Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026.
"Hii nchi haina amani bwana. Nchi ambayo ina amani polisi...
Said Issa Mohammed, aliyefukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kukiuka katiba, kanuni na miongozo ya chama, amesema uamuzi huo ni kinyume na katiba ya chama...
LAZIMA tupinge ubaguzi huu lakini tukiwa tumeshikilia kete kuu ya 29 October
Kitendo Cha viongozi kunyamazia kauli ya kwanza ya Ubaguzi WA wazi kuhusu ajira ni ishara kwamba hiyo kete ilitupwa...
Wakuu,
Naona Bi. Mkubwa kaona anakosa wa kupiga nae umbea na kushangilia mambo MAZURI ya uongozi wake, akaona amvute Oddo ake karibu, sasa amebaki Makamba kumsaidia kuua hizo team ndani ya...
Serikali hii fake sasa imekuwa kama dalali wa madini tu. Hizi nchi zinataka madini tu. Yaani kwa ujinga Watanzania tunachukuliwa ardhi yetu wanapewa Urusi eti walime! Kwani Watanzania hawawezi...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, akijibu kuhusiana na kauli iliyotolewa na Mwenezi CCM Taifa...
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP), Wilbrod Mutafungwa amesema Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limeanza uchunguzi wa kuwasaka wote wanaosambaza vipeperushi...
Juni 8, 2026, Ukurasa wa Instagram 'switch Tv ke' ilichapisha taarifa orodha ya watengeneza maudhui wa Kenya kama vile Mjaka Mfine, Mokaya, na Malcolm kupigwa marufuku kuingia Tanzania na Zanzibar...
Dkt. Bashiru anapinga mtazamo wa kuwa vyama vingine vya upinzani (ukiondoa CHADEMA) ni "project" au miradi CCM, akisisitiza kuwa madai hayo si ya kweli na ni njia ya kuvidharau vyama...
Ndo maana hafanyi reshuffle anawaacha wale kwanza Waijenge Zanzibar kupitia bara.
Asilimia 69 ya wakurugenzi waliopo wilayani Tanzania bara ni kutoka Zanzibar
Asilimia 59 ya wakuu wa wilaya...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ally Hapi, amesema CCM imejipanga kujibu hoja na madai yanayotolewa na viongozi wa CHADEMA kwa kutumia takwimu na taarifa sahihi, badala ya kuacha kile...
Leo nataka kuzungumza na Jumuiya ya Wanausalama (Intelligence Community), Hivyo mada ya leo ni ngumu ina matumuzi makubwa ya akili kuliko mambo ya siasa za vyama ambako huko matumizi ya akili huwa...
Mheshimiwa Rais,
Kwa heshima kubwa tunakuandikia barua hii kuomba msaada wako katika kutatua mgogoro unaotukabili sisi wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika leseni za NICO RAYMOND NYEMELE...
Mbunge wa Jimbo la Siha (CCM), Dkt. Godwin Mollel, ametabiri anguko na kifo cha kisiasa cha chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, akidai kuwa safu yake mpya ya uongozi wakuu haina uwezo wa...
Hili halipingiki hata kidogo nalipo dhahiri na wazi kabisa.
Cha kwanza kabisa alihakikisha anakusanya fedha na fedha zitumzwe kwenye mfuko wa taifa ili mafisadi wasikwapue kama huko nyuma.
Fedha...
Nikiwa sina hili wala lile nimekutana na habari kuwa Zanzibar haina hela ya kuwatibia Watanzania wanaokaa Zanzibar kwa sababu sio Wazawa.
Gen-Z msipitwe na hii fursa kama mnavoandika vipeperushi...
Hatimaye picha kamili ya utendaji wa waziri wa fedha na uchumi bi Saada Salum Mkuya imeanza kudhihirika baada ya kupatwa na jazba na kisha kulia mbele ya kamati ya bunge ya bajeti pale alipokuwa...
Wana JF,
Ni jambo la kusikitisha kuwepo upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa kwa ukwepaji kodi wa makontainer 349 yenye thamani billion 80 wakati wenye dhamana ya kulinda mali hizi zisipotee wakina...
Mpango, Saada Mkuya wavutana umeme Z’bar
Viongozi hao pia waliingia katika mvutano kuhusu kutoletwa bungeni kwa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya VAT ambayo ingesitisha hatua ya Tanesco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.