Serikali: Dirisha la kupokea maombi ya mkopo kupitia program ya Shilingi Bilioni 200 limefunguliwa
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS — MAENDELEO YA VIJANA (OR—MV)
TANGAZO RASMI LA...
Ukiona mahakama inatumia katiba ya Falme za Kiarabu kuhalalisha Dubai ni nchi inayostahili kunufaika na sheria za mikataba ya kimataifa badala ya kujikita kwenye Lome & Geneva Conventions ujue...
Hii ndio hali halisi ya mambo ilivyokuwa kwa Upande wa Mawakili wa serikali
Pichani ni wakili Msomi Nassoro akiguswa na Nondo za Wakili wa Utetezi Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani.
Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi...
Na MMM
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
1JIMBO LA ZANZIBAR
Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi,
2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state)
Mji mkuu: Arusha
Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
Habari za jioni wakuu!
Mauaji yaliyotokea October 29 2025 hapa nchini, wengi wetu matumaini ya kupata haki yako ICC, ila kwa jinsi mahakama hiyo inavyofanya kazi, ni ngumu kupata haki huko...
Hello everyone,
I would like to ask for advice regarding an ongoing issue we are facing in North Zanzibar.
We have neighbours who regularly organize very loud parties, even though the President...
Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno.
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si...
Hakunaga msamaha kwenye kosa hilo la wazi kabisa.
Ikiwa mtuhumiwa atapunguziwa adhabu, basi itakua ni adhabu ya kifungo cha maisha badala ya kunyongwa hadi kufa, na si vinginevyo.
Ni vema wanao...
Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA?
Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi...
BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.