Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

17 September 2023 UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK DR. PHILIP MPANGO MKUTANO WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA UNGA-78 SEPT.2023 Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuanza tarehe 18 September...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake Kwa takriban...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hao jamaa kwa kitendo cha kugomea nafasi waliopewa na mh Rais kwenda kumsaidia kutekeleza ilani ni tatizo kubwa sana. Na chakushangaza maafisa utumishi katika Halmashauri mbalimbali nchini...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Utawasikia hata waheshimiwa, viongozi wa Taasisi za Serikali na Mashirika wakisema "Tunasherehekea miaka 59 ya Muungano wetu wa Tanzania Bara na Zanzibar Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla. R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa...
18 Reactions
191 Replies
11K Views
Ziara ya karibuni ya Mh. Samia Suluhu Hassan kusini mwa Tanzania. 1. Imeonyesha Watanzania wana Imani kubwa na Mh Samia Suluhu Hassan. 2. Imeleta picha vyama pinzani/vyama rafiki wa CCM...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) ambalo kimsingi ndilo lenye mamlaka ya kisheria katika kusimamia taaluma ya Utabibu nchini linalalamikiwa na Wanataaluma wa tiba...
6 Reactions
111 Replies
16K Views
WanaJF Kuna swali huwa linanitatiza kwa nini ni Rahisi sana Kwa mwanasiasa toka Zanzibar kuja kupata uongozi bara lakini ni nadra kusikia mtu wa bara kapata uongozi Zanzibar?
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam. Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei...
9 Reactions
42 Replies
4K Views
Wakuu Salam, Hakuna kipindi kigumu serikali ya awamu ya Sita inapitia kama hili la kuitwa wezi na wabadhirifu. Hizi shutuma ni kubwa na kama sio kumbeba Magufuli kimzobe mzobe 2015 almanusura...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesisitiza matumizi ya Serikali Mtandao katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa Maadili...
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO) OFISI YA KATIBU MKUU (Party’sSecretaryGeneralOffice) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Chama Cha ACT Wazalendo kimepokea kwa uzito wake...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Williamu Ruto kwa sasa alishafunga kazi ya kuunda Serikali na kilicho bakia ni wateile wanachapa kazi sasa ya kuwaletea Wakenya Maendeleo. Kumbuka Ruto kaapishwa mwaka 2022 Sept, kwa sasa ndio...
8 Reactions
69 Replies
3K Views
Sidhani kama kuna UBISHI juu ya TANESCO.Mfupa wa TANESCO ni MGUMU pamoja na Kubadilishiwa WAZIRI bado unaendelea kuwa MGUMU. Kwa kuwa TUMEAMUA kuleta WAWEKEZAJI basi NASHAURI Mwekezaji awe yule...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mama samia raisi wetu mpendwa mama yetu msikivu naomba tondole hii kero ya muda mrefu sana wazuie TRA na TPA wasiuze mizigo ya Watanzania bandarini kwakisingizio cha kukosa pesa za kulipia...
16 Reactions
47 Replies
6K Views
Swali mezani: Serikali ya uchina inafanikiwa vipi kufanya biashara na kutoa huduma kwa mafanikio makubwa kwa kutikisa dunia huku Tanzania tukiaminishwa serikali haiwezi vyote ila ubinafsishaji...
7 Reactions
72 Replies
3K Views
Wasalaam wakuu. Siku zote tumezoea kuwaona, viongozi mbalimbali kama Raisi na Waziri mkuu wakitembelea miradi mbalimbali ya kwenye halmashauri kukerwa na ubadhirifu ulipo huko. Hata ripoti ya...
2 Reactions
15 Replies
799 Views
Naandika haya nikiwa nimefanya utafiti wa kutosha kabisa kuhusu halimashauri za miji isiopungua 15 hapa nchini,kuna ubadhirifu mkubwa sana wa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo zinazoelekezwa...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…