Rais Samia akizungumza leo Juni 12, 2026, wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), yaliyofanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Ametoa wito kwa taasisi za kifedha na mamlaka za kodi nchini kuhakikisha kuwa mifumo ya kidijitali haitumiki tu kurahisisha kazi ya serikali ya kukusanya mapato, bali pia iwe rafiki na yenye kumrahisishia mwananchi wa kawaida kutimiza wajibu wake wa kuchangia Pato la Taifa
Ametoa wito kwa taasisi za kifedha na mamlaka za kodi nchini kuhakikisha kuwa mifumo ya kidijitali haitumiki tu kurahisisha kazi ya serikali ya kukusanya mapato, bali pia iwe rafiki na yenye kumrahisishia mwananchi wa kawaida kutimiza wajibu wake wa kuchangia Pato la Taifa