Habari ndugu wana jamii forums.
Nimeshtushwa sana na kauli ya kiuchochezi na kibaguzi iliyotolewa na Rais wa Kenya, William Ruto juu ya amri ya kuanza kukamata wageni wote wanaofanya biashara...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la The Voices from Within,naomba kulianza kwa disclaimer
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa...
Ndugu Watanzania!
Usiku huu nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu ambaye ni mmoja wa ndugu wa Mhe. Balozi Humphrey Polepole. Nimebadilisha initials au utambulisho wake kwa sababu za kiusalama. Suala la...
Hivi hiki kilichofanyika Mkutano mkuu wa ccm Dodoma leo ni uchaguzi , uteuzi au kuthibitisha jina la mteuliwa ?
Uchaguzi ni kuchagua mtu au vitu zaidi ya kimoja sasa mtu yupo mmoja hapo unakuwa...
Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Dua Lyamzito, amesema kuwa tofauti kubwa kati ya baraza hilo na mabaraza ya vijana ya vyama vingine vya siasa nchini...
Hatuwezi kushindana na kushinda kiuchumi bila katiba mpya. Kenya mfano bila katiba leo tungekuwa tumewazidi kiuchumi. Kwasasa umasikini mkubwa wetu umetokana na katiba mbovu
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania wote kutofautisha kati ya mpango wa Bima ya Afya kwa Wote na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), akisisitiza kuwa mfumo wa bima ya afya sio...
RMO Chunya na Songwe, tunawaomba mchukue hatua za haraka na za kisheria dhidi ya leseni za utafiti wa madini ambazo zimepitwa na muda au hazifanyiwi kazi, badala ya kuendelea kuacha maeneo makubwa...
Wote tunajua Dudu baya anapinga ushoga kwa kauli mbiu ya You better watch your back
Afande amekosea kitendo cha Waziri wa mambo ya ndani, kuwaita mashoga kwamba ni Wasanii na akawaita wakutane...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kuanzisha makundi yenye sura ya kufanya kazi za ulinzi na usalama bila kutambuliwa na mamlaka ni kinyume cha sheria.Katambi ameeleza...
Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) limetangaza kurejesha safari zake za Dar es Salaam-Moscow kuanzia Septemba 7, saa chache baada ya kutangaza kuzisitisha kutokana na wasiwasi wa kiusalama...
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo
Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa...
https://youtu.be/j3sXSrK1IgY?si=ciaUzrI93iD8PAfG
Kwa mujibu wa Evarist Chahali, mfanyakazi wa zamani wa TISS aliyeko uhamishoni Uingereza, kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Vice President Dr...
Mie namfahamu akiwa kiongozi mkuu wa BAVICHA zaidi ya hapo simkumfuatilia kwa ukaribu Tena
---
3. Paschal Katambi Patrobas - Mbunge wa Shinyanga
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Elimu...
Tutaendelea kudai uhuru wa Nchimbi kama nilivyokua nadai uhuru wa Polepole na Tundu Lissu haiwezekani Tanzania nchi yenye watu milioni 70 anapotea Makamu wa rais alafu heti yuko kimya hajaweza...
Behold Emmanuel Nchimbi, the Vice President who was stripped of his party membership and ousted from his exalted office on account of
1. Advocating for the populus, citizens subjected to...
Nilikuwa nawahi kanisani kumuangalia Maria akisoma somo,nami siku moja nilipenda nioe mzungu niwe na mtoto kama Maria,ningependa siku tukae na Maria tuzungumzie nchi na taifa letu,sisi...
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa,tunapendekeza na kushauri kwa Rais SAMIA SULUHU HASSAN kuunda Kmati au Timu ya watu wasiopungua watano (5) kushughulikia utekelezaji wa mapendekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.