Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza waliyojadili na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es...
0 Reactions
4 Replies
107 Views
Wakuu , natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu . Kila mtu amesikia kwamba kivuko cha magari cha TAZARA ( siyo flyover kama wengi wanavyotuaminisha )...
31 Reactions
269 Replies
23K Views
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na...
4 Reactions
90 Replies
15K Views
====== WANANCHI WAPINGA KUJIUZULU KWA MWENYEKITI ENGOSOWASHI. Wananchi wa Mtaa wa Engosowash, Kata ya Moshono jijini Arusha, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa mwenyekiti wao kujiuzulu...
1 Reactions
1 Replies
208 Views
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, huku nchi hizo zikikubaliana kushirikiana katika maeneo tisa ya kimkakati yenye...
1 Reactions
6 Replies
176 Views
Tunakushukuru Mama Samia kwa kukataa Jina lako kuwekwa kwenye Daraja, huu ni mwanzo mzuri sana, na kwa kweli nimeamini kwamba kumbe ni kweli huwa unasoma JF, Maana uko uzi wangu kabambe humu...
12 Reactions
78 Replies
3K Views
Hii ni kwa Sababu Ile kesi Yake ya UONGO imesababisha hasara ya mabilioni ya hela kwa Chadema baada ya Mali nyingi kuharibika kutokana na katazo la kuzitumia baada ya. hukumu ya kipuuzi ya Jaji...
6 Reactions
10 Replies
192 Views
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM) Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni...
10 Reactions
25 Replies
616 Views
  • Closed
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme...
12 Reactions
44 Replies
643 Views
Wanajamvi Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa...
2 Reactions
15 Replies
219 Views
Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation...
11 Reactions
78 Replies
833 Views
Rais Samia hayupo nchini..Yupo Ziarani Urusi kwa siku 3.. Katiba ya Tanzania ibara ya 47 c, inatamka hivi " kutakuwa na makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au...
4 Reactions
23 Replies
678 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akihojiwa Juni 8, 2026 Patrobas Katambi alisema; "Kuna ukosoaji hasi na chanya, sasa katika ukosoaji hasi ndio inawezekana kukawa kuna utaratibu wa kuvunja sheria...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Wakuu Jana bungeni Waziri wa diplomasia na mambo ya nje Kombo raia wa Zanzibar anayefanya kazi Tanganyika amesema katiba yetu inataka polisi akirushiwa jiwe ampige risasi haraka raia anayerusha na...
22 Reactions
192 Replies
4K Views
Kama ni dini mbona alimpa mkonio Putin?ZILONGFA NA ZITENDA
3 Reactions
37 Replies
875 Views
  • Redirect
Kumekucha! Halafu eti tuna Muungano. Watanganyika tuamue na sisi wapemba wote waondike TANGANYIKA au vipi? Wameteka ardhi usiombe!
1 Reactions
Replies
Views
Ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Spika amepewa Mamlaka ya kufuta Mchango wa Mbunge yoyote alioutoa bungeni.. Anaweza fanya hivyo kwa chuki, ubabe, bifu, au kumfurahisha Rais...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiufupi Ni Kuwa Rais Samia Anakesha anafanya kazi , anashinda kutwa nzima anafanya kazi, anasafiri na kufanya kazi hadi akiwa angani ndani ya ndege . Rais Samia anafanya...
1 Reactions
11 Replies
164 Views
Back
Top Bottom