Wakuu,
Zile mbwembwe na tashtiti za Uchaguzi zimeanza rasmi. Huyu kaamua kuubwaga Ukuu Mkoa wa Iringa na kwenda kugombea Ubunge!
========================
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter...
Swali wahamie wapi toa sehemu mbadala kuwahifadhi wana Rungwe.
Watu 20 wameshapotea daah inauma sana nchi yani hii.
Toa suluhisho kiongozi sasa watu hawana nyumba kusema tuu wahame haitoshi .
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani...
Wakati wa mgogoro mkubwa wa CHADEMA hasa kati ya Zitto na Mbowe niliwahi kuandika humu kuhusu Mbowe kuwa ni 'mtoto wa mjini'
sishangai Zitto kushindwa.... Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true...
Utangulizi
Kuwa kwa kasi kwa huduma za kifedha za kidijitali nchini Tanzania kumeleta mapinduzi makubwa katika upatikanaji wa mikopo na huduma za malipo kwa mamilioni ya wananchi. Miongoni mwa...
Ni kweli kwamba silitambui Bunge la TANZANIA, hii ni kwa sababu hakuna mbunge aliyechaguliwa na wananchi, na Wala hakuna mbunge yoyote wa Leo aliyejua amepata kura ngapi, Walitangazwa tu
Hata...
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia...
Katika hali isiyo ya kawaida, Kwa kauli na mienendo yake ya hivi karibuni, Anna Tibaijuka ameonesha wazi kukosa haya kwa kiwango cha kutisha, anafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo hawezi kufanya...
Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa Dini na Wanananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 Mwanza katika ukumbi wa Nyakahoja leo Machi 26, 2026.
Viongozi wa dini wanaoshiriki mjadala wa...
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
"Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" kweli? Magufuli yupi analiyemaanisha hapa? Magufuli huyu aliyemkamata Seth kwa ufisadi na utapeli? Magufuli huyu wa Chato au ni Magufuli wa Msoga?
Leo Magufuli...
Dear Mr. President, POTUS However this Iran war turns out, you have earned my respect for keeping your word to the Iranian people as they were being massacred by their own government, you told...
Wakuu,
Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani
Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita.
The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha...
Wakili mwandamizi Shaban Nsato Marijani ameeleza kuwa kilichozungumzwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA), John Mnyika kuhusu wigo wa shauri la mgawanyo wa mali ni upotoshaji. Wakili...
Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi.
Hali hiyo...
Wakuu,hii ni kumbukizi ya viongozi wetu shupavu&wenye hekima waliotangulia mbele ya haki kuanzia 2025/2026
Lengo la mada,ni kuwaenzi,kuyakumbuka matendo yao mema hapa duniani.
Na kuzidi kuwaombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.