Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa...
0 Reactions
2 Replies
210 Views
Padre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki...
14 Reactions
36 Replies
777 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika, Jasiri muongoza...
0 Reactions
Replies
Views
Nadhani wote mmemsikia Paul Makonda kuhusu mpambano wa kuelekea 2030 kwenye kiti cha Urais kupitia ccm. Makonda kwa madongo ya leo atakuwa anamlenga nani haswa? Ila cha kusikitisha leo ni...
3 Reactions
20 Replies
881 Views
George Sanga, msaliti wa Watanzania, amezua mjadala mpana katika jamii kufuatia hatua yake ya kubadili msimamo na kuacha njia ya mapambano ya haki na demokrasia. Kitendo chake kinatazamwa na wengi...
4 Reactions
9 Replies
245 Views
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua. Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa...
58 Reactions
479 Replies
38K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete, leo Machi 26, 2026, amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge...
0 Reactions
8 Replies
270 Views
Hii rabuda inaweza ikawa njia nzuri Sana kusikika kuliko tunavyojaribu kudai haki kwa maaandammano. Bahati nzuri mwimbaji aliwahi kuwa Mwanasiasa CHADEMA, NCCR MAGEUZI na CCM kabla hajaacha Siasa...
1 Reactions
1 Replies
105 Views
Wakuu, Zile mbwembwe na tashtiti za Uchaguzi zimeanza rasmi. Huyu kaamua kuubwaga Ukuu Mkoa wa Iringa na kwenda kugombea Ubunge! ======================== Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Swali wahamie wapi toa sehemu mbadala kuwahifadhi wana Rungwe. Watu 20 wameshapotea daah inauma sana nchi yani hii. Toa suluhisho kiongozi sasa watu hawana nyumba kusema tuu wahame haitoshi .
0 Reactions
1 Replies
110 Views
Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa. Ishi kwa kutenda kazi na kutetea maendeleo
1 Reactions
1 Replies
125 Views
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani...
14 Reactions
32 Replies
873 Views
Wakati wa mgogoro mkubwa wa CHADEMA hasa kati ya Zitto na Mbowe niliwahi kuandika humu kuhusu Mbowe kuwa ni 'mtoto wa mjini' sishangai Zitto kushindwa.... Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true...
264 Reactions
625 Replies
86K Views
  • Featured
Utangulizi Kuwa kwa kasi kwa huduma za kifedha za kidijitali nchini Tanzania kumeleta mapinduzi makubwa katika upatikanaji wa mikopo na huduma za malipo kwa mamilioni ya wananchi. Miongoni mwa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni kweli kwamba silitambui Bunge la TANZANIA, hii ni kwa sababu hakuna mbunge aliyechaguliwa na wananchi, na Wala hakuna mbunge yoyote wa Leo aliyejua amepata kura ngapi, Walitangazwa tu Hata...
9 Reactions
67 Replies
2K Views
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia...
6 Reactions
17 Replies
769 Views
Katika hali isiyo ya kawaida, Kwa kauli na mienendo yake ya hivi karibuni, Anna Tibaijuka ameonesha wazi kukosa haya kwa kiwango cha kutisha, anafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo hawezi kufanya...
-2 Reactions
88 Replies
1K Views
Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa Dini na Wanananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 Mwanza katika ukumbi wa Nyakahoja leo Machi 26, 2026. Viongozi wa dini wanaoshiriki mjadala wa...
0 Reactions
2 Replies
180 Views
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
23 Reactions
286 Replies
14K Views
"Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" kweli? Magufuli yupi analiyemaanisha hapa? Magufuli huyu aliyemkamata Seth kwa ufisadi na utapeli? Magufuli huyu wa Chato au ni Magufuli wa Msoga? Leo Magufuli...
9 Reactions
45 Replies
2K Views
Back
Top Bottom