Nimewaza sana matumizi ya Google Team, Zoom na Apps nyingine nisizo zifahamu zinazo tumika kuendesha vikao mbalimbali, na hata hutumika katika matumizi Serikalini.
Je? Tuna uhakika na usalama wa...
Ni vema mkamhukumu mnavyoona/ mnavyopenda kuliko haya mateso mnayompa.
Ajue moja, ananyongwa au anafungwa au anaachiwa.
Mwamwindi wa Iringa, aliamua moja akalitimiza, akamuua Kleruu na Mwalimu...
Kuna baadhi ya Wazanzibar wameonja nyama za watu, hawataki kuacha kuzila, kama alivyosema Nyerere
Wapo baadhi yao wasio na uwezo mzuri wa akili wameanza chokochoko na kelele kwamba Watanzania...
Wewe na Mbatia mlifanya Kazi moja, Sasa kabla hatujafunguka zaidi SHUT UP,
Vinginevyo utakimbia Nchi, wewe ni miongoni mwa Wahujumu wakuu wa Maalim Seif
Ukiendelea kuropoka tutaanika kila kitu
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anafanya ziara Rasmi ya kikazi jijini Washington, D.C., nchini Marekani.
Katika ziara yake hiyo...
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza kiama kwa wacheza kamari nchini baada ya kupendekeza tozo...
Ninatamani niwarudishe wote wanaomshambulia Mheshimiwa Saada Mkuya kidato cha pili ili wakasome upya Civics kuhusu mambo ya muungano. Inakera kuona watu wanaoheshimika kwenye jamii kushindwa kujua...
Hizi kauli RASMI zitokazo vinywani mwa Mawaziri wa CCM ndani ya Baraza la mapinduzi Zanzibar jee zinayofauti gani na matendo wafanyayo Wajinga kadhaa kule Afrika kusini dhidi ya wageni? Yaani...
Nimeona huyo Sauda Mkuya aliyewahi kuwa waziri wa Fedha wa serikali ya muungano kuwa watanganyika wasitibiwe huko ZNZ. Ni sawa kabisa, hivi kuna mtanganyika anayeenda kutibiwa Zanzibar, yaani...
Hivi karibuni Wazanzibari wamekuwa wakionyesha ubaguzi wa hali ya juu sana. je maandamano yajayo mali zao zitakuwa salama?
Je huko mbele Wazanzibari watakuwa na amani kukaa na Watanganyika kama...
Kukiwa na vuguvugu la maandamano tar 7 July, 2026
Na kesi ya Lissu kuahirishwa parefu Hadi tar 6 July, 2026
Zingatia hizo tarehe..why tar 6?
Je unaweza kusema waja kule wanawaza Nini?
Au...
Akiwa nchini Urusi kwa ziada ya kikazi, rais Samia alijikuta katika mtanange ambapo mji wa St Peterburg ulishambuliwa na drone za Ukraine. Kwa kiongozi wa nchi, hii inaleta picha gani?
Mbali na...
Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, alikuwa miongoni mwa viongozi waliohudhuria kikao cha Bunge kusikiliza uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Serikali imependekeza vyanzo vya ziada vya mapato kupitia Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 ili kugharamia Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote. Hatua hii itahusisha marekebisho ya sheria...
https://www.youtube.com/watch?v=aZJigFrAukU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha...
Jamat, Naibu Mkuu wa Ujumbe wa Kidiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alitambulishwa bungeni baada ya kukamilika kwa uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2026/2027, ambapo wabunge walipiga...
Nimekuwa nikikwepa sana hili jina na kuita CHADEMA Manyumbu ila kama watarudia kosa lile la 2015 talitambua rasmi
Hakuna mtu aliyekuwa na USHAWISHI ndani ya CCM kama Lowassa na hata sasa hakuna...
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.