Utawasikia hata waheshimiwa, viongozi wa Taasisi za Serikali na Mashirika wakisema "Tunasherehekea miaka 59 ya Muungano wetu wa Tanzania Bara na Zanzibar
Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara hawapendi kutaja jina TANGANYIKA, ni kama vile kwa makusudi au wanaona kama ni aibu fulani hivi.
Kwa Upande wa Zanzibar wanaona fahari kutamka TANGANYIKA na ZANZIBAR
Tatizo ni nini?
Jee kunafichwa kwa Makusudi kutamkwa Tanzania Bara badala ya Tanganyika? kwa lengo gani?
Kwani Tanzania Bara ni Nchi? Jina Tanzania limepatikana baada ya tarehe 26 Aprili, 1964, kabla ya hapo na kabla ya Kuungana ilikuwa ni TANGANYIKA. shida ni nini? Huu upotoshaji una maana gani.
Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara hawapendi kutaja jina TANGANYIKA, ni kama vile kwa makusudi au wanaona kama ni aibu fulani hivi.
Kwa Upande wa Zanzibar wanaona fahari kutamka TANGANYIKA na ZANZIBAR
Tatizo ni nini?
Jee kunafichwa kwa Makusudi kutamkwa Tanzania Bara badala ya Tanganyika? kwa lengo gani?
Kwani Tanzania Bara ni Nchi? Jina Tanzania limepatikana baada ya tarehe 26 Aprili, 1964, kabla ya hapo na kabla ya Kuungana ilikuwa ni TANGANYIKA. shida ni nini? Huu upotoshaji una maana gani.