1. Wakati mwingine kabla hatujasaini hii mikataba tupate muda wa kutosha kusoma na kuhoji kabla ya kukimbilia kusaini ili tuwahi shopping.
2. Tukumbuke baada ya kusaini ni utekelezaji, hakuna...
Hakika wakati ni mwalimu mzuri sana. Nyerere anasema huwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kuwa hayapo. Naaam moto wa CHADEMA umewaka.
Hakuna kubebana kwenye malori.
Hakuna matangazo ya radio...
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu...
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.
Aliyekuwa...
Wanabodi,
Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi.
Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza...
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa amesema kuwa kwa kasi ya maendeleo inayofanywa na Mhe. Dr. Hussen Ali Mwinyi na Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassani CCM lazima ishinde kwa kishido katika uchaguzi ujao...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Najua upo kwenye kipindi cha kusoma mchezo wa DP world na reactions za watanzania. Hilo sitaliongelea kwa sababu limepata wadau wengi sana wa kujadili na mimi...
Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa.
Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe...
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba...
Habari wana jukwaa najua humu ndani kuna wazee wa mjini karibu na viunga vya mahakama na wengineo ni wanasheria wanaofuatilia mienendo ya kesi mbalimbali.
Narejea kesi ya mtuhumiwa wa wizi wa...
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.
Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna...
Wakiwa kwenye Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), Rais Samia wa Tanzania na Rais William Ruto wa Kenya walitaniana kuhusu Matumizi Sahihi ya Lugha za Kiswahili na...
Huyu Askari aliyeyasema maneno haya ni wa busara sana. Mama Samia, Rais wetu- Muangalie huyu askari wako kwa jicho la husda kwa jinsi alivyotatua mgogoro huo. Nguvu na mabavu siku zote sio...
Wandugu nawasalimu,
Mh. Magufuli apitie hapa asome na anielewe pia.Naandika ujumbe huu kwa hasira na uchungu mkubwa sana, hizi habari ambazo zinashika kasi kila kukicha kwamba PPF imepokea agizo...
Kilio cha uhaba wa mafuta kinatoka kila sehemu hapa nchini ukiwacha visiwani.
Wakati Makamba anaingia wizarani alikuta wananch tumetulia kwani upatikanaji wa mafuta ulikuwa ni kawaida.
Ameingia...
Nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania , zinatazamiwa kupata Anguko kubwa la thamani ya Shilingi yake, hii ni kutokana na Uhaba mkubwa wa Dolla, unaosababishwa na Trade Imbalance na mambo mengine ya...
Waarabu wa Dubai wasingepata upinzani wowote kama huu wa bandari endapo wangezinunua Yanga na Simba.
Akitokea Mwarabu yoyote akainunua Simba au Yanga na kuifanya kuwa na ukwasi mkubwa wa fedha na...
Mbunge wa Viti maalum mkoani Geita Mhe Rose Busiga amewataka wanawake wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita kuendelea kuwa jeshi la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu...