Chezea CHADEMA Dodoma wewe. Makao Makuu ya Nchi

Chezea CHADEMA Dodoma wewe. Makao Makuu ya Nchi

Hii ni Dodoma
Hii sio ya mwezi july. Labda huko nyuma.
Chadema wamejifunza kutii sheria. Baada y katazo la Mhe Patrobas Katambi, sidhani kama wameitisha mikutano kuvunja sheria na Amri hiyo.
 
Hii sio ya mwezi july. Labda huko nyuma.
Chadema wamejifunza kutii sheria. Baada y katazo la Mhe Patrobas Katambi, sidhani kama wameitisha mikutano kuvunja sheria na Amri hiyo.
Umelogwà na nani sijui 😅😂😁😃😀
 
Hii ni Dodoma
kwahiyo huu ndio umati gentleman? au ni umati wa makelele kwaajili ya kurikodi vidio tu?:pedroP:

si ikiwa ni hivyo hakuna haja ya kutoana damu kuchangia milioni mia3 sasa? :pedroP:
 
Itakuwa ulishoot ukiwa umekaa kwenye mkokote

Mikono mirefu kuliko idadi ya watu
 
Hii sio ya mwezi july. Labda huko nyuma.
Chadema wamejifunza kutii sheria. Baada y katazo la Mhe Patrobas Katambi, sidhani kama wameitisha mikutano kuvunja sheria na Amri hiyo.
Kwani kufanya hivi ni kukosa kutii sheria!!Una Elimu nzuri lakini unaendeshwa na tumbo na Makario!!Kwanini mlienda shule ?

Nini maana demokrasia ?
 
Hii sio ya mwezi july. Labda huko nyuma.
Chadema wamejifunza kutii sheria. Baada y katazo la Mhe Patrobas Katambi, sidhani kama wameitisha mikutano kuvunja sheria na Amri hiyo.
Sheria ipi iloyotumika?
 
Kwani kufanya hivi ni kukosa kutii sheria!!Una Elimu nzuri lakini unaendeshwa na tumbo na Makario!!Kwanini mlienda shule ?

Nini maana demokrasia ?
Hujanielewa mkuu. Nilichomaanisha, hii post sio ya hivi karibuni.

Ni kuwasingizia kwamba wanavunja sheria katikati ya katazo japo laweza kuwa ni kinyume cha Katiba/sheria.

Hiyo ya kuwa na umati inajulikana siku zote Chadema wana watu na sisi tuna dola.
 
Back
Top Bottom