Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Nimeendelea kuzisikia Sauti za watanzania kupitia mitandao ya kijamii, kuona hali halisi katika vituo vya mafuta vilivyo karibu na mtaani kwangu. Nimeendelea kufanya...
-1 Reactions
79 Replies
4K Views
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKICHANGIA MSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA YA KANDA MAALUM YA UWEKEZAJI (MAUZO YA NJE) NA UCHUMI Mhe. Edward Ole Lekaita akichangia Bungeni jijini Dodoma katika Mswada wa...
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Mwanasheria wa BASATA Mhe. Kamugisha amesema wao hawana taarifa za Nay wa Mitego kuitwa Polisi na kwamba mambo ya Jinai siyo majukumu yao. Kamugisha amesema wao wanadili na Maadili ya Sanaa tu na...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Je gari analotumia namba yake inabidi ibadilishwe kuwa NWM au itawekwa ngao? Au inasomekaje? Anakuwa na msafara kama Waziri Mkuu? Ofisi yake ipo ndani ya ofisi ya Waziri Mkuu? Endapo kuna...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
1 Reactions
1 Replies
431 Views
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema akimaliza mkoa wa Mara kituo kinachofuata ni Kanda ya Nyasa na wataanzia Mbeya kwa Wakili Msomi Mwabukusi kisha wataendelea Songwe kwa mh Mdude, Rukwa...
4 Reactions
5 Replies
584 Views
Naomba wale walioko Zanzibar watueleze hali ya upatikanaji wa Mafuta upande huo na ikiwezekana watupe na bei kwa lita Moja , tulinganishe na Tanganyika ambaye ni Mshirika wao wa Muungano...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Akizungumza kwenye kipindi cha asubuhi katibu wa waagizaji wa mafuta anasema hao wanaosema mafuta yamefichwa hawasemi ukweli. Anasema waliishauri serikali tangu January kwamba iongeze dollar ili...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki katika Jukwaa la Mfumo wa Chakula barani Afrika (AGRF) inayofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ikiwa ni siku 3 kupita tangu waziri mwenye dhamana kuwahadaa wananchi kuwa Tanzania kunamafuta ya kutosheleza. Ikiwa ni siku 2 kabla ya mwenge wa uhuru kumulika wilaya ya kyela. Naomba kutoa...
21 Reactions
27 Replies
3K Views
Ccm inajaribu kuiambukiza nchi siasa za kisanii sana, yaani eti unamwambia mtu asifanye siasa hadi mwaka wa uchaguzi!? Sijawahi kamwe kuelewa mantiki ya jambo hilo. Nijuavyo mimi siasa ni maisha...
2 Reactions
0 Replies
431 Views
1. Kuna upungufu wa dollar duniani kama ambavyo kila mtu anakiri na hata jarida maarufu la Forbes linakiri katika andiko lao "Africa Becomes A Casualty In The War Against Inflation As Dollars Dry...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Nilisema mapema kwamba Waziri ambae ni Mtetezi wa Watumishi hasa wa Chini amekuja kuinyoosha Tamisemi. Nadhani Maafisa Utumishi mumemsikia,kaeni chonjo, Waziri Mchengerwa ni Pangua pangua kama...
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Mafuwe tarehe 05 Septemba, 2023 katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Hai Aliwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Makamu...
1 Reactions
6 Replies
762 Views
Naandika Rashda binti Zunde✍️ Watanzania amkeni, Watanzania amkeni tupinge watu kama hawa wanaotusi viongozi wa nchi hadharani. Tuungane kukemea vitendo kama hivi huu ni udharirishaji wa Rais...
12 Reactions
259 Replies
18K Views
Na hamtaamini macho yenu kwenye Mkutano wa Jumapili wa Tundu Lissu na Mbowe hapa Musoma mjini. CCM sasa ni muda wa watu wa Mara kuwaonesha kwa vitendo kuwa tumechoka na hatuwataki. Tutakuja na...
24 Reactions
59 Replies
5K Views
Muundo wa sasa wa Tume ya Uchaguzi ni sawa na Mtego wa Panya hunaswa wahusika na wasiohusika Angalizo: Chadema wakishiriki Uchaguzi kwa Tume hii ya Uchaguzi ni Wazi CCM itashinda kirahisi lakini...
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Kenya Imetanga kuondoa hitaji la kuwa na Visa Kwa raia kutoka Mataifa ya Afrika wanaotaka kuingia na kuishi Nchini humo. Je Tanzania tufuate Mkondo Kwa kuondoa visa Kwa Nchi zote za Afrika Ili...
7 Reactions
55 Replies
4K Views
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI Utangulizi Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka...
18 Reactions
276 Replies
19K Views
Tofauti ya Chadema na vyama vingine vya kisiasa ni hii , Yaani huku Chadema mtu yeyote mwanachama akipewa kibali na chama chake anaweza kuitisha Mkutano wa hadhara na akajaza Umati. Kwa mfano...
0 Reactions
8 Replies
792 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…