Yaan nyinyi kama mlimteka Polepole mkadhani ndio mmezima Jinsi zenu, kimewalamba !!!!.
Jiandaeni !! Sisi tumeamua kuisafisha Nchi hii kuanzia Mizizi yake !!.
Wanasiasa waambiwe kuwa bila uwepo wao hakuna kitakachokwama, hakuna kitakachoharibika.
Huu ukweli hawautaki kabisa wanasiasa
Kuna mwanasiasa mmoja sasa hivi marehemu, jamaa aliaminishwa kuwa...
Mama Samia yupi fake 2021-2022 au 2024-2025??
Yule wa miaka ya 2021-2022 au wa sasa? Maana tabia na mwenendo nitofauti kabisa. Kutoka USA na China sasa ameenda Russia.
Kutoka kuwa kipenzi cha...
Leo john Emanuel Nchimbi, amesoma meseji aliyotumiwa na Hayati magufuli ya kumjuza yakuwa hawezi mwacha kamwe maana aliisha muaidi kumpa cheo.
Leo Nchimbi wakati anasa.meseji.yake alipoteuliwa...
Mchungaji Peter Msigwa akihojiwa na Wasafi FM, Juni 2, 2026 amesema; "Chadema ya kwanza ambayo nilitoka wakati ule, ilikuwa compromised. Iliondoka katika misingi ya malengo na makusudi ya Chama...
Wanabodi,
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。
Leo ni siku ya Jumapili ambayo ni siku ya ibada kwa Wakristu.
Naomba...
Ziara za Waziri Mkuu zimekuwa kama ziara za katibu mwenezi wa chama.
Kwa waziri mkuu kwenda kujaribu kudili na matatizo binafsi kwenye ndoa za watu ukiwa juu ya gari inashusha hadhi ya kiti hiki...
Amejitoa mhanga! Anytime soon atabambikiwa kesi ya Uhaini! Or any other life threatening attempts on him
Huyu ni next to Lisu!
Msikilize
Note: mamlaka kuu ameitaja, sikutaka kuiweka kwenye heading
Kama kuna kipindi ni kigumu kwa wapenda maendeleo wa nchi hii basi ni kipindi hiki hadi 2030 (hatujui katikati hapo nini kitatokea)
Naamini kabisa bungeni hakuna jambo la msingi litajadiliwa kwa...
Soka na CCM ni mbingu na aridhi
Wakati mashabiki wa CCM wakihitaji kupelekewa maloli ya bule vijijni kimokela huko na mbagala kwa msewe, Boko na Magomeni mapipa ili kuja kujaza viwanja vya...
Kwa sasa hivi Jiji la Dar halina mwenyewe.
Awamu ya 6 iko Dodoma, Dar itajiju.
Katikati ya Jiji kuna mahandaki kama tuko Bulyanhulu machimboni.
Mama anatoa Fedha lakini sijui zinaliwa na nani?
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) nchini Urusi.
Tuzo hiyo ni ishara ya kutambua uongozi...
Mchungaji Msigwa ameonesha kujutia uamuzi wake wa kujiunga na CCM, akisema kuwa bora angefanya maamuzi tofauti. Akizungumza katika mahojiano Juni 2, 2026, Msigwa ameeleza kuwa uamuzi wake wa awali...
Yawezekana msomaji unajiuliza mie sifi Leo wa jf nayakuaje ya mafile yaliyopo mezani kwa mama tena ndani ya ikulu mpya?
Unapijiuliza hivyo jiulize niliwezaje enzi za jiwe kuwa namtajia mafile...
Habari zenu wakuu!!!
Naiomba wizara ya kilimo kupitia mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mbolea Tanzania, TFRA ijitokeze hadharani kuhabarisha zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania ambao shughuli...
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo...
Hii ikimaanisha kwamba, wabunge wote zaidi ya 95% wa CCM walishinda viti vyao kwa kishindo cha zaidi ya 90% ya kura zote, dhidi ya wapinzani, na kumuwezesha mgombea uraisi wa CCM kushinda kirahisi...
Daaaa! Picha linaanzia figisu za mzee Magu kuwanunua wanachadema akiwemo Mashinji, Lijualikali, Nassar, na wengine wengi
Picha la kiburi linasogea mpaka kwa uchaguzi wa serikali ya mtaa!
Picha la...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (TPF), Faustine Jackson Mafwele, chini ya Kifungu cha 7031(c), ikisema kuna taarifa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.