britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Hivi chama tawala cha siasa kinaweza kufata amri ya chombo cha usalama( Polisi, Jeshi au Magereza) au chombo cha usamala i.e Polisi, Jeshi, Magereza ndo kinafata amri ya chama tawala cha siasa....?
Kulingana na kauli ya mwalimu??
Comment ya Malcom Lumumba
Mzee alimaanisha Chama cha Upinzani kisichofuata amri ya vyombo vya dola vya CCM ni cha Kigaidi.
Hapa CCM haikuguswa kabisa kwasababu hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuvitenga vyombo vya dola na CCM. Huu mfumo na hii laana inayotutesa sasa hivi Watanzania ilitengenezwa na Mzee Nyerere mwenyewe kwasababu zake anazozijua yeye.
Huyu Mzee alidiriki hadi kusema kwamba Chama kiko juu ya Serikali,
Serikali haiwezi kuwa na nguvu kama haikitii Chama Tawala, na hapa anaposema Serikali alikuwa anazungumzia Mihimili yote ya Serikali na vyombo vyote vya dola. Namnukuu hapa "Its not the Party that is an instrument of the Government, but the Government is an instrument of the Party from which the people have the mandate to rule their nation"
Ndiyo maana kuna baadhi ya mamboakiyafanya Raisi Magufuli sishangai kabisa,
Mzee Nyarere alishawahi hadi kudhalilishaMajaji na kuwatolea vitishi kwamba atawashughulikia na ameandaa dawa yao...
Kulingana na kauli ya mwalimu??
Comment ya Malcom Lumumba
Mzee alimaanisha Chama cha Upinzani kisichofuata amri ya vyombo vya dola vya CCM ni cha Kigaidi.
Hapa CCM haikuguswa kabisa kwasababu hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuvitenga vyombo vya dola na CCM. Huu mfumo na hii laana inayotutesa sasa hivi Watanzania ilitengenezwa na Mzee Nyerere mwenyewe kwasababu zake anazozijua yeye.
Huyu Mzee alidiriki hadi kusema kwamba Chama kiko juu ya Serikali,
Serikali haiwezi kuwa na nguvu kama haikitii Chama Tawala, na hapa anaposema Serikali alikuwa anazungumzia Mihimili yote ya Serikali na vyombo vyote vya dola. Namnukuu hapa "Its not the Party that is an instrument of the Government, but the Government is an instrument of the Party from which the people have the mandate to rule their nation"
Ndiyo maana kuna baadhi ya mamboakiyafanya Raisi Magufuli sishangai kabisa,
Mzee Nyarere alishawahi hadi kudhalilishaMajaji na kuwatolea vitishi kwamba atawashughulikia na ameandaa dawa yao...