Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha jana imemwamuru Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Isack Joseph maarufu kwa jina la Kadogoo kumlipa shilingi milioni 250 Mkuu wa Mkoa...
Wadau nawasabahi
CCM imekuwa ikiviita Vipindi vya Urais kuwa ni AWAMU.
Kwa kuanzia RAIS NYERERE alikuwa Rais Wa kwanza KUTAWALA ikaitwa AWAMU ya 1na ilikoma Mwaka 1985 .
AWAMU ya Pili ilianza...
Nawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania...
Rais Samia tokea kaingia madarakani anafavor sana matajiri,yaani walionazo pesa tayari.
Kwanza kabisa alimzawadia Mwinyi Rais mstaafu Benz la million 100. Imagine kuna watanzania hata maji ya...
Enyi wanasheria mnioneshe ibara yoyote kwenye katiba yetu ya 1977 inayoelezea wajibu, haki na madaraka ya mkulima/ mfugaji katika kumiliki ardhi, kulima/ kufuga na kupata masoko.
Au nionesheni...
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM...
Mhe. Rais ameelekeza korosho yote ya Mtwara isafirishwe kwa njia ya meli kupitia bandari ya Mtwara; vinginevyo ukitaka kusafirisha kwa barabara lazima uombe kibali kwa mkuu wa mkoa na polisi...
Fikiria wakati ule hakuna TV wala Simu za mkononi lakini Miamba ilikuwa haidanganyiki inakuja na full data
Nakumbuka Injinia Mushi alivyosombwa pale Iringa baada ya Kufisadi Fedha za Mradi wa...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Cuba zimesaini Hati za Makubaliano ya kushirikiana katika sekta ya elimu ya juu kwa kubadilishana wakufunzi na wanafunzi...
Kwa kweli inasikitisha sana hali nchi yetu iliyofikia, hivi sasa ni nadra kufungua gazeti au chombo cha habari bila kuona kiongozi fulani yuko mara na kanisa hili au msikiti ule kuufanyia...
Mwenyekiti wa Chama cha Ada Tadea ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania Mhe. Juma Ali Khatib amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika kuimarisha suala...
Rea project process za tender lazima main contractor afate proccess and procedures.
Bond security bank awe nayo na awe na uwezo wa kuendesha kazi kwa gharama zake running cost na kuwa na facility...
Viongozi wetu waache double standards,majuzi hapa Kigwangala alikosa kazi ya kufanya akafunga safari kwenda kumvamia Dr.Mwaka eti kwa kisa tu kwamba anajiita dokta pasipo kuwa na taaluma ya...
JamiiForums na Haki Mawasiliano wameshirikiana kuandaa mjadala katika kuadhimisha Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani.
Kauli Mbiu katika mjadala huu ni “Kuwezesha Kizazi Kijacho”, ambapo...
Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua. Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama.
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme...
Morng
Hii nchi kumpata kiongozi mzuri kama Lowassa ni ngumu sana huyu ndiye angeifikisha mbali sana Tanzania, kwaza alijua shida iliopo Tanzania ni elimu na alianza kuweka nguvu nyingi kwenye...
Katibu mkuu wa CHADEMA mh John Mnyika amesema ili tuwe na Uchaguzi mkuu na Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulio Huru na Haki ni Lazima vifungu 13 vya Katiba ya JMT ya 1977 vifanyiwe marekebisho...
Mheshimiwa Rais, uvundo ni mwingi ni wewe tu kuwa makini na watendaji wako wanaokusaidia huku. Moja ya mambo ambayo utakutana nayo ni miradi ya maji ambayo watendaji walijipangia bei ya Tsh 100...
https://youtu.be/pujDph3UjJE?si=Umo9zkZb1hh6nkm2
The gem weighs 2.8 kilograms and was mined in Tanzania has been named Burj Alhamalhttps://youtu.be/pujDph3UjJE?si=1thDGzJDKk_0W5hT
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewaagiza Maafisa Utumishi wa Halmashauri zote nchini kuacha tabia ya kukaa ofisini badala yake...