Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
456
1,817
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
 
Tokea aingie garama za maisha zimepanda kwa kasi ya hali ya juu upandishaji wa bei kiholela maisha yamezidi kuwa magumu. Kakuta miundombinu ya JPM na miradi alioacha akaiendeleza hakuna jambo jipya alilolianzisha, punguzeni njaa nyie machawa.

Tatizo lenu nyie machawa mkishapata vitengo huko huwa mnajisahau na kuanza kusifia tu yaani mbongo mpe kitengo njaa iishe tu.

Jambo kubwa ambalo awamu hii limefanya vyema kuliko awamu zote ni kukopa tu. Yupo vizuri.
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Haters watakuita Chawa 🤣🤣

Hawampingi mama ila wanaeneza chuki na ubaguzi.Haters watakwambia hawaoni kitu mtaani 😁😁😁👇👇

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1787447556185681965?t=D1bezodaFCGHVaOBmFkZjg&s=19
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Sahihi kabisa huu wako ni ukweli mtupu
 
TOKEA AINGIE GARAMA ZA MAISHA ZIMEPANDA KWA KASI YA HALI YA JUU UPANDISHAJI WA BEI KIHOLELA MAISHA YAMEZIDI KUWA MAGUMU

KAKUTA MIUNDOMBINU YA JPM NA MIRADI ALIOACHA AKAIENDELEZA HAKUNA JAMBO JIPYA ALILOLIANZISHA PUNGUZENI NJAA NYIE MACHAWA

TATIZO LENU NYIE MACHAWA MKISHAPATA VITENGO HUKO HUWA MNAJISAHAU NA KUANZA KUSIFIA TU YAANI MBONGO MPE KITENGO NJAA IISHE TU

JAMBO KUBWA AMBALO AWAMU HII LIMEFANYA VYEMA KULIKO AWAMU ZOTE NI KUKOPA TU YUPO VZURI
Mbona unakuwa wa hovyo kama mikate yenu migumu mnayokula huko kwenu visiwani,hovyo
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
hebu jaribu kuwa honest to yourself as a grown up human being! ni kipi Samia amefanya kuzidi marais waliotangulia, kipi kaanzisha, kipi kipya? manake SGR ni Magufuli, bwawa la nyerere ni magufuli, mambo yoote mnayomsifia ni Magufuli na kama angekuwa yeye ndio rais miaka hiyo SGR asingeanzisha wala bwawa la nyerere ambalo wazungu walikuwa wanalipinga, na yeye anasikiliza zaidi wazungu. tuambieni, kipi kipya samia ameanzisha na kinaonekana zaidi ya kupalilia tu pale wenzake walipotoa jasho.
 
TOKEA AINGIE GARAMA ZA MAISHA ZIMEPANDA KWA KASI YA HALI YA JUU UPANDISHAJI WA BEI KIHOLELA MAISHA YAMEZIDI KUWA MAGUMU

KAKUTA MIUNDOMBINU YA JPM NA MIRADI ALIOACHA AKAIENDELEZA HAKUNA JAMBO JIPYA ALILOLIANZISHA PUNGUZENI NJAA NYIE MACHAWA

TATIZO LENU NYIE MACHAWA MKISHAPATA VITENGO HUKO HUWA MNAJISAHAU NA KUANZA KUSIFIA TU YAANI MBONGO MPE KITENGO NJAA IISHE TU

JAMBO KUBWA AMBALO AWAMU HII LIMEFANYA VYEMA KULIKO AWAMU ZOTE NI KUKOPA TU YUPO VZURI
Tokea aingie madarakani umewahi sikia watu walisema vyuma vimekaza?

Baada ya kukopa hela zikaenda wapi?

Mwisho Miradi ya JPM ni ipi hiyo? Ndio hii hapa au Kuna mingine? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6rhbRiMqmb/?igsh=OHZ4MDhyY3M5ZDI2

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nadhani hoja siyo Uzanzibari! Kilichonyuma ya hoja ya Uzanzibar ni Katiba Mpya!
Ubovu wa Katiba ya Sasa ndiyo inayowagawa Watanzania katika Uzanzibari na Utanganyika!
Ujenzi wa Miradi mbali mbali iliyopo ilianza kutekelezwa wakati wa Magufuri ambayo tayari ilikuwa kwenye Irani ya CCM ya mwaka 2015-2025(kama sikosei)
Anachofanya Mama ni kuiendeleza na kukamilisha miradi iliyoachwa na mtangulizi wake.
Sasa hoja inabaki,Muungano ulipo ni Muungano wa Nchi mbili huru,ya Tanganyika(9.12.1961) na Zanzibar(10.12.1963)
Zanzibar ina Serikali yake,SMZ au (SUZ),Serikali ya Tanganyika iko wapi?
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Nikunukuu, "Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita", (mwisho wa kunukuu).
Umetembelea Vijiji gani na vingapi Tanganyika, ukakuta hiyo Miradi ya Shule?
Unachoongea ni ndoto za mchana.
Nipo Kijijini.
Katika Kata nzima ninayoishi, hakuna Mradi hata mmoja wa Samia.
Limetengwa eneo la kujenga Sekondari ya Kata, ikasemwa kwamba pesa zitakuja, na hakuna kilichokuja.
Yasemekana pesa zimeliwa Wilayani.
Na waliokula wamekula kwa urefu wa Kamba yao, ambayo ni ruksa katika Awamu ya Sita.
Hakuna anayewajibishwa.
Lakini huko Zanzibar, nimeona kwenye Vyombo vya Habari, picha ya Shule ya Msingi, yenye Ghorofa Tatu, iliyojengwa kwa Hela za Samia.
Huku Tanganyika, tumelamba GARASA.
Tumepigwa changa la macho.
CHADEMA wako sahihi.
Ndiyo sababu Chawa wa Mama wamechanganyikiwa.
Hawana majibu.
Wewe ukiwa mmojawao.
 
Sisi Watanganyika si Wazanzibar
Zanzibar watumishi wanapewa posho ya nauli
Huku Tanganyika tumepewa maneno
Na pesa yote wanayopewa Zanzibar inatoka Tanganyika
Tuna Mbuga, Milima, maziwa , madini
Why
Zanzibar wanufaike peke yao
 
Wabara wengi hawana uwezo wa kiakili zaidi ya kukariri masomo ya kizungu.
kwahiyo ninyi ambao miaka yote shule zenu zinashika mkia, unaona elimu ambayo ninyi mmeshindwa kuiweka kichwani mwenu ni mambo ya kizungu? una tofauti gani na boko haram sasa wewe? wanaosema elimu ya kizungu ni haram wakati wanauwa wakristo kwa kutumia bunduki zilizotengenezwa kutokana na elimu ya kizungu, wanatumia simu zilizotokana na elimu ya kizungu, wanatumia youtube na mitandao mingine kurusha terror messeges na mitandao hiyo imetumia elimu ya kuzungu. tuwaweke kundi gani ninyi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom