Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Morng
Hii nchi kumpata kiongozi mzuri kama Lowassa ni ngumu sana huyu ndiye angeifikisha mbali sana Tanzania, kwaza alijua shida iliopo Tanzania ni elimu na alianza kuweka nguvu nyingi kwenye elimu ili watu wasiwe wajinga.
Lakini pia lowassa alikuwa na maono ya mbali sana na Tanzania na hakuna mwanasiasa atakae tokea kuwa kama yeye hawa tulio nao sasa ni waganga njaaa hakuna tumaini tena sio upinzani wala ccm
Watu wanamuona kama Biteko kuwa Rais mzuri ajae ila mimi silioni ilo kwa Biteko kabisa kwaza tukague jimboni kwake kafanya yapi ya ajabu?
Ukweli tuseme hakuna tumaini jipya kwasasa
Hii nchi kumpata kiongozi mzuri kama Lowassa ni ngumu sana huyu ndiye angeifikisha mbali sana Tanzania, kwaza alijua shida iliopo Tanzania ni elimu na alianza kuweka nguvu nyingi kwenye elimu ili watu wasiwe wajinga.
Lakini pia lowassa alikuwa na maono ya mbali sana na Tanzania na hakuna mwanasiasa atakae tokea kuwa kama yeye hawa tulio nao sasa ni waganga njaaa hakuna tumaini tena sio upinzani wala ccm
Watu wanamuona kama Biteko kuwa Rais mzuri ajae ila mimi silioni ilo kwa Biteko kabisa kwaza tukague jimboni kwake kafanya yapi ya ajabu?
Ukweli tuseme hakuna tumaini jipya kwasasa