figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,606
- 62,359
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, amesema mwanasiasa Peter Msigwa, ambaye amerejea hivi karibuni ndani ya chama hicho atajitetea mwenyewe kwa wananchi kuhusu sababu na mazingira ya maamuzi yake ya kisiasa ya kuhama na kurejea CHADEMA.
Akizungumza leo Juni 13, 2026, katika kipindi cha Nyambizi Mseto cha 88.9 Nuru FM, Heche amesema kurejea kwa Msigwa ndani ya CHADEMA ni uthibitisho wa mvuto na ushawishi wa chama hicho katika medani za siasa nchini.
Akizungumza leo Juni 13, 2026, katika kipindi cha Nyambizi Mseto cha 88.9 Nuru FM, Heche amesema kurejea kwa Msigwa ndani ya CHADEMA ni uthibitisho wa mvuto na ushawishi wa chama hicho katika medani za siasa nchini.