Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Zile mbwembwe na tashtiti za Uchaguzi zimeanza rasmi. Huyu kaamua kuubwaga Ukuu Mkoa wa Iringa na kwenda kugombea Ubunge! ======================== Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Swali wahamie wapi toa sehemu mbadala kuwahifadhi wana Rungwe. Watu 20 wameshapotea daah inauma sana nchi yani hii. Toa suluhisho kiongozi sasa watu hawana nyumba kusema tuu wahame haitoshi .
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa. Ishi kwa kutenda kazi na kutetea maendeleo
1 Reactions
1 Replies
122 Views
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani...
14 Reactions
32 Replies
869 Views
Wakati wa mgogoro mkubwa wa CHADEMA hasa kati ya Zitto na Mbowe niliwahi kuandika humu kuhusu Mbowe kuwa ni 'mtoto wa mjini' sishangai Zitto kushindwa.... Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true...
264 Reactions
625 Replies
86K Views
  • Featured
Utangulizi Kuwa kwa kasi kwa huduma za kifedha za kidijitali nchini Tanzania kumeleta mapinduzi makubwa katika upatikanaji wa mikopo na huduma za malipo kwa mamilioni ya wananchi. Miongoni mwa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni kweli kwamba silitambui Bunge la TANZANIA, hii ni kwa sababu hakuna mbunge aliyechaguliwa na wananchi, na Wala hakuna mbunge yoyote wa Leo aliyejua amepata kura ngapi, Walitangazwa tu Hata...
9 Reactions
67 Replies
2K Views
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia...
6 Reactions
17 Replies
767 Views
Katika hali isiyo ya kawaida, Kwa kauli na mienendo yake ya hivi karibuni, Anna Tibaijuka ameonesha wazi kukosa haya kwa kiwango cha kutisha, anafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo hawezi kufanya...
-2 Reactions
88 Replies
1K Views
Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa Dini na Wanananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 Mwanza katika ukumbi wa Nyakahoja leo Machi 26, 2026. Viongozi wa dini wanaoshiriki mjadala wa...
0 Reactions
2 Replies
175 Views
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
23 Reactions
286 Replies
14K Views
"Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" kweli? Magufuli yupi analiyemaanisha hapa? Magufuli huyu aliyemkamata Seth kwa ufisadi na utapeli? Magufuli huyu wa Chato au ni Magufuli wa Msoga? Leo Magufuli...
9 Reactions
45 Replies
2K Views
Ndani ya miezi miwili kutoka sasa, utashangaa kuna mkeka unatoka na kuna watu wataliwa vichwa. Stay tuned…
3 Reactions
2 Replies
177 Views
2030 hiyooooo yaja! Cartel paving their way to supremacy!
4 Reactions
13 Replies
299 Views
  • Redirect
Dear Mr. President, POTUS However this Iran war turns out, you have earned my respect for keeping your word to the Iranian people as they were being massacred by their own government, you told...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita. The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha...
0 Reactions
4 Replies
203 Views
Wakili mwandamizi Shaban Nsato Marijani ameeleza kuwa kilichozungumzwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA), John Mnyika kuhusu wigo wa shauri la mgawanyo wa mali ni upotoshaji. Wakili...
0 Reactions
10 Replies
361 Views
Mimi siyo mtabili ila ukweli mtauona hasa tunapoikalibia 2030, kama wewe waziri au mbunge anza kujichimbia kaburi kabisa
2 Reactions
13 Replies
366 Views
Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo...
5 Reactions
37 Replies
621 Views
Wakuu,hii ni kumbukizi ya viongozi wetu shupavu&wenye hekima waliotangulia mbele ya haki kuanzia 2025/2026 Lengo la mada,ni kuwaenzi,kuyakumbuka matendo yao mema hapa duniani. Na kuzidi kuwaombea...
1 Reactions
2 Replies
123 Views
Back
Top Bottom