gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 759
- 1,250
Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
UPDATE
TAWA kuchunguza Nyara za Serikali kukamatwa Australia
UPDATE
TAWA kuchunguza Nyara za Serikali kukamatwa Australia