17 September 2023
UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK
DR. PHILIP MPANGO MKUTANO WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA UNGA-78 SEPT.2023
Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuanza tarehe 18 September...
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake
Kwa takriban...
Hao jamaa kwa kitendo cha kugomea nafasi waliopewa na mh Rais kwenda kumsaidia kutekeleza ilani ni tatizo kubwa sana.
Na chakushangaza maafisa utumishi katika Halmashauri mbalimbali nchini...
Utawasikia hata waheshimiwa, viongozi wa Taasisi za Serikali na Mashirika wakisema "Tunasherehekea miaka 59 ya Muungano wetu wa Tanzania Bara na Zanzibar
Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara...
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.
R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa...
Ziara ya karibuni ya Mh. Samia Suluhu Hassan kusini mwa Tanzania.
1. Imeonyesha Watanzania wana Imani kubwa na Mh Samia Suluhu Hassan.
2. Imeleta picha vyama pinzani/vyama rafiki wa CCM...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) ambalo kimsingi ndilo lenye mamlaka ya kisheria katika kusimamia taaluma ya Utabibu nchini linalalamikiwa na Wanataaluma wa tiba...
WanaJF Kuna swali huwa linanitatiza kwa nini ni Rahisi sana Kwa mwanasiasa toka Zanzibar kuja kupata uongozi bara lakini ni nadra kusikia mtu wa bara kapata uongozi Zanzibar?
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei...
Wakuu Salam,
Hakuna kipindi kigumu serikali ya awamu ya Sita inapitia kama hili la kuitwa wezi na wabadhirifu.
Hizi shutuma ni kubwa na kama sio kumbeba Magufuli kimzobe mzobe 2015 almanusura...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesisitiza matumizi ya Serikali Mtandao katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa Maadili...
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa...
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO)
OFISI YA KATIBU MKUU
(Party’sSecretaryGeneralOffice)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama Cha ACT Wazalendo kimepokea kwa uzito wake...
Williamu Ruto kwa sasa alishafunga kazi ya kuunda Serikali na kilicho bakia ni wateile wanachapa kazi sasa ya kuwaletea Wakenya Maendeleo. Kumbuka Ruto kaapishwa mwaka 2022 Sept, kwa sasa ndio...
Sidhani kama kuna UBISHI juu ya TANESCO.Mfupa wa TANESCO ni MGUMU pamoja na Kubadilishiwa WAZIRI bado unaendelea kuwa MGUMU.
Kwa kuwa TUMEAMUA kuleta WAWEKEZAJI basi NASHAURI Mwekezaji awe yule...
Mama samia raisi wetu mpendwa mama yetu msikivu naomba tondole hii kero ya muda mrefu sana wazuie TRA na TPA wasiuze mizigo ya Watanzania bandarini kwakisingizio cha kukosa pesa za kulipia...
Swali mezani:
Serikali ya uchina inafanikiwa vipi kufanya biashara na kutoa huduma kwa mafanikio makubwa kwa kutikisa dunia huku Tanzania tukiaminishwa serikali haiwezi vyote ila ubinafsishaji...
Wasalaam wakuu.
Siku zote tumezoea kuwaona, viongozi mbalimbali kama Raisi na Waziri mkuu wakitembelea miradi mbalimbali ya kwenye halmashauri kukerwa na ubadhirifu ulipo huko.
Hata ripoti ya...
Naandika haya nikiwa nimefanya utafiti wa kutosha kabisa kuhusu halimashauri za miji isiopungua 15 hapa nchini,kuna ubadhirifu mkubwa sana wa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo zinazoelekezwa...