Tanzania kupoteza Scholarships, za UK, Canada na Australia, endapo itatimuliwa Common wealth

Tanzania kupoteza Scholarships, za UK, Canada na Australia, endapo itatimuliwa Common wealth

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,360
Reaction score
10,746
MO29 ilikuwa game changer kwenye siasa za nchi hii. Sioni Tanzania ikitulia tena na kuwa na uchaguzi wa amani kama hakutokuwa na reforms za uchaguzi.

Baada ya kilichotokea kwenye MO29, Common wealth wametoa masharti ambayo yana time frame, moja kubwa ni Lissu kuachiwa within 30 days. Kwa kiburi Cha Samia najua atakaaa. Kitendo Cha Tanzania kukataa masharti ya Common wealth automatic watafurushwa kwenye jumuiya ya madola.

Tanzania ikitimuliwa kwenye jumuiya ya madola itapoteza Scholarship nyingi mno ambazo 90% ya waliokuwa wanazifaidi ni watoto wa vigogo wa CCM.
Wafatao wamesoma Kwa scholarship za common wealth.

Ndalichako
Mtoto wa Wasirra
Mtoto wa Mahita
Mtoto wa Pinda
Bashungwa
Mtoto wa Malecela
Raisi Mwinyi n.k

Hao ni baadhi tu, Common wealth,fukuza Hawa vibaka, watoto wao wasome Iran,Oman na Russia.

Mto wa mbu
Illinois state
 
Kwa kiburi cha Samia na machawa wake wanaweza wastekeleze sharti hata moja la CMAG ili tu wawekewe vikwazo na ikibidi kufurushwa totally completely.

Ikumbukwe kuwa Tanzania na Uganda miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kujitoa ndani ya Jumuiya ya Madola.

Kwahiyo kama italazimika wafikie hatua hiyo, kwa hawa watawala wa TZ itakuwa ni sawa na kumpiga chura teke though madhara yake ni makubwa kuliko mafikirio yao.
 
Kwa kiburi cha Samia na machawa wake wanaweza wastekeleze sharti hata moja la CMAG ili tu wawekewe vikwazo na ikibidi kufurushwa totally completely.
Ikumbukwe kuwa Tanzania na Uganda miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kujitoa ndani ya Jumuiya ya Madola.
Kwahiyo kama italazimika wafikie hatua hiyo, kwa hawa watawala wa TZ itakuwa ni sawa na kumpiga chura teke though madhara yake ni makubwa kuliko mafikirio yao.
Lini Tanzania iliwakilisha maombi ya kujitoa common wealth?
 
NAhisi watatekeleza maagizo ya jumuiya make watawala hawawezi kukubali tutenge na zaidi ya nchi 50 kwa mkupuo
 
Mkuu umefanya analysis ndogo sana ambazo hazimgusi mtanganyika Moja kwa Moja,

Analysis kubwa na zitakazo chochea chuki kwa raia wa Tanganyika ni:-

1. Kiuchumi na Maendeleo
  • Kupoteza misaada na miradi ya maendeleo: Jumuiya ya Madola hufadhili miradi ya miundombinu, elimu, afya na utawala bora. Kufukuzwa kungeondoa msaada huu.
  • Kupungua uwekezaji wa kigeni: Wanachama wa Jumuiya ya Madola mara nyingi hupata kipaumbele katika uwekezaji na biashara baina ya nchi wanachama.
  • Kupoteza nafasi za biashara: Tanzania ingeathirika katika upatikanaji wa masoko ya bidhaa na huduma kwa nchi wanachama.

2. Kisiasa na Kidiplomasia
  • Kupoteza jukwaa la ushawishi wa kidiplomasia: Jumuiya ya Madola ni moja ya majukwaa makubwa ya kimataifa ambapo Tanzania huwasilisha maslahi yake.
  • Kudhoofika taswira ya kimataifa: Kufukuzwa kungeashiria kukosa kuzingatia demokrasia, haki za binadamu na utawala bora, jambo litakalopunguza heshima ya Tanzania kimataifa


Hapa ndo napapenda mimi
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU (The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30
: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60
: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
Kwa kiburi cha Samia na machawa wake wanaweza wastekeleze sharti hata moja la CMAG ili tu wawekewe vikwazo na ikibidi kufurushwa totally completely.
Ikumbukwe kuwa Tanzania na Uganda miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kujitoa ndani ya Jumuiya ya Madola.
Kwahiyo kama italazimika wafikie hatua hiyo, kwa hawa watawala wa TZ itakuwa ni sawa na kumpiga chura teke though madhara yake ni makubwa kuliko mafikirio yao.
As long as anya measure will not kick them out of power, watahimili lolote lile ambalo ni maneno na siyo ACTIONS.
Ukiwatishia kichapo, then they will heed to your demands maana hawana uwezo wa kupigana
 
As long as anya measure will not kick them out of power, watahimili lolote lile ambalo ni maneno na siyo ACTIONS.
Ukiwatishia kichapo, then they will heed to your demands maana hawana uwezo wa kupigana
Hiii pressure ni kubwa, ata Samia mwenyewe anajionea,sidhani kama ana Raha ya uraisi sahv
 
Mkuu umefanya analysis ndogo sana ambazo hazimgusi mtanganyika Moja kwa Moja,

Analysis kubwa na zitakazo chochea chuki kwa raia wa Tanganyika ni:-

1. Kiuchumi na Maendeleo
  • Kupoteza misaada na miradi ya maendeleo: Jumuiya ya Madola hufadhili miradi ya miundombinu, elimu, afya na utawala bora. Kufukuzwa kungeondoa msaada huu.
  • Kupungua uwekezaji wa kigeni: Wanachama wa Jumuiya ya Madola mara nyingi hupata kipaumbele katika uwekezaji na biashara baina ya nchi wanachama.
  • Kupoteza nafasi za biashara: Tanzania ingeathirika katika upatikanaji wa masoko ya bidhaa na huduma kwa nchi wanachama.

2. Kisiasa na Kidiplomasia
  • Kupoteza jukwaa la ushawishi wa kidiplomasia: Jumuiya ya Madola ni moja ya majukwaa makubwa ya kimataifa ambapo Tanzania huwasilisha maslahi yake.
  • Kudhoofika taswira ya kimataifa: Kufukuzwa kungeashiria kukosa kuzingatia demokrasia, haki za binadamu na utawala bora, jambo litakalopunguza heshima ya Tanzania kimataifa


Hapa ndo napapenda mimi
Acha kiwake
 
MO29 ilikuwa game changer kwenye siasa za nchi hii. Sioni Tanzania ikitulia tena na kuwa na uchaguzi wa amani kama hakutokuwa na reforms za uchaguzi.

Baada ya kilichotokea kwenye MO29, Common wealth wametoa masharti ambayo yana time frame, moja kubwa ni Lissu kuachiwa within 30 days. Kwa kiburi Cha Samia najua atakaaa. Kitendo Cha Tanzania kukataa masharti ya Common wealth automatic watafurushwa kwenye jumuiya ya madola.

Tanzania ikitimuliwa kwenye jumuiya ya madola itapoteza Scholarship nyingi mno ambazo 90% ya waliokuwa wanazifaidi ni watoto wa vigogo wa CCM.
Wafatao wamesoma Kwa scholarship za common wealth.

Ndalichako
Mtoto wa Wasirra
Mtoto wa Mahita
Mtoto wa Pinda
Bashungwa
Mtoto wa Malecela
Raisi Mwinyi n.k

Hao ni baadhi tu, Common wealth,fukuza Hawa vibaka, watoto wao wasome Iran,Oman na Russia.

Mto wa mbu
Illinois state
Madam president yupo busy kutafuta waarabu wenzie ndio wawe maswahiba wa tanzania
 
Kwa kiburi cha Samia na machawa wake wanaweza wastekeleze sharti hata moja la CMAG ili tu wawekewe vikwazo na ikibidi kufurushwa totally completely.
Ikumbukwe kuwa Tanzania na Uganda miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kujitoa ndani ya Jumuiya ya Madola.
Kwahiyo kama italazimika wafikie hatua hiyo, kwa hawa watawala wa TZ itakuwa ni sawa na kumpiga chura teke though madhara yake ni makubwa kuliko mafikirio yao.
Ni suala la muda tu... Litajitokeze kundi la kutetea maslahi ya Tanganyika.
 
Back
Top Bottom