Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimemsikia mahala Mzee Warioba Waziri mkuu mstaafu akisema wazi bila kupindisha maneno kuwa tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya kijinai ya Oktoba 29 ianze kuwahoji polisi waliopiga na kuua watu...
18 Reactions
126 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameendelea kuonyesha uimara...
5 Reactions
8 Replies
319 Views
  • Redirect
Nyeyere alienda Russia kuomba msaada enzi hizo, Taifa halikuwa stable kamwe, Ndivyo ilivyosasa Samia ameenda Russia Taifa haliko sawa Mengine ni zuga zuga mwana tu.
1 Reactions
Replies
Views
Wanabodi Utangulizi Kuna kitu kinaitwa facts na kuna fallacies. Kuna msemo wa kizungu usemao, "facts are stubborn things", yaani fact ni kitu ambacho kipo, kina exist in reality, you can't deny...
8 Reactions
137 Replies
5K Views
Hehehe! Mwafikiri siye hatujui. Memtuma nyie. Mafweye ni askari mwadilifu. Twamjua tangu enzi na enzi. Leo mwataka kumwagushia jumba bovu. Hapana walahi. Hatutakubali. Mwaanza poyepoye mwafikiri...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
07 June 2026 #LIVE: KIJANA MZALENDO ANAFUNGUKA MAMBO MAZITO SAMIA KWENDA URUSI, "TUJIANDAE KUUMIA" https://m.youtube.com/watch?v=G6zobdMSy6s Kada wa CCM, David Levi Nkindikwa akinyoosha rula...
6 Reactions
10 Replies
362 Views
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu Wananchi kusema yeye ni zaidi ya Hayati Magufuli kwani inawatisha watu "...Yule dada anasema huyu ni zaidi ya Magufuli. Usiwatishe watu bwana, maana hivi tu...
0 Reactions
12 Replies
304 Views
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke. Kwanza...
90 Reactions
1K Replies
173K Views
Wakuu, Kama wamechomoa jina la Mafwele wakiwa na data zote hizo, unadhani faili lina majina mangapi? Je, wanasubiri nini kuyachomoa? ====== Kuna tofauti kubwa kati ya kelele za kisiasa na...
24 Reactions
60 Replies
1K Views
Tangu awe Rais, Machi 2021, Rais Samia ametunukiwa PhD hizi: 1. Novemba 2022: Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika masuala ya Binadamu na Sayansi ya Jamii - Chuo Kikuu cha Dar es...
10 Reactions
26 Replies
564 Views
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana. Diwani Athumani tangu aondoke...
10 Reactions
47 Replies
1K Views
Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo. Siku hizi ukweli hautokani tena na...
4 Reactions
47 Replies
569 Views
Kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama Nchini Tanzania, ni dhahiri sasa upo umuhimu wa kila mwananchi kujilinda "KWA NJIA YOYOTE" Katiba ya Tanzania imesisitiza hilo na ndio maana ndani yake...
8 Reactions
25 Replies
527 Views
The swearing-in of newly appointed Justices of Appeal on 26th May 2026 was far more than a constitutional ceremony marking the apex of a judicial career. It was a sacred moment a public covenant...
1 Reactions
5 Replies
216 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amefika Ikulu ya Kremlin nchini Urusi kukutana na Rais wa Shirikisho la Urusi Mh Vladmir Putin na kufanya mazungumzo maalumu ya...
8 Reactions
104 Replies
2K Views
Baada ya kuwaua kwa risasi sasa mnarudi kwao kama mbwamwitu huku mmejifunika ngozi ya kondoo. Mchana unasema Tanzania ni moja na ndugu tusibaguane usiku mnawateka na kuwakata vichwa. Elewa hao...
3 Reactions
4 Replies
164 Views
Mahakama ya Wilaya ya Arumeru imewaachia huru watetezi wa haki za binadamu Jackson Martine Kabalo na Joseph Chaviruka Mrindoko, maarufu kama “Wachokonozi”, baada ya upande wa mashtaka kushindwa...
4 Reactions
16 Replies
343 Views
Lengo la kuweka Jambo hili hapa JF ni kukumbusha kwamba hakuna mkubwa kuliko Mahakama na kwamba ukiitwa kutoa ushahidi ni lazima ufike.
21 Reactions
106 Replies
5K Views
Back
Top Bottom