Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Tanzania ya Rais Samia inaendelea kugonga vichwa vya magazeti Dunia kote, Tanzania inaendelea Kuwa Kivutio cha Dunia, Tanzania ya Rais Samia inaendelea kuwa kama Sumaku ya...
4 Reactions
41 Replies
445 Views
Salaam Rais Mpendwa Donald Trump, wewe ni mtu unayesikiliza watu wote kwani hubagui. Nilipenda ulivyomfundisha adabu aliyejipachika Urais Venezuela bwana Nicolás Maduro. Isiishie kwa Maduro tu...
31 Reactions
37 Replies
1K Views
Wanabodi, Humu jukwaani tuko watu wa fani mbalimbali na miongoni mwao ni sisi watu wa fani ya habari. Leo nimewakumbuka waandishi wa habari na kupotea/vifo vya kutatanisha, toka kwa Stan...
20 Reactions
113 Replies
18K Views
POLISI ALIYEWACHANA WAZAZI ukweli KUHUSU MALEZI MABOVU (UFIRAJI NA KUCHEZA UCHI) SISI WATIBELI TUNAMPONGEZA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kwa Sisi Watibeli hatupendaga lugha ya kupindisha...
4 Reactions
21 Replies
321 Views
Hamjambo! Unapozungumzia Ukristo basi jua unazungumzia nchi za ulaya Magharibi. Siasa za ulaya magharibu zinamchango mkubwa katika kuenea kwa ukristo katika nchi nyingi za Bara la Afrika...
5 Reactions
17 Replies
296 Views
Kwanini wanaharakati wa Tanzania kama Mange Kimambi, Maria Sarungi na wanachama wote wa Chadema, wako upande wa nchi za Magharibi kama Marekani licha ya kwamba iko wazi kwamba Marekani ndio...
4 Reactions
12 Replies
218 Views
Kwanza nianze kumpongeza Askofu Gwajima, ukimsikiliza kwenye YouTube akiwa Kanisani kwake leo tarehe 04 June 2026, amempa makavu Boss wa Wasiojulikana Kwamba Hampati. Hii Ina maana Boss huyo...
14 Reactions
48 Replies
1K Views
Raisi Samia kaulizwa, ikiwa mnafanya mipango ya biashara na Urusi, mtawezaje kuruka viunzi vta vikwazo vilivyopo au kuna namna mtavizunguka? Samia akatoa jibu fupi sana, kwamba Tanzania hatuna...
33 Reactions
103 Replies
2K Views
Kuna tukio lililotokea mkoani Arusha, leo Juni 5, 2026 ambapo masheikh 12 waliokuwa wanashikiliwa gerezani walifikishwa mahakamani. Inadaiwa kuwa kati yao, masheikh 8 waliachiwa huru na mahakama...
4 Reactions
35 Replies
851 Views
Tatizo letu Watanzania ni kuingiza siasa kwenye profession kila idara mnaingiza suasa jeshini, vyuoni nk, hata leo mmepeleka wanasiasa wanini. Waacheni watoto wacheze mpira, hatutaki kusikia...
18 Reactions
43 Replies
640 Views
Hakuna sababu hata moja ya kuvumilia wanachama wa CCM hususani wabunge wasio na adabu kwa mamlaka za nchi, na kuendelea kuachwa tu akidunda kama mwana ccm, hali ya kua amezua taharuki, amefanya...
3 Reactions
15 Replies
256 Views
Hii hapa page yao na habari zao muhimu. Hapo hakuna habari. Pia hapa.
9 Reactions
26 Replies
677 Views
Kilwa kivinje iliyokuwa ngome kuu ya Act wazalendo sasa ni Chadema tupu. Ikumbukwe mpaka sasa kila inakoenda kufanya mikutano yake Chadema inapata uungwaji mkono na wananchi kwa asilimia mia👇
17 Reactions
23 Replies
544 Views
Mwanahabari Mkongwe Nchini Tanzania Bw. Paschal Mayalla amesema kikawaida katika dhana ya usaliti kuonekana jambo baya, pale inapotokea watu wanapanga mambo mabaya na maovu, yeyote atakayejitokeza...
3 Reactions
1 Replies
99 Views
Muswada mpya wa vyama vyote viwili (bipartisan) unalenga kuielekeza serikali ya Rais Donald Trump kufanya mageuzi makubwa katika uhusiano wa Marekani na Tanzania, kufuatia msako wa kikatili...
13 Reactions
77 Replies
2K Views
Chama cha ACT Wazalendo kimekilaumu hadharani Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga na Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kishapu kikidai wanashirikiana kuwakamata, kuwatesa na kuwanyanyasa wananchi kwa sababu tu...
1 Reactions
2 Replies
154 Views
BARUA YA WAZI: Kuelekea kwenye Mapinduzi ya Nne ya Viwanda, Mbio za AI, na Mgogoro wa Ajira Barani Afrika Kwa Mamlaka za Kiserikali na Watunga Sera, Kutumia nguvu za kidola na vitendo vya...
0 Reactions
6 Replies
173 Views
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika moja ya utekelezaji wa ratiba yake ngumu huko nchini Urusi aliulizwa swali na moja ya muendeshaji wa majadiliano (moderator) kwamba; Tanzania inataka kupanua...
3 Reactions
35 Replies
455 Views
You were one of my favorite politician by whatever yard stick measure. Je ungelikuwa umepewa nafasi za ULAJI CCM, je ungelitoka CCM kwa sababu ya kukelwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu...
5 Reactions
23 Replies
418 Views
Back
Top Bottom