Wito: Hoja za Kisheria za TLS, Prof. Shivji na wengine wote kupinga IGA, zisijibiwe Kisiasa kwa maneno matupu!, zijibiwe Kisheria kwa Vifungu!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,502
113,610
Wanabodi,
Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi.

Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do kuhusu hiyo IGA.

Jana hiyo hiyo ikatokea coincidentally Jukwaa la Wahariri likawaita wahusika wakuu kwenye mkutano na Wahariri, na kujibu maswali ya Wahariri.

Kwanza niwapongeze TEF kwa initiative hiyo, mkutano huo uliotangazwa live na media zetu mainstream na social media, umelisaidia sana taifa katika uelimishaji umma kuhusu jambo hili.

Tangu sakata hili lianze, serikali yetu haijawahi kuwa proactive hata mara moja kwa kujitokeza kuelimisha umma, siku zote, ni inakuwa reactive kujitokeza kujibu hoja.

Miongoni mwa wajibu hoja huo mkutano wa jana ni Wanasheria, kiongozi wa Jopo la Wanasheria, Hamza Johari na Mwanasheria wa Wizara.

Bandiko hili ni wito kwa serikali yetu tukufu na Sikivu, IGA imepingwa kwenye fronts kuu mbili, hoja za Kisiasa, na hoja za Kisheria.

Kwenye hoja za kisiasa ni watu mbalimbali wameibuka ama kuunga mkono ama kuipinga kwa hoja za kisiasa, hoja hizi zikijibiwa kisiasa ni sawa.

Lakini kuna hoja very solid za kisheria zilizotolewa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS, na hoja nyingine nyingi za kisheria zilizoibuliwa na wanasheria mbalimbali, akiwemo Prof. Shivji, Rugemeleza Nshala, Mwambukusi na mawakili wengine wengi.

Hoja hizi za kisheria zimetolewa kwa maandishi zikiandamana na vifungu vya kisheria. Jana nimesikia zikijibiwa kwa kauli nyepesi nyepesi za kisiasa za maneno matupu bila vifungu vya kisheria to back up majibu hayo.

Natoa wito kwa serikali yetu Sikivu, hoja zote za kisheria kuuipinga IGA zilizotolewa kwa maandishi zikiwemo hoja za TLS, Prof. Shivji na Wengine wote Kupinga IGA, zisijibiwe kisiasa kwa kauli tuu nyepesi nyepesi za maneno maneno matupu!, hoja hizi nzito za kisheria, zijibiwe kisheria kwa maandishi zikiambatana na vifungu!.

Kufuatia IGA hii, katika kuiunga mkono, kumejitokeza wanasheria chawa wanaofanya uchawa wa kisheria kuitetea hii IGA.

Na mimi kwa vile ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nami nilitoa hoja zangu kuhusu hii IGA Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! ambazo baadhi mpaka sasa bado hazijajibiwa popote!.
Kwa vile IGA ni utangulizi wa HGA, naomba kuendelea kuwapa matumaini Watanzania kuwa kwa kelele hizi, HGA, itakuwa nzuri.

Serikali Ijibu Hoja.
Paskali
 
Hili jambo halikupangika vyema. Ndio maana hawawezi kuwa na majibu hayo ya kisheria.

Tuanza na makosa tu ktk hiyo nyaraka;
1. Ile power of attorney ya mh. Rais, inavyosomeka ni kwamba inampa Waziri Mbarawa kusaini kwa niaba ya Tz na Dubei. Sasa hilo wanajibuje? Kwamba ilikosewa?
2. Hiyo IGA, wahusika wote wa upande wa Dubei, hawaeleweki, majina, vyeo, kuna saini tu. Ni kina nani?
3. IGA ni kati nchi na nchi, Sisi Rais kaonekana kwenye nyaraka, Waziri, kaonekana, na kuna sehemu PS wa wizara kaonekana, wao yupo mkurugenzi wa bandari (DP WORLD), hii ni kampuni tu. Wa Dubei wako wapi?! Unajibuje hilo ..
4. Power of Attorney upande ule alopewe huyo Mkurugenzi wa bandari Dubei, kapewa na nani?! Ukiisoma unaona juu tu, stamp ya Government of Dubei. Ni nani katika serikali ya Dubai, kampa hiyo nguvu,? Cheo na majina na signature, havipo? Mbona sisi Mh Samia kaonekana. Unajibu hili?
5. Zile hoja za huyu mwekezaji kupewa Land Rights na sheria za ufidiaji kinyume na sheria zetu za Ardhi, unazijibuje?!
6. Alisema Prof. Shivji, wao DP World wamepewa haki zote za mkataba, sisi Tanzania tumechukua wajibu wote wa mkataba. Yeye haonekani ktk kipengele chochote akiwa na wajibu. Ni nini hiki?!
7. Wanasema wakienda usuluhishi huko S. Afrika , sheria inayotumika ni "Laws of England". Hii inakinzana na sheria zetu zote. Unajibuje hilo?!
8. Mchakato wa tender ulitangazwa kwa tangazo lipi? Waweke wazi,

Mambo ni mengi sana.

Hili jambo ni zito.
 
Wanabodi,
Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi.

Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do kuhusu hiyo IGA.

Jana hiyo hiyo ikatokea coincidentally Jukwaa la Wahariri likawaita wahusika wakuu kwenye mkutano na Wahariri, na kujibu maswali ya Wahariri.

Kwanza niwapongeze TEF kwa initiative hiyo, mkutano huo uliotangazwa live na media zetu mainstream na social media, umelisaidia sana taifa katika uelimishaji umma kuhusu jambo hili.

Tangu sakata hili lianze, serikali yetu haijawahi kuwa proactive hata mara moja kwa kujitokeza kuelimisha umma, siku zote, ni inakuwa reactive kujitokeza kujibu hoja.

Miongoni mwa wajibu hoja huo mkutano wa jana ni Wanasheria, kiongozi wa Jopo la Wanasheria, Hamza Johari na Mwanasheria wa Wizara.

Bandiko hili ni wito kwa serikali yetu tukufu na Sikivu, IGA imepingwa kwenye fronts kuu mbili, hoja za Kisiasa, na hoja za Kisheria.

Kwenye hoja za kisiasa ni watu mbalimbali wameibuka ama kuunga mkono ama kuipinga kwa hoja za kisiasa, hoja hizi zikijibiwa kisiasa ni sawa.

Lakini kuna hoja very solid za kisheria zilizotolewa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS, na hoja nyingine nyingi za kisheria zilizoibuliwa na wanasheria mbalimbali, akiwemo Prof. Shivji, Rugemeleza Nshala, Mwambukusi na mawakili wengine wengi.

Hoja hizi za kisheria zimetolewa kwa maandishi zikiandamana na vifungu vya kisheria. Jana nimesikia zikijibiwa kwa kauli nyepesi nyepesi za kisiasa za maneno matupu bila vifungu vya kisheria to back up majibu hayo.

Natoa wito kwa serikali yetu Sikivu, hoja zote za kisheria kuuipinga IGA zilizotolewa kwa maandishi zikiwemo hoja za TLS, Prof. Shivji na Wengine wote Kupinga IGA, zisijibiwe kisiasa kwa kauli tuu nyepesi nyepesi za maneno maneno matupu!, hoja hizi nzito za kisheria, zijibiwe kisheria kwa maandishi zikiambatana na vifungu!.

Kufuatia IGA hii, katika kuiunga mkono, kumejitokeza wanasheria chawa wanaofanya uchawa wa kisheria kuitetea hii IGA.

Na mimi kwa vile ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nami nilitoa hoja zangu kuhusu hii IGA Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! ambazo baadhi mpaka sasa bado hazijajibiwa popote!.
Kwa vile IGA ni utangulizi wa HGA, naomba kuendelea kuwapa matumaini Watanzania kuwa kwa kelele hizi, HGA, itakuwa nzuri.

Serikali Ijibu Hoja.
Paskali
Kama kilichowekwa hadharani kina kasoro cha sirini je?
Mungu ni fundi ndio maana uso unavutia Ila sehemu za Siri hazivutii mkuu! Elewa hapo Tu.
 
UVCCM wametumwa wafanye maandamano nchi nzima kuunga mkataba wa DP world.

CHADEMA na wananchi wengine wakiitisha maandamano pia Polisi wayalinde kama ya UVCCM.

Cha ajabu serikali sijui inashindwa nini kusema kua mkataba ni wa miaka mingapi?!

Inashindwa kuja na details kua DP WORLD watawekeza kiasi gani na sehemu gani?!!

Wanashindwa kusema wataongeza ufanisi wa makontena kiasi gani kwa mwaka ikiwa inajulikana kwa sasa kiasi gani yanaingia?!!

Kusema tu mapato yataobgezeka kiasi gani kwa mujibu wa project plan pia wanashindwa?!!

Ukwasikikiza mawaziri mpaka raisi wanaishia tu kutetea na kutisha wakosoaji,kuwapa clear infos Watanzania hawatoi!!

Tumeanza kuingiza udini,ubara na uzanzibari, propganda haitaisaidia serikali bali maelezo nyoofu!!
 
Majibu ya serikali kuhusiana na mkataba wanatuelezea madhaifu ya bandari ambayo sote tunayafahamu na faida za uwekezaji ambazo ni za kufikirika tu kwakua mambo wanayoyaita ni faida hayapo katika makubaliano ya awali.

Nani anaweza amini kuwa hizo zinazoitwa faida ni kweli zitakua faida ilhali bado hatujakaa na kukubaliana na wawekezaji katika mambo ambayo yanahisiwa yataleta faida??

Kama Ticts walikuwa Bandarini kwa almost 20 years na bado bandari haikuperform basi tatizo sio uwekezaji bali ni sisi wenyewe.

Naamini kabisa kuwa hata hao DP wakija bado mambo yatakuwa business as usual that iam 100% sure maana hakuna uwekezaji hapa nchini uliofanikiwa kuleta faida.

Huko kwenye madini tuliambiwa hivi hivi serikali kwa aibu ikawa inaambulia 3% ya mrabaha ambayo baadae ikaja kuwa 5%.

That being said. Ni bora mara elfu tukaisimamia bandari yetu wenyewe kwa kuwajibishana badala ya kumpa faida mgeni tukidanganyana kwa mambo ya kufikirika ambayo hayapo wala hayatakuja kutokea.
 
Hili jambo halikupangika vyema. Ndio maana hawawezi kuwa na majibu hayo ya kisheria.

Tuanza na makosa tu ktk hiyo nyaraka;
1. Ile power of attorney ya mh. Rais, inavyosomeka ni kwamba inampa Waziri Mbarawa kusaini kwa niaba ya Tz na Dubei. Sasa hilo wanajibuje? Kwamba ilikosewa?
2. Hiyo IGA, wahusika wote wa upande wa Dubei, hawaeleweki, majina, vyeo, kuna saini tu. Ni kina nani?
3. IGA ni kati nchi na nchi, Sisi Rais kaonekana kwenye nyaraka, Waziri, kaonekana, na kuna sehemu PS wa wizara kaonekana, wao yupo mkurugenzi wa bandari (DP WORLD), hii ni kampuni tu. Wa Dubei wako wapi?! Unajibuje hilo ..
4. Power of Attorney upande ule alopewe huyo Mkurugenzi wa bandari Dubei, kapewa na nani?! Ukiisoma unaona juu tu, stamp ya Government of Dubei. Ni nani katika serikali ya Dubai, kampa hiyo nguvu,? Cheo na majina na signature, havipo? Mbona sisi Mh Samia kaonekana. Unajibu hili?
5. Zile hoja za huyu mwekezaji kupewa Land Rights na sheria za ufidiaji kinyume na sheria zetu za Ardhi, unazijibuje?!
6. Alisema Prof. Shivji, wao DP World wamepewa haki zote za mkataba, sisi Tanzania tumechukua wajibu wote wa mkataba. Yeye haonekani ktk kipengele chochote akiwa na wajibu. Ni nini hiki?!
7. Wanasema wakienda usuluhishi huko S. Afrika , sheria inayotumika ni "Laws of England". Hii inakinzana na sheria zetu zote. Unajibuje hilo?!
8. Mchakato wa tender ulitangazwa kwa tangazo lipi? Waweke wazi,

Mambo ni mengi sana.

Hili jambo ni zito.
Hapo kwenye kipengele namba nne, hata kama wangeonekana hao walomoa huyo mkurugenz wa bandar Dubai hiyo pawa ov atoni, je anaepaswa kumpa hiyo atoni ni kutoka Dubai ama kutoka united Arab Emirates?? Yani dubei inaweza kufanya hizo iga na hga na URT?? Halafu nikimsikia jery slaa anasema KIMATAIFA kesi hizo husimamiwa na mikataba ya viena, Sasa sie huko KIMATAIFA tutaelezaje kwamba linchi limefanya mkataba na mji??

Mi nadhan dubei ingefanya makubaliano na mji wa dar-es-alaam ama nakosea?? Tanzania na united Arab Emirates

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
What is the difference between an MOU and an IGA?


An MOU can also describe what will occur if a party is unable to carry out its responsibilities. An Intergovernmental Agreement (IGA) is a contract between two or more governmental entities that is legally enforceable.


Kuna upotoshaji kuwa IGA sio mkataba bali ni makubaliano. Hata jana nilisikia wakijaribu ku I spin hivyo lakini walikuwa wanateleza na kuiita mkataba. Kwa wale wanaodai kuwa sio mkataba kwa sababu haina consideration wanasahau kuwa obligations ni consideration na usipozitimiza unakuwa umekiuka mkataba na hatua stahili zinaweza kuchukuliwa dhidi yako.

Amandla...
 
Sasa Shivji unamjibu nini?
Mtu kaongea openly kuwa serikali inafanya kusudi bandari ifeli ili ibinafsishwe...mtu kama huyu unamjibu nini?
Mtu kabaki Karne ya 20 ya kutaka serikali ifanye kilakitu..utamjibu nini??
 
Hili jambo halikupangika vyema. Ndio maana hawawezi kuwa na majibu hayo ya kisheria.

Tuanza na makosa tu ktk hiyo nyaraka;
1. Ile power of attorney ya mh. Rais, inavyosomeka ni kwamba inampa Waziri Mbarawa kusaini kwa niaba ya Tz na Dubei. Sasa hilo wanajibuje? Kwamba ilikosewa?
2. Hiyo IGA, wahusika wote wa upande wa Dubei, hawaeleweki, majina, vyeo, kuna saini tu. Ni kina nani?
3. IGA ni kati nchi na nchi, Sisi Rais kaonekana kwenye nyaraka, Waziri, kaonekana, na kuna sehemu PS wa wizara kaonekana, wao yupo mkurugenzi wa bandari (DP WORLD), hii ni kampuni tu. Wa Dubei wako wapi?! Unajibuje hilo ..
4. Power of Attorney upande ule alopewe huyo Mkurugenzi wa bandari Dubei, kapewa na nani?! Ukiisoma unaona juu tu, stamp ya Government of Dubei. Ni nani katika serikali ya Dubai, kampa hiyo nguvu,? Cheo na majina na signature, havipo? Mbona sisi Mh Samia kaonekana. Unajibu hili?
5. Zile hoja za huyu mwekezaji kupewa Land Rights na sheria za ufidiaji kinyume na sheria zetu za Ardhi, unazijibuje?!
6. Alisema Prof. Shivji, wao DP World wamepewa haki zote za mkataba, sisi Tanzania tumechukua wajibu wote wa mkataba. Yeye haonekani ktk kipengele chochote akiwa na wajibu. Ni nini hiki?!
7. Wanasema wakienda usuluhishi huko S. Afrika , sheria inayotumika ni "Laws of England". Hii inakinzana na sheria zetu zote. Unajibuje hilo?!
8. Mchakato wa tender ulitangazwa kwa tangazo lipi? Waweke wazi,

Mambo ni mengi sana.

Hili jambo ni zito.
Hongera,nilikuwa na hoja kama nne zilizotajwa na wanasheria,nilitaka kutoa Uzi umezitaja Sina Cha kuongeza.
 
Kwa hoja zilizopo mezani, nashauri hatua zifuatazo zichukuliwe haraka.

Mbarawa na hao akija Johari wajiuzulu na kuwajibishwa kwa makosa mengi ya kiuandishi na kumaudhui yaliyopo kwenye huo unaoitwa mkataba.

Samia tukubali kumsamehe kuwa alidanganywa lakini naye akubali kuubatilisha huo mkataba haramu.

Spika wa bunge akubali kuwakosea watanzania. Ajiuzulu nafasi yake ya uspika, kisha aombe radhi watanzania kwa kuwa sehemu ya hujuma dhidi ya taifa.

Wabunge wakiongozwa na Spika Tulia (akishajiuzulu) tuwaache tumalizane nao 2025.

Nawasilisha.
 
Majibu ya serikali kuhusiana na mkataba wanatuelezea madhaifu ya bandari ambayo sote tunayafahamu na faida za uwekezaji ambazo ni za kufikirika tu kwakua mambo wanayoyaita ni faida hayapo katika makubaliano ya awali.

Nani anaweza amini kuwa hizo zinazoitwa faida ni kweli zitakua faida ilhali bado hatujakaa na kukubaliana na wawekezaji katika mambo ambayo yanahisiwa yataleta faida??

Kama Ticts walikuwa Bandarini kwa almost 20 years na bado bandari haikuperform basi tatizo sio uwekezaji bali ni sisi wenyewe.

Naamini kabisa kuwa hata hao DP wakija bado mambo yatakuwa business as usual that iam 100% sure maana hakuna uwekezaji hapa nchini uliofanikiwa kuleta faida.

Huko kwenye madini tuliambiwa hivi hivi serikali kwa aibu ikawa inaambulia 3% ya mrabaha ambayo baadae ikaja kuwa 5%.

That being said. Ni bora mara elfu tukaisimamia bandari yetu wenyewe kwa kuwajibishana badala ya kumpa faida mgeni tukidanganyana kwa mambo ya kufikirika ambayo hayapo wala hayatakuja kutokea.
Kama Ticts walikuwa Bandarini kwa almost 20 years na bado bandari haikuperform basi tatizo sio uwekezaji bali ni sisi wenyewe. 💉🔨
 
Wanabodi,
Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi.

Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do kuhusu hiyo IGA.

Jana hiyo hiyo ikatokea coincidentally Jukwaa la Wahariri likawaita wahusika wakuu kwenye mkutano na Wahariri, na kujibu maswali ya Wahariri.

Kwanza niwapongeze TEF kwa initiative hiyo, mkutano huo uliotangazwa live na media zetu mainstream na social media, umelisaidia sana taifa katika uelimishaji umma kuhusu jambo hili.

Tangu sakata hili lianze, serikali yetu haijawahi kuwa proactive hata mara moja kwa kujitokeza kuelimisha umma, siku zote, ni inakuwa reactive kujitokeza kujibu hoja.

Miongoni mwa wajibu hoja huo mkutano wa jana ni Wanasheria, kiongozi wa Jopo la Wanasheria, Hamza Johari na Mwanasheria wa Wizara.

Bandiko hili ni wito kwa serikali yetu tukufu na Sikivu, IGA imepingwa kwenye fronts kuu mbili, hoja za Kisiasa, na hoja za Kisheria.

Kwenye hoja za kisiasa ni watu mbalimbali wameibuka ama kuunga mkono ama kuipinga kwa hoja za kisiasa, hoja hizi zikijibiwa kisiasa ni sawa.

Lakini kuna hoja very solid za kisheria zilizotolewa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS, na hoja nyingine nyingi za kisheria zilizoibuliwa na wanasheria mbalimbali, akiwemo Prof. Shivji, Rugemeleza Nshala, Mwambukusi na mawakili wengine wengi.

Hoja hizi za kisheria zimetolewa kwa maandishi zikiandamana na vifungu vya kisheria. Jana nimesikia zikijibiwa kwa kauli nyepesi nyepesi za kisiasa za maneno matupu bila vifungu vya kisheria to back up majibu hayo.

Natoa wito kwa serikali yetu Sikivu, hoja zote za kisheria kuuipinga IGA zilizotolewa kwa maandishi zikiwemo hoja za TLS, Prof. Shivji na Wengine wote Kupinga IGA, zisijibiwe kisiasa kwa kauli tuu nyepesi nyepesi za maneno maneno matupu!, hoja hizi nzito za kisheria, zijibiwe kisheria kwa maandishi zikiambatana na vifungu!.

Kufuatia IGA hii, katika kuiunga mkono, kumejitokeza wanasheria chawa wanaofanya uchawa wa kisheria kuitetea hii IGA.

Na mimi kwa vile ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nami nilitoa hoja zangu kuhusu hii IGA Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! ambazo baadhi mpaka sasa bado hazijajibiwa popote!.
Kwa vile IGA ni utangulizi wa HGA, naomba kuendelea kuwapa matumaini Watanzania kuwa kwa kelele hizi, HGA, itakuwa nzuri.

Serikali Ijibu Hoja.
Paskali
Hakuna hoja iliyotolewa ambayo haijajibiwa hadi sasa.

Kinachotokea sasa sio kwamba Serikali haijajibu ila watu wameamua kuamini pande wanayoona waiamini hata kama wamepewa maelezo sahihi. Na hii ni Siasa.

Serikali imeshatoa maelekezo na sasa haipaswi kutumia muda kujieleza tena. Inatakiwa iendelee na taratibu za kukamilisha makubaliano na mikataba mingine maana wakati ni ukuta.
 
It's mistakenly a deal, but a bad deal.
Kama Kuna chochote kwenye capacity ya serikal inaweza fanya kututoa hapa ingekuwa safi sana, kuliko huu ufafanuzi wanaotoa, ambao haubadilishi chochote.
 
Back
Top Bottom