Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Leo ni zamu ya mkuu wa gereza kufanyiwa dodoso, na Mh Tundu Lissu Sasa huyu si atajajijambia jmn? Kwa Nini serikali inaruhusu uzalilishwaji wa WATUMISHI WA UMMA?
11 Reactions
17 Replies
475 Views
Kila siku katika maisha yetu ya kisiasa tunahesabu ni siku ya mapambano dhidi ya dola katili la CCM. Tunashinda katika korido za Mahakama kwa kuwa MaCCM hawataki tena kufanya siasa za hoja...
4 Reactions
2 Replies
84 Views
  • Redirect
Sote tunakumbuka enzi za hayati magufuli huyu mwamba alikuwa na mbinu moja mujarabu yaani ili ajue matatizo ya wananchi wake alikuwa anapita kitaa Lakini huyu mwenzetu mbinu anazotumia anajua...
2 Reactions
Replies
Views
Viongozi watatu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, wakipinga hatua zilizochukuliwa dhidi...
6 Reactions
65 Replies
1K Views
Akiwa Shinyanga juzi Katambi alisikika akisema, wanaotishia kumpeleka Mahakamani ni wapinga maendeleo watashughulikiwa. Awali alisema hatishiki na watu wanaopanga kumpeleka mahakamani kwa vile...
11 Reactions
28 Replies
754 Views
Mkuu wa Gereza la Ukonga, Bwana Andrew Shabani Tamanjiro, amedai kuwa alipofika Ukonga Prison hakukuta utaratibu wa ndugu wa Mwenyekiti kumtembelea gerezani siku ya Jumamosi na wanachama...
12 Reactions
8 Replies
438 Views
Genge la CCM na machawa wao kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF wamekuwa wakijinadi kwamba Elimu wameboresha jambo linalopelekea ufaulu kuongezeka, sasa hebu yaulizeni machawa yao ni waziri gani...
11 Reactions
17 Replies
264 Views
BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (BAHAKITA), limesema hoja ya watu wa Mtwara kutaka gesi iwanufaishe wao kwanza ni upuuzi, kwa kuwa hoja hiyo itajenga ukanda katika Tanzania isiyoamini...
1 Reactions
81 Replies
9K Views
UTANGAZAJI WA UTALII KUPITIA MATAMASHA, MWENGE WA UHURU , NA FAIDA ZA MOJA KWA MOJA INAVYOWEZA KUWA FURSA YA KUKUZA UTALII NCHINI Rais wa JMT Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Waziri wa UTALII...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
Utamaduni huo wa mara kwa mara wa CCM, hukipa chama hicho nguvu, ari na pumzi mpya ya kupanga na kutekeleza mambo yake kwa usahihi na kasi ambayo hupelekea, mathalani ushindi wa kishindo katika...
4 Reactions
96 Replies
560 Views
Taarifa za Wafanyabiashara walioshiriki kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara ya 77 zinasikitisha Hasara waliyoipata haisemeki kirahisi, hata hivyo wafanyabiashara wa ndani wamepewa onyo Kali...
16 Reactions
50 Replies
973 Views
‎"Leo tunaona watu wanaandamana wanasema Heche apishe uchunguzi.. Heche ni nani kwenye CHAMA, Heche ndiyo anayepokea michango kwenye Chama? Ofisi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama inazuia vipi...
3 Reactions
1 Replies
102 Views
Rais Samia ameyasema hayo wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC), Julai 13, 2026 "Kwa upande mwingine...
8 Reactions
131 Replies
2K Views
Juzi waziri wa Muungano na Mazingira Hamad Masauni(Mzanzibari) alimkemea na, kumdogosha na kumdunisha naibu wake Reuben Kwagilwa kuwa "ziara za naibu waziri zisiwe za kufunga viwanda". Aliamua...
4 Reactions
7 Replies
208 Views
YAH: UTEUZI NA UHAMISHO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi...
1 Reactions
10 Replies
527 Views
Watawala wa Tanganyika yafikirié haya yanayowapata waliopoteza ndugu zao wanaotegemewa kwa yaliyotokea 29.10.2025! Hao vifaranga ni watoto wa Lisu, Mdude, Soka, Kibao and many many others of...
2 Reactions
2 Replies
180 Views
  • Redirect
YAH: UTEUZI NA UHAMISHO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi...
0 Reactions
Replies
Views
My Take Waliokuwa wanawatumia wenzao kupata pesa Sasa ni wakati wa kwenda kujitetea. Kwa mujibu wa andiko linalosambaa mitandaoni, viongozi wa CHADEMA, wanaharakati na wahamasishaji katika...
9 Reactions
67 Replies
1K Views
Wanabodi Tumepiga kelele sana humu kuhusu adhabu ya kifo kwa kunyongwa mpaka kufa kuwa barbaric!. Hatimaye leo Tanzania tumeamriwa kuifuta adhabu hiyo ya kifo kwa mtu kunyongwa mpaka kufa!. Ni...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakifanikiwa wanakanusha,Wakishindwa wanadai ulikuwa na kosa watalitafuta mda wanaojisikia. Kwa dunia hii mshaingia kwenye rekodi mbaya na uchafu wenu. Mnavutiwa mda ili mkishawekwa kitimoto...
7 Reactions
4 Replies
144 Views
Back
Top Bottom