Wajibu mkuu wa askari jeshi kwa wananchi ni kulinda Katiba, mipaka ya nchi, na usalama wa wananchi pamoja na mali zao dhidi ya tishio lolote la ndani au nje.
Kulingana na miongozo ya jeshi la...
Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema kuwa historia ya China ni mfano wa namna sera sahihi na...
The government's reorganisation of petroleum supplies has seen this company emerge as one of the most influential players in the sector.
Owned by the powerful Nahdi family, which has close ties...
Kwenye ukurasa wake wa sociomedia, mwalimu mmoja wa sekondari, baada ya kusoma comments zinazotolewa na kundi la Mwaipopo, aliuliza swali
"Hello Mheshimiwa IGP Tanzania mbona hamsemi chochote...
Ni jambo la kushangaza Katibu wa CCM wilaya ya Maswa,Efreim Kolimba ambaye ni kiongozi wa kundi la WhatsApp liitwalo CCM MASWA,KUJADILIANA SERA ZA CCM NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM kuligeuza...
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dkt. Benson Alfred Bana, amesema mchakato wa maridhiano hauwezi kuanza au kufanikiwa ikiwa bado kuna kiongozi wa kisiasa anayekabiliwa na kesi...
Eti chadema wanachangisha Hela za kula chakula siku ya kikao cha kamati kuu kwanini wasichange UNGA wasonge ugali wale ?
Kama hakuna Hela kwanini wasifanye online meeting? Hivi Bado hamuoni...
Demokrasia Haiwezi Kustawi Gizani: Uthubutu wa ACT-Wazalendo Ndio Mustakabali wa Zanzibar na Siasa Mpya ya Uwazi
Na: Omar Juma Mustafa
Mwenyekiti wa Vijana ACT-Wazalendo (Fuoni) & Mjumbe wa...
Hatujasikia wakisema Samia na Nchimbi wachunguzwe walivyozitumia, leo million 300 tu press kila kona.
Wachimba Madini walichanga bilioni 16.
Kampuni ya GSM bilioni 10.
CCM Zanzibar bilioni 4 na...
Hivi karibuni, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, alitoa tuhuma nzito za ufisadi kwenye uagizaji wa mafuta hapa nchini huku akihusisha kampuni moja inayouza mafuta katika nchi mbalimbali...
Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa Pili wa Uganda na mwanasiasa mkongwe, Jenerali Moses Ali, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87 wakati akipatiwa matibabu.
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Benjamin Ntele, akizungumza Julai 17, 2026, amesema kuwa mtu aliyejitambulisha hadharani kwa jina la Shaban Ally Mchezo na kudai kuwa ni Mwenyekiti wa CHADEMA...
Fikiria CCM ndiyo ingekuwa madarakani wakati Kinjekitile Ngwale akipanga vita ya majimaji au Mkwawa akipinga uvamizi wa himaya yake.
Unadhani CCM ya wakati huo ingesita kuwaita hao ambao leo...
Kwasababu
Ni wazi kutakua na casualties za kisiasa, kijamii na kiuchumi zitakazotokea, kama matokeo ya vita vya maneno ambavyo ni dhahiri vinaelekea kua vita ya zaidi ya vitendo hasa baina ya timu...
Wajibu wa idara ya Huduma za Uhamiaji Tanzania kwa wananchi ni pamoja na kutoa hati za kusafiria (pasi za kusafiri), kudhibiti uingiaji na ukaazi wa wageni, na kuchakata maombi ya uraia. Chombo...
Kwa sasa kwenye Ulimwengu wa siasa za Tanzania CCM kwa nguvu zote wanapambana na Chadema.
Kitu kimoja wanachokosea ni kutaka kukidhohofisha na kukifuta kabisa chama hiki.
Hili ni kosa kubwa...
Hali ni mbaya sana, ukiwa kiongozi wa CHADEMA we tayari ni mfungwa/maiti mtalajiwa.
Vibaka wa jeshi la polisi wamekuwa wakivamia usiku wa manane, vunja milango na kuwateka viongozi wa Chadema...
Siasa zimekuwa sumu inayoua utaifa wetu kimya kimya kuja kushituka tutajikuta mateka kati yetu wenyewe
Leo vyuo vikuu vimekuwa wazalishaji wakubwa wa machawa badala ya wataalamu
Vijana wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.