Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1. Wakati mwingine kabla hatujasaini hii mikataba tupate muda wa kutosha kusoma na kuhoji kabla ya kukimbilia kusaini ili tuwahi shopping. 2. Tukumbuke baada ya kusaini ni utekelezaji, hakuna...
0 Reactions
5 Replies
963 Views
Hakika wakati ni mwalimu mzuri sana. Nyerere anasema huwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kuwa hayapo. Naaam moto wa CHADEMA umewaka. Hakuna kubebana kwenye malori. Hakuna matangazo ya radio...
26 Reactions
49 Replies
4K Views
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu...
13 Reactions
52 Replies
3K Views
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine. Aliyekuwa...
12 Reactions
143 Replies
23K Views
Wanabodi, Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi. Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza...
19 Reactions
55 Replies
5K Views
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa amesema kuwa kwa kasi ya maendeleo inayofanywa na Mhe. Dr. Hussen Ali Mwinyi na Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassani CCM lazima ishinde kwa kishido katika uchaguzi ujao...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Najua upo kwenye kipindi cha kusoma mchezo wa DP world na reactions za watanzania. Hilo sitaliongelea kwa sababu limepata wadau wengi sana wa kujadili na mimi...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa. Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe...
27 Reactions
255 Replies
23K Views
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba...
22 Reactions
81 Replies
8K Views
Habari wana jukwaa najua humu ndani kuna wazee wa mjini karibu na viunga vya mahakama na wengineo ni wanasheria wanaofuatilia mienendo ya kesi mbalimbali. Narejea kesi ya mtuhumiwa wa wizi wa...
14 Reactions
49 Replies
5K Views
Hongera Spika Tulia Akson kwa kukemea jambo hili, mtu anaingia Bungeni anaanza kuongea na simu ni ushamba, pumbavu kabisa, wasichaguliwe Tena.
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!. Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna...
13 Reactions
82 Replies
3K Views
Wakiwa kwenye Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), Rais Samia wa Tanzania na Rais William Ruto wa Kenya walitaniana kuhusu Matumizi Sahihi ya Lugha za Kiswahili na...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Huyu Askari aliyeyasema maneno haya ni wa busara sana. Mama Samia, Rais wetu- Muangalie huyu askari wako kwa jicho la husda kwa jinsi alivyotatua mgogoro huo. Nguvu na mabavu siku zote sio...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Wandugu nawasalimu, Mh. Magufuli apitie hapa asome na anielewe pia.Naandika ujumbe huu kwa hasira na uchungu mkubwa sana, hizi habari ambazo zinashika kasi kila kukicha kwamba PPF imepokea agizo...
20 Reactions
109 Replies
20K Views
Kilio cha uhaba wa mafuta kinatoka kila sehemu hapa nchini ukiwacha visiwani. Wakati Makamba anaingia wizarani alikuta wananch tumetulia kwani upatikanaji wa mafuta ulikuwa ni kawaida. Ameingia...
5 Reactions
19 Replies
763 Views
Nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania , zinatazamiwa kupata Anguko kubwa la thamani ya Shilingi yake, hii ni kutokana na Uhaba mkubwa wa Dolla, unaosababishwa na Trade Imbalance na mambo mengine ya...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Waarabu wa Dubai wasingepata upinzani wowote kama huu wa bandari endapo wangezinunua Yanga na Simba. Akitokea Mwarabu yoyote akainunua Simba au Yanga na kuifanya kuwa na ukwasi mkubwa wa fedha na...
4 Reactions
11 Replies
670 Views
Mbunge wa Viti maalum mkoani Geita Mhe Rose Busiga amewataka wanawake wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita kuendelea kuwa jeshi la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu...
0 Reactions
1 Replies
705 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…