Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni nani engineer wa huu ujinga? Zile Billion 2 hii ndio kazi yake? https://www.facebook.com/share/v/14bYdCSajNd/
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Serikali: Dirisha la kupokea maombi ya mkopo kupitia program ya Shilingi Bilioni 200 limefunguliwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS — MAENDELEO YA VIJANA (OR—MV) TANGAZO RASMI LA...
2 Reactions
5 Replies
462 Views
Tujivunie nini kama nchi na sisi kama wananchi ?Je tujivunie hawa viongozi ambao wamejipachika madarakani bila kuchaguliwa na wanachi...
6 Reactions
55 Replies
548 Views
Ukiona mahakama inatumia katiba ya Falme za Kiarabu kuhalalisha Dubai ni nchi inayostahili kunufaika na sheria za mikataba ya kimataifa badala ya kujikita kwenye Lome & Geneva Conventions ujue...
13 Reactions
58 Replies
5K Views
Hii ndio hali halisi ya mambo ilivyokuwa kwa Upande wa Mawakili wa serikali Pichani ni wakili Msomi Nassoro akiguswa na Nondo za Wakili wa Utetezi Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili...
41 Reactions
73 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
10 Reactions
13 Replies
366 Views
Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani. Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi...
5 Reactions
17 Replies
335 Views
Na MMM UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
6 Reactions
33 Replies
583 Views
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
2 Reactions
6 Replies
173 Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
7 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
0 Reactions
Replies
Views
1JIMBO LA ZANZIBAR Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi, 2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state) Mji mkuu: Arusha Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
3 Reactions
7 Replies
249 Views
Salaam Wakuu, Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi. Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
18 Reactions
310 Replies
30K Views
Habari za jioni wakuu! Mauaji yaliyotokea October 29 2025 hapa nchini, wengi wetu matumaini ya kupata haki yako ICC, ila kwa jinsi mahakama hiyo inavyofanya kazi, ni ngumu kupata haki huko...
21 Reactions
285 Replies
6K Views
Hello everyone, I would like to ask for advice regarding an ongoing issue we are facing in North Zanzibar. We have neighbours who regularly organize very loud parties, even though the President...
1 Reactions
0 Replies
131 Views
Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno. Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si...
42 Reactions
94 Replies
12K Views
Hakunaga msamaha kwenye kosa hilo la wazi kabisa. Ikiwa mtuhumiwa atapunguziwa adhabu, basi itakua ni adhabu ya kifungo cha maisha badala ya kunyongwa hadi kufa, na si vinginevyo. Ni vema wanao...
1 Reactions
50 Replies
606 Views
Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA? Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi...
3 Reactions
7 Replies
150 Views
BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU Na, Robert Heriel Taikon wa Fasihi, S.L.P 9977, JIBI, Kutoka Nyota ya Tibeli. 30, 07. 2020. YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU. Ndugu Mhe Lisu...
86 Reactions
279 Replies
27K Views
Back
Top Bottom