Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hili ni tatizo kubwa sana na kikwazo kwa nchi Kuna badhi ya wapinzani wamekasirika baada ya kama nchi kuamua kujenga refinery Tanga Dangote kwenda kujenga mombasa crude oil watu wameponda...
8 Reactions
124 Replies
1K Views
February 5, 2020 Kilosa, Tanzania Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati...
14 Reactions
551 Replies
108K Views
Silence means what? Consent? Tuanzie hapo
2 Reactions
9 Replies
97 Views
Sasa hivi mambo muhimu au matukiomuhimu yanaundiwa Tume. Tume hizi tumeona hazina connection na wananchi wala haziwajibiki kwa wananchi. Zinawajibika kwa walioziteua. TUME ni mpango maalum wa...
5 Reactions
7 Replies
141 Views
Nchi yetu ni nchi ya demokrasia ya vyama vingi. Demokrasia inaleta ushindani wa hoja sera mawazo Bora zaidi ya kujenga nchi yetu. Viongozi wa Chadema wanastahili pongezi ya kukubali kukaa mstari...
1 Reactions
6 Replies
77 Views
Mtuhumiwa hawezi kujichunguza mwenyewe. Tangu mwanzo tulisema tume ya Jaji Chande haiwezi kuleta ukweli, iliundwa kuficha ukweli na kusafisha watuhumiwa. Ndio maana ile tume ilikuja na hoja za...
15 Reactions
14 Replies
343 Views
Adui mkubwa wa nchi yetu so mwingine ni Hawa; 1. Ukosefu WA ajira kwa vijana wetu. 2 UTAWALA usiofata Sheria za nchi hata kama katiba yetu ni mbovu lakini haifatwi( mfano kijana wa CCM kukemea...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
ACT Wazalendo imepokea taarifa ya Serikali kuhusu kuundwa kwa Tume ya Rais ya kuchunguza matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025. Pamoja na kutambua umuhimu wa kuwapo...
6 Reactions
9 Replies
130 Views
Nimesikiliza mjadala leo kwenye DW mchana huu uliohusu swala ra maridhiano. CCM iliwakilishwa na mzee Philipo mstaafu. Kwa kusikiliza jinsi alivyokuwa akitetea chama chake kwa hoja za kitoto...
12 Reactions
22 Replies
379 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata...
5 Reactions
8 Replies
160 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Serengeti, Lucas Ngoto ameonya dhidi ya kile alichokiita kuwa ni mipango ya kumfuatilia na kumtishia usalama wake Makamu...
3 Reactions
5 Replies
135 Views
Katika hatua ya kuimarisha ukomavu na maridhiano ya kisiasa na ushirikishaji nchini, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la viongozi wa vyama vya...
3 Reactions
39 Replies
653 Views
Ameandika Dr. Godbless Charles Uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa Namibia, Jaji Petrus Damaseb, kuwa mjumbe wa Tume ya Rais wa Tanzania ya kuchunguza matukio ya vurugu yaliyotokea kabla na baada ya...
9 Reactions
13 Replies
360 Views
Wanabodi Huu ujinga wa kuendelea kutumia fedha za umma ili kutafuta sababu za kuhalalisha mauaji ya 29/10 tutauvumilia hadi lini? Hadi sasa, Raisi Samia na serikali yake walichofanya ni kutafuta...
17 Reactions
31 Replies
412 Views
Ujumbe huu hapa👇 Nukuu ya alichokisema Godfrey Polepole "Ningependa kusema mamlaka za Tanzania zimuachilie huru Balozi Humphrey Polepole. Hilo ni la kwanza. La pili, nataka kumwambia Mama...
10 Reactions
13 Replies
532 Views
Namshangaa Samia na matume yake. Tume ya CHANDE ilimwambia vijana walilipwa ili waandamane, walilipwa ili wachome nchi , hao vijana zaidi ya elfu 2 ameshawaua na yeye ndo alitoa amri watu wauwawe...
2 Reactions
10 Replies
157 Views
Kama Title inavyosema Wengi tuna amini kuwa utakatifu ni hali ya usafi maadili mema na kutokuwa na dosari Lakini je, nini hutokea pale ambapo dhana ya utakatifu inapohusishwa na siasa Mimi...
7 Reactions
67 Replies
584 Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoani Tanga, Kazungu Bakari Kazungu, amewatolea uvivu vijana wanaojiita wanaharakati, Joseph Yona na Ahmed Kombo, kufuatia tuhuma zao nzito dhidi ya...
4 Reactions
4 Replies
409 Views
Back
Top Bottom