Kuna vitu vinafanana sana lakini viko mbali kabisa.
Hekima imefanana sana busara lakini ni vitu viwili tofauti. Hekima ni karma ya Roho Mtakatifu, inatoka kwa Mungu. Busara ni akili ya kibinadamu...
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!
Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), Machi 12, 2026 ikitembelea na kukagua ujenzi wa jengo jipya la ghorofa...
Staki niongee mengi hata kidogo naomba ukiingia KAZINI kesho ULIZIA kile kitabu ambacho wananchi uandikwa MAELEZO ULIZIA kesi ya mtu aliyevunjiwa biashara yake pale kibosho road, akaja kituoni...
DKT. MWIGULU AWASILI MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili ya kuanza ziara ya...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefanya mazungumzo na Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Yordenis Despaigne Vera, mazungumzo yaliyofanyika...
Serikali ya Tanzania ipo Vitani? Internet ni shida, na Askari kila kila kona
Nini kinaendelea? Wananchi tuambiwe kama TFF wameshaingia Mjini ili tusaidie kuwatafuta.
Hakuna huduma za Kijamii...
Huyu mwakilishi wa UN sina Imani kutokana na UN ilivyosasa ni kama kikundi fulani cha wahuni na wahuni wanaweza kukitumia pia kuwalizisha wananchi wa nchi ya kusadikika na wasichukue hatua yoyote.
Wazanzibari wengi sana huwaona waarabu kama watu perfect sana na hupenda kwa namna yoyote kujega ukaribu nao.
Sijashangaa kabisa Rais kusema aliyotamka kuhusu kuwapa ndugu zake Mbuga
Ukimya wa wakuu wa majeshi juu ya mauaji na utekaji ya halaiki ya watanzania inatupa picha kuwa hatuna viongozi sahihi kwenye jeshi, wanaua nchi.
Mambo haya hayavumiliki wamesahau wajibu wao...
Wakati mgogoro wa aridhi unaendelea kweli kama anaejiita amiri jeshi mkuu alishindwa kutoka na kusimama na kusema wamasai hawatikiwi kwenda popote wabaki ngorongoro kauli yake si ilikua inatosha...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amemjulia hali Diwani wa Kata ya Kidaru, Ndugu Philipo Manguli wa Iramba, mkoani Singida, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa...
Kwenye kabumbu kiungo mchezeshaji akiyumba timu lazima ichezee kichapo ama ifanye vibaya
Maziwa ya ng'ombe yako ya aina mbili, fresh na mtindi.. Ukisikia maziwa yamekatika maana yake sio fresh na...
Salaam wakuu,
Natumai sote ni wenye Jumapili Njema
Karibuni katika Mjadala utakaomulika matukio muhimu ya kisiasa kwa mwaka 2012 kuelekea 2013. Lengo ni kujipima katika siasa za Tanzania na...
Kipindi kinaendelea na kimeanza kama dakika 20 zilizopita.Ni katika kipindi cha Star magazine.
Huyu mtu katoka mbali na amepitia magumu mengi sana katika maisha yake.
Kwakweli sijaamini masikio...
Kipindi ni jicho letula habari hoja Dr. Slaa alikuwa sahihi kusema Dr. Slaa kusema waandishi wa habari si watafiti hawana uweledi.
Mwana JF Paschal Mayalla ndani ya mada.
Dr.slaa alisema...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Alhamisi Machi 12.2026 imewaachia huru vijana watatu (3) waliokuwa wanakabiliwa na shtaka moja la uchomaji wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.