Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

ORODHA YA WATU 1000 MASHUHURI TZ + WAPIGANIAJI MABADILIKO 1. Viongozi & Mashujaa wa Historia ∼80 Mwalimu Julius Nyerere, Abeid Karume, Rashid Kawawa, Oscar Kambona, Bibi Titi Mohamed, Edward...
12 Reactions
12 Replies
380 Views
Naomba huu Uzi usiunganishwe umebeba Maana kubwa sana kuhusu Rais wetu kipenzi Samia Mapenzi yangu kwako ni kama ya Nchimbi na Polepole kwako Tunashukuru ziara yako ya hapa Urusi imewafungua...
34 Reactions
38 Replies
897 Views
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa...
4 Reactions
43 Replies
594 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, yuko Kyela kwa ajili ya Kampeni ya Katiba Mpya na Free Lissu. Kwa kadri ya...
21 Reactions
47 Replies
968 Views
Edwin Odemba: unaamini kwamba Chama cha Mapinduzi ndicho kilikuwa ni chama sahihi eh ya wewe kuwepo kwa wakati ule?" Peter Msigwa: "In a way ndio na in a way no. Uh lakini kwa..." Edwin Odemba...
3 Reactions
18 Replies
278 Views
Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametoa onyo kwa Mbunge wa Kishapu, Lucy Mayenga kufuatia kauli zake za kuudhi na kudhalilisha alizozitoa dhidi ya Mbunge wa Viti Maalum (CHAUMMA) Sigrada Mligo...
2 Reactions
17 Replies
543 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hiyo ni Kauli nzito iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi Ya Tanzania. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda, amesema Taifa imara halijengwi na Watu...
4 Reactions
52 Replies
970 Views
Wanabodi Moja ya jambo kubwa lililokuwa linasubiriwa sana na kwa hamu kubwa na watu wengi kwenye Ripoti ya Uchunguzi ya Jaji Chande, kubwa la kwanza ni idadi ya vifo vilivyotokea kwenye vurugu...
5 Reactions
63 Replies
1K Views
Wanabodi Utangulizi, Hili ni bandiko elimishi la kuelimisha watu humu dhana ya uwajibikaji kwa watumishi wa umma. Je wajua kuwa mwajiri mkuu wa watumishi wote wa umma nchini Tanzania,wakiwemo...
9 Reactions
32 Replies
3K Views
Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ kisa AFCON. AFCON ishakuwa Dilisha la upigaji. Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni...
22 Reactions
57 Replies
1K Views
Hiyo siku kuwe na usawa na haki toka kwa Polisi kusiwe na vitisho na kila mwananchi achague mwenyewe aende wapi, wakubebwa na magar wabebwe, wakwenda wenyewe waende then tupate picha ya siasa zetu...
4 Reactions
11 Replies
207 Views
Mnatapa tapa sana aisee! Mazungumzo yenu yote ninayo na mtu wenu ambaye juzi alitaka autuhumu ubalozi moja kwa moja kwamba ndo umemficha Polepole nikawasihi na kuwaonya kwa Uzi nilioandika kwamba...
58 Reactions
73 Replies
4K Views
  • Redirect
Sote ni mashuhuda jinsi ambavyo baadhi ya waTanzania wenye tamaa binafsi nia ovu dhidi ya taifa letu huru, wakizunguka Ulaya na Amerika wakipanga bei ya kuliuza taifa letu. Kama wazalendo wa...
0 Reactions
Replies
Views
Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu...
12 Reactions
80 Replies
783 Views
"Niliiuliza Meta kwa nini ilifuta akaunti ya mwanaharakati wa Kitanzania Mange Kimambi na ikazuia akaunti ya Maria Sarungi nchini Tanzania, lakini sikupata majibu. Meta inamiliki Facebook...
4 Reactions
12 Replies
960 Views
Wale ambao hamjapanda madaraja poleni mfumo wa ESS umetumika kuwaumiza hela za kuwapandisha hakuna kwahiyo k8gezo Cha ess kimetumika kama fimbo Kwa wale ambao hamjafikisha asilimia. Source mnyetishaji
5 Reactions
49 Replies
2K Views
No. Tanzania's cooperation with Russia in the nuclear sector does not mean Tanzania is preparing to develop nuclear weapons. There is a major difference between: 1. Nuclear energy programs...
2 Reactions
1 Replies
156 Views
Kukosoa serikali ni jambo la kawaida na muhimu katika demokrasia. Lakini ukosoaji unapopoteza msingi wa ukweli na kuhamia kwenye propaganda, taifa lote hupoteza nafasi ya kufanya mjadala wa maana...
2 Reactions
27 Replies
206 Views
Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Kombo ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni...
2 Reactions
23 Replies
511 Views
Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimekanusha taarifa zinazomhusisha muuguzi na tukio la kumpasua mgonjwa nyumbani juu ya makochi mkoani Tabora, kikibainisha kuwa mhusika hana sifa wala taaluma...
7 Reactions
21 Replies
648 Views
Back
Top Bottom