Sasa ni wakati muafaka kila mhimili yaani Bunge, Mahakama na Urais kuwa na makao yake ktk miji tofauti ?

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,302
24,186
Makala maalum toka maktaba ya JF:
KURUDISHA UHURU WA MIHILIMI MITATU YA DOLA TANZANIA, KATIBA ITAMKE KILA MHIMILI UWE NA MAKAO YAKE KTK MIJI TOFAUTI

Dodoma ibaki kuwa makao ya mhimili wa Bunge / parliament / National assembly ili mhimili huu uendelee kuwa huru.

Dar es Salaam iwe makao makuu ya serikali ya Muungano wa Tanzania ili muhimili wa dola usiote tena mizizi mpaka ndani ya mhimili wa Bunge kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya tano Bunge kumezwa na mhimili wa dola.

Mji wa Arusha uwe makao makuu ya mhimili wa Mahakama Kuu ili jaji mkuu na mahakama ya rufani wabaki huko mbali siyo kila siku wanahudhuria hafla za wafanyakazi wa serikali kuu na mikoa wakiapishwa na kwa namna hii ya mgawanyo wa mihimili, Mahakama iwe huru toka minyororo na jinamizi lililoundwa ktk awamu ya tano. Arusha ni makao ya korti ya Afrika Arusha | Search Results | African Court on Human and Peoples' Rights , EACJ www.eacj.org , UN Korti za masuala ya maovu dhidi ya binadamu International Residual Mechanism for Criminal Tribunals May Conclude Most Cases by May 2021, Its President Tells Security Council | Meetings Coverage and Press Releases hivyo Mahakama Kuu ya Tanzania na Jaji Mkuu wa Tanzania Judiciary of Tanzania | Home watakuwa wanabadilisha mawazo na wasomi wenziwe kuhusu namna bora ya Mahakama za Tanzania kujiendesha kwa uhuru na kumaliza mrundikano wa kesi kwa kuwa kila siku wanahudhuria hafla zote za mhimili wa serikali .


The Many Capitals of South Africa​

South Africa's three capital cities are strategically placed throughout the country, each hosting a separate segment of the nation's government. When asked about a single capital, most people would point to Pretoria.


  • Pretoria is the administrative capital. It is home to the executive branch of the South African government, including the President of the Cabinet. The city also hosts many departments of government and foreign embassies.
  • Located in the province of Gauteng, Pretoria is in the northeast part of South Africa and near the city of Johannesburg.
  • Cape Town is the legislative capital. It is home to the country's legislative parliament, including the National Assembly and National Council of Provinces.
  • Located in the southwest corner of South Africa in the province of Western Cape, Cape Town is the second-largest city in population.
  • Bloemfontein is considered the judicial capital. It is home to the Supreme Court of Appeal, the second-highest court in South Africa. The Constitutional Court (the highest court) is located in Johannesburg.
  • Located in the province of Free State, Bloemfontein is in the center of South Africa.
 
Tanzania ingefanya juhudi za kugawa keki ya taifa kupitia ujenzi wa makao ya mihimili mitatu ya dola kuwa na makao yake makuu ktk miji tofauti badala ya kujazana Dodoma

18 August 2022​

ULIPOFIKIA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA MAHAKAMA


SERIKALI inatarajia kutumia zaidi shilingi bilioni mia moja na ishirini kutekeleza ujenzi wa jengo la makao makuu ya mahakama jijini Dodoma ambapo kukamilika kwa jengo hilo linatajwa litakuwa la sita kwa ubora kwa majengo ya kihamakama duniani hali itakayosaidia kuharasisha utoaji wa huduma za kimahakama kwa wananchi. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na mtendaji wa mahakama kuu bwana Leonard Magacha ambapo amesema kwa sasa ujenzi wa mradi huo umefikia asilimia 65.
 
Hiyo itasaidia nini katika kutekeleza Majukumu yao??

Hii itauwa au itaondoa malalamiko ya Kuingiliana kwa mihimili???
 
17 February 2023

TANZANIA NA BONDE LA UFA LENYE MATETEMEKO YA ARDHI

Tetemeko la Ardhi Dodoma na tishio la matetemeko endelevu sehemu bonde la ufa, ni wakati wa serikali kujitafakari kuacha kulazimisha kila taasisi kuhamia na kubanana Dodoma eneo ambalo ni la bonde la ufa. Taasisi hizo zisambazwe kote katika Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya usalama na pia kila kanda ya Jamhuri ya Muungano kufaidi keki ya taifa kupitia taasisi hizo kuwepo katika maeneo yao.


17 February 2023
Dodoma, Tanzania

TETEMEKO LA ARDHI LAZUA TAHARUKI DODOMA, LAPITA MARA TATU toka jana vipimo baina ya Richter's magnitude scale 4.9 na 4.3 , DODOMA MAMLAKA YAELEZA HAYA

 
17 February 2023

Dodoma, Tanzania

BREAKING: Tetemeko la ardhi laikumba Dodoma, Singida...wananchi waingiwa hofu

Tetemeko la ardhi lililopimwa kwa kiwango cha 4.9 limetokea leo majira ya saa 6 mchana jijini Dodoma na kuleta taharuki kwa wakazi wa jiji hili. Akizungumza leo Ijumaa, Februari 17, 2023 kuhusu matetemeko hayo mjiolojia mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Gabriel Mbogoni amesema kuwa mengine ni la kipimo cha 4.3 lililotokea saa 2 kasoro robo asubuhi ya leo na jingine la 4.9 lililotokea jana saa 12 joini

 
..bilioni 120 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la makao makuu ya mahakama Dodoma.
 
Siku moja yatadondoka

Serikali ya CCM ijitafakari uamuzi wa kiufahari wa kuhamishia kila kitu Dodoma, eneo hilo halifahi na hoja za kuwa katikati ya nchi kwa usalama na utawala bora zimepitwa na wakati huku sayansi na jiografia inaonesha ni eneo la tetemeko
 

Earthquakes in Tanzania since 1950​

The strongest earthquake in Tanzania happened on 10/02/2000 in the Nkansi, Rukwa region with a magnitude of 6.5 on the Richter scale.

Year 2023:
  • Feb. 17, 12:26 pm
    Magnitude 4.9: 29 km north of Kintinku at a depth of ten km.
  • Feb. 17, 7:45 am
    Magnitude 4.3: 41 km south-southeast of Ikungi at a depth of ten km.
  • Feb. 16, 6:13 pm
    Magnitude 4.9: 38 km south-southeast of Ikungi at a depth of ten km.
  • Feb. 8, 6:32 pm
    Magnitude 4.7: 27 km west of Konde at a depth of ten km

DateRegionDepthMagnitudeDeaths
03/21/2019Songwe, Mbeya22 km5.51
05/25/2017Mwanza51 km4.41
09/10/2016Lake Victoria; Uganda (Rakai)41 km5.923
05/18/2002Bunda8 km5.52
10/02/2000Nkansi, Rukwa31 km6.50
05/07/1964Tanzania6.0

Source : Earthquakes | U.S. Geological Survey
 
Toka maktaba :

13 July 2016
Dodoma, Tanzania

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamekumbwa na taharuki baada ya tetemeko la ardhi lenye kipimo cha richa 5.1 kutokea katika kijiji cha Haniti mkoani humo.

Source : SIMU. TV
 
13 February 2023

DODOMA HAIKATAZWI KUJENGA MAGHOROFA MAKUBWA


Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dkt. Matiko Mturi ameyasema hayo Alipokuwa akizungumza Na waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Baraza hilo leo Februari 13, 2023 kwenye ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO jijini Dodoma.
 
Back
Top Bottom