Nimemsikia mahala Mzee Warioba Waziri mkuu mstaafu akisema wazi bila kupindisha maneno kuwa tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya kijinai ya Oktoba 29 ianze kuwahoji polisi waliopiga na kuua watu...
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameendelea kuonyesha uimara...
Nyeyere alienda Russia kuomba msaada enzi hizo, Taifa halikuwa stable kamwe,
Ndivyo ilivyosasa Samia ameenda Russia Taifa haliko sawa
Mengine ni zuga zuga mwana tu.
Wanabodi
Utangulizi
Kuna kitu kinaitwa facts na kuna fallacies. Kuna msemo wa kizungu usemao, "facts are stubborn things", yaani fact ni kitu ambacho kipo, kina exist in reality, you can't deny...
07 June 2026
#LIVE: KIJANA MZALENDO ANAFUNGUKA MAMBO MAZITO SAMIA KWENDA URUSI, "TUJIANDAE KUUMIA"
https://m.youtube.com/watch?v=G6zobdMSy6s
Kada wa CCM, David Levi Nkindikwa akinyoosha rula...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu Wananchi kusema yeye ni zaidi ya Hayati Magufuli kwani inawatisha watu "...Yule dada anasema huyu ni zaidi ya Magufuli. Usiwatishe watu bwana, maana hivi tu...
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
Kwanza...
Wakuu,
Kama wamechomoa jina la Mafwele wakiwa na data zote hizo, unadhani faili lina majina mangapi? Je, wanasubiri nini kuyachomoa?
======
Kuna tofauti kubwa kati ya kelele za kisiasa na...
Tangu awe Rais, Machi 2021, Rais Samia ametunukiwa PhD hizi:
1. Novemba 2022: Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika masuala ya Binadamu na Sayansi ya Jamii - Chuo Kikuu cha Dar es...
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.
Diwani Athumani tangu aondoke...
Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo.
Siku hizi ukweli hautokani tena na...
Kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama Nchini Tanzania, ni dhahiri sasa upo umuhimu wa kila mwananchi kujilinda "KWA NJIA YOYOTE"
Katiba ya Tanzania imesisitiza hilo na ndio maana ndani yake...
The swearing-in of newly appointed Justices of Appeal on 26th May 2026 was far more than a constitutional ceremony marking the apex of a judicial career. It was a sacred moment a public covenant...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amefika Ikulu ya Kremlin nchini Urusi kukutana na Rais wa Shirikisho la Urusi Mh Vladmir Putin na kufanya mazungumzo maalumu ya...
Baada ya kuwaua kwa risasi sasa mnarudi kwao kama mbwamwitu huku mmejifunika ngozi ya kondoo.
Mchana unasema Tanzania ni moja na ndugu tusibaguane usiku mnawateka na kuwakata vichwa.
Elewa hao...
Mahakama ya Wilaya ya Arumeru imewaachia huru watetezi wa haki za binadamu Jackson Martine Kabalo na Joseph Chaviruka Mrindoko, maarufu kama “Wachokonozi”, baada ya upande wa mashtaka kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.