Ruto alishafunga kazi ya kuunda Serikali, Samia bado anaunda Serikali mwaka wa 3 sasa

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,496
8,735
Williamu Ruto kwa sasa alishafunga kazi ya kuunda Serikali na kilicho bakia ni wateile wanachapa kazi sasa ya kuwaletea Wakenya Maendeleo. Kumbuka Ruto kaapishwa mwaka 2022 Sept, kwa sasa ndio amekamilisha Mwaka Ikulu na kaisha funga teusi, huwezi tena sikia teuzi za Rais Ruto kwa Kenya.

Rais Samia huu ni mwaka wa 3 kazini ila unaweza zania ana siku 8 tangu aapishwe yaani Balaza la mawazili leyenyewe ni teua tengua teua tengua.Daily nchi imjeaaa teuzi tupu.

Habari postive Tanzania ni za teuzi tupu wala sio hata habari za Uchumi wala kuimarika kwa Shiling ya Tanzania hapana. Ukiamka lazima ukutane na habari za kuteua na kuhamisha wizara.

Mama ana mwaka wa 3 anafanyia testing Serikali yake bado yaani hajamaliza kuunda Serikali huu ni mwaka wa tatu sasa yuko Ikulu.

Kama ni mfuatiliaji wa Habari za EAC utagundua kwa Tanzania habari zinazo tawala tangu Samia aingie Mdarakani.ni habari za kutea tu.

Usishange ndani ya wiki 3 zijazo au moja teuzi za wakuu wa wilaya na wakaurugenzi tena kwa.mara nyingine na na kabla ya huu mwaka kuisha wale mawaziri alio wateua wiki jana atawabadilishia vituoa vyao vya kazi.

Ndani ya mwaka mmoja Waziri anazungushwa kwenye wizara 3 tofauti.
 
Williamu Ruto kwa sasa alisha funga kazi ya kuunda Serikali na kilicho bakia ni wateile wanachapa kazi sasa ya kuwaletea Wakenya Maendeleo. Kumbuka Ruto kaapishwa mwaka 2022 Sept, kwa sasa ndio amekamilisha Mwaka Ikulu na kaisha funga teusi, huwezi tena sikia teuzi za Raisi ruto kwa Kenya.

Raisi Samia huu ni mwaka wa 3 kazini ila unaweza zania ana siku 8 tangu aapishwe yaani Balaza la mawazili leyenyewe ni teua tengua teua tengua.Daily nchi imjeaaa teuzi tupu.

Habari postive Tanzania ni za teuzi tupu wala sio jata Habari za Uchumi wala kuimatika kwa Shiling ta Tanzania hapana. Ukiamka lazima ukutane na habari za kutea na kuhamisha wizara.

Mama ana mwaka wa 3 anafanyia testing Serikali yake bado yaani hajamaliza kuunda Serikali huu ni mwaka wa tatu sasa yuko Ikulu.

Kama ni mfuatiliaji wa Habari za EAC utagundua kwa Tanzania habari zinazo tawala tangu Samia aingie Mdarakani.ni habari za kutea tu.

Usishange ndani ya wiki 3 zijazo au moja teuzi za wakuu wa wilaya na wakaurugenzi tena kwa.mara nyingine na na kabla ya huu mwaka kuisha wale mawaziri alio wateua wiki jana atawabadilishia vituoa vyao vya kazi.

Ndani ya mwaka mmoja Waziri anazungushwa kwenye wizara 3 yofauti.
Rafiki kitu usichokijua ni bora unyamaze, Serikali ya Ruto ni ya share ya wale walitoa fedha nyingi za kampeni, ni Serikali ya ukabila, vyeo vingi vimeenda kwa kabila lake, usimlinganishe na Samia
 
Williamu Ruto kwa sasa alisha funga kazi ya kuunda Serikali na kilicho bakia ni wateile wanachapa kazi sasa ya kuwaletea Wakenya Maendeleo. Kumbuka Ruto kaapishwa mwaka 2022 Sept, kwa sasa ndio amekamilisha Mwaka Ikulu na kaisha funga teusi, huwezi tena sikia teuzi za Raisi ruto kwa Kenya.

Raisi Samia huu ni mwaka wa 3 kazini ila unaweza zania ana siku 8 tangu aapishwe yaani Balaza la mawazili leyenyewe ni teua tengua teua tengua.Daily nchi imjeaaa teuzi tupu.

Habari postive Tanzania ni za teuzi tupu wala sio jata Habari za Uchumi wala kuimatika kwa Shiling ta Tanzania hapana. Ukiamka lazima ukutane na habari za kutea na kuhamisha wizara.

Mama ana mwaka wa 3 anafanyia testing Serikali yake bado yaani hajamaliza kuunda Serikali huu ni mwaka wa tatu sasa yuko Ikulu.

Kama ni mfuatiliaji wa Habari za EAC utagundua kwa Tanzania habari zinazo tawala tangu Samia aingie Mdarakani.ni habari za kutea tu.

Usishange ndani ya wiki 3 zijazo au moja teuzi za wakuu wa wilaya na wakaurugenzi tena kwa.mara nyingine na na kabla ya huu mwaka kuisha wale mawaziri alio wateua wiki jana atawabadilishia vituoa vyao vya kazi.

Ndani ya mwaka mmoja Waziri anazungushwa kwenye wizara 3 yofauti.
shida kubwa......................
 
Kuunda Serikali ni process

Tatizo Bunge la safari hii lina Wamchongo wengi ndio sababu Zikisikika Teuzi Mawaziri wanawasha AC kupunguza kaharufu 😂🐼
Kwa secretary ndiyo process, kwani kuna ugumu gani kuunda serikali? Ukitafuta machawa utakuwa na shida kuunda serikali.......shida gani, ni huo uelewa mdogo wa secretary. machawa wakishamsifia anaona ndio wa kuwachagua, siyo merit ya watu...kesho anaona kumbe machawa hawawezi, anachagua tena... secretary huyo
 
Kuunda Serikali ni process

Tatizo Bunge la safari hii lina Wamchongo wengi ndio sababu Zikisikika Teuzi Mawaziri wanawasha AC kupunguza kaharufu
Hio process iko Tanzania pekee? Unafuatiliaga Habari za Kenya, Uganda au Rwanda? Huwezi kutana hizi habari za teuzi kila wiki
 
Katiba yetu ina mpa kazi nyingi sana Raisi katika kuteuwa.

Hivyo kila kipindi wako wanao maliza muda hivyo yapaswa kuteuliwe wengine


Yaaan ukitaka orodhesha anayo yateuwa Raisi wa Tz na Raisi wa Kenya utaona wa kwetu ana listi Ndefu sanaa. Hapa sio kosa lake ni katiba yetu.

Sehem sinaga imani ni pale mgombe uraisi anateuwa hadi atake tangaza nani ni mshindi.
Hao mawaziri anao wabadilisha kila mwezi ni wanakuwa wamemaliza muda wao? Hao Makatibu wakuu kila Daily wanahamishwa huwa wamemaliza muda wao?
 
Hivi Tanzania tunaunda serikali au tunabadili vitengo maana sura ni zilezile kila siku! Which is which
Yeye anakuambia anaunda Serikali, yaani anawafanyie testing kama Silaha Makombola ya.masafa marefu yanavuo fanyiwa majaribio
 
Back
Top Bottom