande amekosea kitendo cha Waziri wa mambo ya ndani, kuwaita mashoga kwamba ni Wasanii na akawaita wakutane...
18 Reactions
27 Replies
1K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kuanzisha makundi yenye sura ya kufanya kazi za ulinzi na usalama bila kutambuliwa na mamlaka ni kinyume cha sheria.Katambi ameeleza...
2 Reactions
27 Replies
618 Views
Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) limetangaza kurejesha safari zake za Dar es Salaam-Moscow kuanzia Septemba 7, saa chache baada ya kutangaza kuzisitisha kutokana na wasiwasi wa kiusalama...
6 Reactions
21 Replies
466 Views
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa...
43 Reactions
88 Replies
4K Views
Back
Top Bottom