GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Mheshimiwa Rais, uvundo ni mwingi ni wewe tu kuwa makini na watendaji wako wanaokusaidia huku. Moja ya mambo ambayo utakutana nayo ni miradi ya maji ambayo watendaji walijipangia bei ya Tsh 100 ambayo kimsingi haitambuliki kwenye nyaraka maalum huku bei rasmi ikiwa 50, hiyo 50 Wanajua wao jinsi walivyotumia, ujio wako umesababisha kuanzia jana bei ishushwe ghafla na kuwa Tsh 50, Tena na mabango yamewekwa hii yote ni kujikosha.