Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi akizungumza na Makundi ya Walinzi wa amani katika jamii, Polisi jamii, Wazee, Sungusungu, Wenyeviti wa Mitaa, Mabalozi na Wenyeviti wa Vitongoji vya...
3 Reactions
25 Replies
747 Views
Habari za wakat huu, Siku zinatembea sana aisee leo hii mzee wangu nikikaa nae tukaanza mijadala ya siasa Nchini.. hasemi tu anataka katiba Mpya anasema yatokee mapinduzi kabisa tena ya...
12 Reactions
17 Replies
328 Views
Hili ndio swali ninalojiuilza baada ya Jumuiya hiyo kutoa mapendekezo ambayo ni kama maagizo kwa hawa watawala. Kwa serikali hii, sitashangaa wakakaidi kutekeleza hayo maazimio. Swali ni je...
18 Reactions
60 Replies
1K Views
"CCM iko lock up mikononi mwa Polisi, na CHADEMA iko gereza la Ukonga. Sasa ni lazima, Polisi waiachie huru CCM, na gereza la Ukonga waiachie huru CHADEMA, ndipo maridhiano yaanze kufanyika"...
13 Reactions
11 Replies
304 Views
Akijibu swali la mwandishi kuhusiana na habari za kupotea kwa aliyekuwa Balozi wa Cuba Humphrey Polepole, Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema kuwa vyombo vya ulinzi na usalama...
4 Reactions
18 Replies
382 Views
Alipendwa sana mitandaoni kutokana na maudhui yake na namna alivyowasilisha hoja zake.. Ni mwerevu na tajiri wa maneno ya Kiswahili... Akijua vema kuyachagiza anapofanya uwasilishaji.. Hakukauka...
32 Reactions
129 Replies
9K Views
Sikiliza ushahidi usio na mashaka kuwa that tume was a rubbish!
2 Reactions
5 Replies
220 Views
Kigoma, Julai 20, 2026 – Mbunge wa Kigoma Mjini, Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema hataogopa kuwahoji na kuwashinikiza mawaziri kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa...
1 Reactions
0 Replies
54 Views
GIRISHONI kanichapa BLOCK usiku wa manane, baada ya kumtaka atupe ufafanuzi wa kwanini anatumia chaneli za MABEBERU kuangalia WEDIKAPU wakati TBC UKWEL na UHAKIKA ipo lele-lele. Anamuachia nani...
9 Reactions
20 Replies
441 Views
  • Featured
Wawakilishi wa Asasi za Kiraia (AZAKI) Tanzania, Julai 16, 2026, wamesema kumekuwa na jitihada za kutumia njia za mkato kushughulikia changamoto za kisiasa na kiutawala nchini badala ya kuzingatia...
22 Reactions
73 Replies
2K Views
Kinachozua maswali ni kwamba kampuni ya Vitol inadaiwa kuiuzia Tanzania mafuta kwa takribani USD 260 (Sh 689,000), wakati mafuta yanayofanana yanadaiwa kuuzwa Uganda kwa USD 83 (Sh 212,000) na...
6 Reactions
13 Replies
238 Views
Mnisamehe sana dada zangu mko hapa huu uzi utakuwa mchungu sana hasa kwa wanaotaka ufeminist na pia wale wa Mitano Tena nao Utagusa mifupa ya uti wa mgongo Toka enzi za mababu wana sababu za...
87 Reactions
160 Replies
9K Views
Ina maana mwisho wao wa kufikiri ni uwepo wa mtu akiondoka na maono yao yanaishia pale hadi kiongozi mwingine aje waanze upya. Ndio ujue tofati ya Kiongozi na Kiazi.
13 Reactions
31 Replies
640 Views
Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao. Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr...
8 Reactions
31 Replies
713 Views
Katika mahojiano na ayo TV, Waziri wa Mambo ya ndani, Patrobas Katambi, ameeleza kuwa matukio mengi ya utekaji na mauaji yanayoripotiwa nchini yanatokana na migogoro ya kibiashara, uhasama wa...
0 Reactions
3 Replies
141 Views
Tuhuma hazipigwi rungu. Charity begins at home, mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako. Hawa wanawake wanasema, tuhumu na kutaja watu bila kutoa ushahidi mbele ya Heche. Demokrasia ndani...
5 Reactions
71 Replies
872 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Tundu Lissu leo Julai 21, 2026 amefikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dodoma kwa ajili ya shauri la Kikatiba kuhusu...
10 Reactions
18 Replies
572 Views
Sijawahi kudhani baada ya Nyerere kutakuja kutokea Mtanganyika mwingine Ambaye atakuja kuwa Maarufu kwa kiwango hicho Kumbe nilikuwa nimepofushwa, Leo ni Lissu Taarifa zingine zinaeleza kwamba...
15 Reactions
53 Replies
1K Views
Jamani, napenda kueleza sifa moja ya ndege aitwaye bundi, ndege huyu pamoja na kuhusishwa na mambo ya kichawi sifa yake ya wazi ni kuzomewa na ndege wenzie pindi arukapo ndio maana nyakati za...
5 Reactions
6 Replies
226 Views
Wajibu mkuu wa askari jeshi kwa wananchi ni kulinda Katiba, mipaka ya nchi, na usalama wa wananchi pamoja na mali zao dhidi ya tishio lolote la ndani au nje. Kulingana na miongozo ya jeshi la...
2 Reactions
5 Replies
175 Views
Back
Top Bottom