Kabuye Phares Kashemeza mtu aliyemtetemesha Magufuli sana pitia picha

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda na kutangazwa kuwa mbunge JOHN POMBE MAGUFULI akarudi Sengerema kuendelea na majukumu yake ya kila siku ya ualimu (alirudi kufundisha

Mnamo mwaka 1990 Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI alichuana Tena na mkulima PHARES KABUYE kwa mara ya pili. PHARES KABUYE alimshinda tena JOHN POMBE MAGUFULI akafanikiwa kukitetea kiti chake

Mnamo mwaka 1995,wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Jimbo la biharamuro liligawanywa kwa kupatikana majimbo mawili (Biharamulo mashariki na Biharamulo magharibi. PHARE KABUYE aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo magharibi akashinda. JOHN POMBE MAGUFULI nae aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo mashariki na akashinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda kugombea ktk Jimbo la biharamulo magharibi.
PHARES KABUYE alikwenda kuhamia T.L.P aligombea na kushinda kuwa mbunge pekee wa chama hicho kabla ya kufariki kwenye ajali ya Basi mwaka 2009,mkoani MOROGORO.

Baadae Jimbo la biharamulo mashariki lilibadilishwa jina na kuitwa JIMBO LA CHATO chini mheshimiwa Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI mbunge wa Jimbo Hilo.



1107221


Britanicca
 
Acha kuandika ujinga Mzee .kuna mbunge anaitwa amatory choya kasazi 1995_ 2005

Harafu sio biharamuro no biharamulo una bifu na JPM nini
 
Nimeipenda hii Vita ya Mkulima na Mkemia
Wakulima wa Chato ni sharp sana wote tunamkumbuka yule aliyechukua fomu kuomba kugombea Urais kwa tiketi ya CCM nwaka 2015. Alifanya vizuri sana lakini vikao vya chama vikamtupilia mbali maana tayari walikuwa na mtu wao. Kama angechaguliwa kuwa Rais wetu, wakulima wa korosho SAA hii wangekuwa wanacheka. Jina lake tafadhali.
 
Wakulima wa Chato ni sharp sana wote tunamkumbuka yule aliyechukua fomu kuomba kugombea Urais kwa tiketi ya CCM nwaka 2015. Alifanya vizuri sana lakini vikao vya chama vikamtupilia mbali maana tayari walikuwa na mtu wao. Kama angechaguliwa kuwa Rais wetu, wakulima wa korosho SAA hii wangekuwa wanacheka. Jina lake tafadhali.

Ila nadhani yule alikua ni wa Kigoma kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Hili la wakulima wenzake wa korosho litakua limemuumiza sana kwa kweli.
 
Mkuu Britanicca, asante kwa hii, you are good historian, umetukumbusha mbali. Kumbe hawa jamaa zetu wa mipakani na mikoa ya pembezoni, walianzia mbali!. Huu ndio uzuri wa Tanzania, nchi ya peace sana, hatuulizii mambo mengi mengi. Itunze vizuri ile taarifa ya Katto, you never know, huko mbele ya safari, it might be useful.

Tutakapo maliza miaka 10 ya awamu hii, tutaona umuhimu wa kufuata ushauri huu kwa awamu zijazo
P
 
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda na kutangazwa kuwa mbunge JOHN POMBE MAGUFULI akarudi Sengerema kuendelea na majukumu yake ya kila siku ya ualimu (alirudi kufundisha

Mnamo mwaka 1990 Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI alichuana Tena na mkulima PHARES KABUYE kwa mara ya pili. PHARES KABUYE alimshinda tena JOHN POMBE MAGUFULI akafanikiwa kukitetea kiti chake

Mnamo mwaka 1995,wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Jimbo la biharamuro liligawanywa kwa kupatikana majimbo mawili (Biharamulo mashariki na Biharamulo magharibi. PHARE KABUYE aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo magharibi akashinda. JOHN POMBE MAGUFULI nae aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo mashariki na akashinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda kugombea ktk Jimbo la biharamulo magharibi.
PHARES KABUYE alikwenda kuhamia T.L.P aligombea na kushinda kuwa mbunge pekee wa chama hicho kabla ya kufariki kwenye ajali ya Basi mwaka 2009,mkoani MOROGORO.

Baadae Jimbo la biharamulo mashariki lilibadilishwa jina na kuitwa JIMBO LA CHATO chini mheshimiwa Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI mbunge wa Jimbo Hilo.



View attachment 1107221

Britanicca
JPM alitengenezewa jimbo na serikari ya Mkapa.
 
Mkuu Britanicca, asante kwa hii, you are good historian, umetukumbusha mbali. Kumbe hawa jamaa zetu wa mipakani na mikoa ya pembezoni, walianzia mbali!. Huu ndio uzuri wa Tanzania, nchi ya peace sana, hatuulizii mambo mengi mengi. Itunze vizuri ile taarifa ya Katto, you never know, huko mbele ya safari, it might be useful.
P
Ulipoharibu ni hapo kusema "wa mipakani na mikoa ya pembezoni " sababu hata Dar ni pembezoni mwa nchi
 
Back
Top Bottom