Tumeona hivi karibuni, shughuli za ushirikiano wa kijeshi kati ya nchi yetu na Marekani.
Marekani kwa kifupi hawana urafiki na mtu yeyote au Taifa lolote.
Watakumeza halafu kukutema mzima mzima...
I haven't seen this happening in my lifetime. Believe it or not, it is a shame on the entire PhD class to have Dk. Rutengwe crying like a baby. Undermining his qualifications that he has no basic...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema hayo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la ofisi za CCM...
Profesa Lipumba amesema kuwa chama cha wananchi CUF japokuwa hakikutarajia kushinda ngazi ya urais lakini kiliamini kingeweza kupata majimbo ya ubunge walau viti 15, lakini ilishindikana kutokana...
Hili ndilo swali linalobeba kiini cha wasiwasi wa wengi kuhusu hatima ya mapendekezo ya Tume. Suala si kutolewa kwa ripoti pekee, bali ni nani atasimamia utekelezaji wake endapo mapendekezo...
This quote, often attributed to Niccolò Machiavelli in his work The Prince, argues that a leader’s wisdom is directly reflected in their choice of advisors and companions. A capable, honest circle...
Amesema Dkt.Tulia Ackson, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa ibada maalum ya kuaga Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na...
Ndugu zangu Watanzania,
Naungana Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika,jasiri...
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Padre Dkt. Charles Kitima amesema "Ukosefu wa Fikra yakinifu kwa vijana ni hatari, Kijana unakuwa mpambe wa mtu ambaye hana maono ya kiuchumi."...
Kwa mapana yake
Tulipotoka
Tulipo na tuendako
Tupopatia tulipokosea na tulipoumizwa
Tulipopotea, tulipokengeuka, tuliporubuniwa na tulipojisahau
Tuwajadili pia wazalendo waliojaribu kuipigiania...
Chagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
Hatimaye, Profesa Ibrahim Lipumba amekubali kung'olewa katika wadhifa wa uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku akiacha maagizo matano kwa mwenyekiti mpya, Mirambo Yusuf, likiwemo kuhakikisha...
Bei ya mafuta duniani imeripotiwa kupanda kufuatia tahadhari kali kutoka Iran dhidi ya uwezekano wa uvamizi wa kijeshi wa ardhini kutoka Marekani, licha ya Rais Donald Trump kusema kuwa mazungumzo...
Daa hii nchi sijui kama itapona makovu ya MO29.
Sasa Kuna TV mpya , ni online TV, imeanzishwa imepewa jina la MO29 TV.
Hii channel inapiga spana kweli kweli, imegeuka kilio Cha kusaga meno Kwa...
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la...
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Hivyo kutokana na Umahiri wake wa kiuongozi,Akili kubwa, Maono Makubwa , Ushawishi wake ,Ujenzi wa hoja...
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania.
Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo
Hakuna Ubaya Wowote Kwa Mtanzania Yeyote Kuwa na Ndoto ya Kuwa Rais wa JMT!, Msiwatishe Bure Wenye Ndoto Hizo!.
Leo naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.