Dhambi kubwa aliyofanya Nyererew ni kuiacha katiba ambayo mwenyewe kwa kinywa chake alisema katiba hii akiipata dictator, ataumiza sana watu/ WATANZANIA/WATANGANYIKA. Kwa vile ilikuwa inampa mamlaka ya kidikiteita akaiacha hivyo hivyo.
Sasa wamekuja madikiteita marais waliopita na kuitumia kutesa, kuibia watanzania/ Watanganyika/kuuza rasilimali zao , kuteka, kuua, kupoteza watu , kupora watu ardhi zao etc etc
SASA TAGANYIKA INAUZWA KAMA NJUGU SOKONI, WAMASAI WANATESWA ETC ETC KWA VILE KATIBA HII ALIYOIACHA NYERERE
Sasa wamekuja madikiteita marais waliopita na kuitumia kutesa, kuibia watanzania/ Watanganyika/kuuza rasilimali zao , kuteka, kuua, kupoteza watu , kupora watu ardhi zao etc etc
SASA TAGANYIKA INAUZWA KAMA NJUGU SOKONI, WAMASAI WANATESWA ETC ETC KWA VILE KATIBA HII ALIYOIACHA NYERERE