johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Waziri wa Tehama ndugu Nape amesema Mapinduzi ya Tehama ambapo Akili bandia zitapunguza Ajira hayakwepeki ila tuyachukulie kama Fursa
Nape amesema ni Wakati sasa bunge kutunga sheria ya kuwasaidia wale watakaopoteza Kazi kwa ujio wa AI waweze kufidiwa
Aidha amewataka Wazazi kuwasomesha Watoto wao masomo ya Sayansi kwa sababu Dunia imeshabadilika
Source: Bungeni
Nape amesema ni Wakati sasa bunge kutunga sheria ya kuwasaidia wale watakaopoteza Kazi kwa ujio wa AI waweze kufidiwa
Aidha amewataka Wazazi kuwasomesha Watoto wao masomo ya Sayansi kwa sababu Dunia imeshabadilika
Source: Bungeni