Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuwaomba Watanzania tuacheni kuwa na wivu wa kike!, kumuonea wivu mtu mwenye nyota yake, bahati yake, kismeti chake, ambaye pia ni mwenye nacho, anapoongezewa...
Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi. Hapa alikuwa Mwanachama wa CHADEMA(CHAMA MLEZI) Alikuwa akitema moto kama Dragon
Msajili wa Siasa ajue CHADEMA ni Dubwana kubwa sana..
Wapo wengi...
Nahisi watako, Kichwa, Miguu, Tumbo, macho na Midomo wao hawana..
Mtu atusaidie kumnyang'anya Nyahoza Kalamu. Msajili wa Vyama vya Siasa kajigeuza mwalimu wa kiswahili na Mahakama.
Niliwaambia kuwa namna ya uendeshaji wa shuguli za ulinzi na usalama hapa Tanzania ni wa kipekee.
Hakuna mtu ataipeleka pua yake barabarani leo au siku yoyote. Na atakayejitoa akili kufanya hivyo...
Mambo ya kuuziana matumaini ni suala ambalo limechosha watu huyu mtu hatoshi hawezi kwendana na kizazi cha sasa namshauri akasome public speaking Edition six ajue namna ya kuzungumza nini kwa...
Kumekuwa na utata wa wasifu wa mwandishi wa habari mkongwe, Jenerali Ulimwengu, hasa baada ya kutakiw akuomba upya uraia, enzi za Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa.
Akizungumza katika...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ismani Emmanuela Mtatifikolo kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amehitimisha mikutano ya kampeni za Uchaguzi Mdogo katika Kata ya Idodi kwa kuwaomba wananchi wa...
Kila kitu wanaona hakifai kwao kumbe ni athari za uamuzi wao useless .
Wanamkasirikia kila mtu bila hata ya sababu ya msingi, na ni uamuzi huo waliufanya kwa uhuru na amani yao kidemokrasia...
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata...
Hamjambo!
Bado nipo njia panda, Namkumbuka Captain Tesha, utulivu wake, Maneno yake, na body language yake, kisha baadaye tukuo la sauti kuvuja za kina Mafwele na kikao chao.
Baadaye kabisa...
"Maandamano ya kweli, watu wa Moshi, ni maandamano ya kutafuta pesa na uchumi! Andamana kuuza duka kikamilifu upate hela. Endesha bodaboda, andamana asubuhi mpaka usiku upate pesa. Andamana kulima...
Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambo anasema si sahihi Askari Polisi kuvunja sheria kwa sababu ya kupewa amri na kiongozi, askari ana nafasi ya kukataa 'Amri Haramu'
Soma: Jamal...
Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba Mei 31, 2026 amekagua ujenzi wa Barabara ya Noranga (Doroto)–Itigi (Mlongojii) yenye urefu wa kilomita 25 inayojengwa katika Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni...
Ndugu zangu Watanzania, kama kuna jambo la kumshukuru Mungu kuhusu matukio ya Oktoba 29, basi ni hili: taifa letu lilitikisika—lakini halikuanguka.
Na ndani ya mtikisiko huo, tuliona kitu cha...
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu mwaka jana walijitapa kuwa bwawa la kidunda litakamilika kufikia June 1 2026
Tena wakijitapa kuwa mradi upo asilimia 40 kwa wakati ule
Leo hii ni june lakini ndo...
Mzungumzaji 1: Na hiyo ndio imekuwa ikiwachanganya watu, kwamba tukigundua mchungu pale alipo ni kama anapiga, mhm hatumtoi kumrudisha nyumbani.
Mzungumzaji 2: Mhm.
Mzungumzaji 1: Tunampeleka...
Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa Mkoani Morogoro, Gerson Msigwa leo Mei 31, 2026 akitoa taarifa ya Serikali kwa Umma wa Watanzania amesema;
"Watanzania, hasa vijana ambao kwa bahati mbaya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.