Wapo wanaotazama ukubwa wa Goliati kwa sababu ana mwili mkubwa, mashamba mapana, madini tele, mito, misitu na hazina nyingi.
Lakini historia hufundisha kwamba si kila mamlaka hutegemea ukubwa wa...
Kukitangazwa TU maandamano basi wao huanza kusitisha huduma ya maji kwa kusingizia TANESCO..Lengo lao kuwatia hasira wananchi waichukie serikali Yao Kisha watoke waandamane ..
Walianza hii michezo...
Hapa Tanzania , mambo ya kisiasa bado sana.
Sisi bado tunapambania survival kuhakikisha unapata mlo wa Kila Leo.
Hata kama watanzania waruhusiwe kuandamana bado wasingeweza na hawawezi.
Huku...
WAZIRI MKUU: FEDHA ZA MAJI, BARABARA NA UMEME KWENDA MOJA KWA MOJA KWENYE MIFUKO HUSIKA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yatakayowezesha fedha...
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika uchaguzi wa Tanzania na DW ameelezea kuhusu...
Sisi wazalendo wa kweli tulimkubali John Joseph Pombe Magufuli mapema sana na tulimtetea kadri inavyowezekana dhidi ya kundi la wahuni.Yoyote anayejidai kumpenda Magufuli sasa ni mnafiki...
The issue centers around a proposed U.S. Senate bill called the "Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act", introduced by U.S. Senators Jeanne Shaheen and Ted Cruz in May...
Wanabodi,
Hili ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, nikitoa pongezi kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Deodatus Balile, kwa uzalendo wake kuhusu kile kilichotokea...
Mheshimiwa Balozi Dr Nchimbi hongera kwa kutuwakilisha kule Brazili kwa miaka mitano. Sijajua Kama umefanya vizuri au laah. Wateuzi wanajua.
Karibu nyumbani Balolozi. Nikupe pia pole kwa...
Kiukweli PM unafanya kazi nzuri sana za kutatua kero za wananchi..
Ukitangaza tu ziara sehemu yoyote kiukweli watendaji wa serikali wanawajibika kwa wananchi 100%..juzi ulitangaza kwenda mkoa X...
Huenda hawakujua kwamba wanajiandalia mateso makali na mahangaiko yasiyo na faida wanayopitia hivi sasa kisiasa.
Halafu mbaya zaidi,
nonsense ya No reform No elections ndio inawaathiri na...
Hatuna wasi kuhusu Saba Saba.
Lakini October 29 pia hatukuwa na wasiwasi, lakini ikatokea balaa iliyotokea.
Mpaka sasa watu wanaongea tu inaonekana hawajaamua wafanye nini Saba Saba.
Tunasubiri...
Daa maisha yanabadilika sana ila Nimecheka sana hapo anaposema Waliofahamiana Wakiwa Watumishi wameblock namba zake isipokuwa RC mmja tuu 😁😁😁😁.
Maisha ya Watanzania ndio yalivyo yanazungukwa na...
Hizi mambo zichunguzwe aiseeeeee
Huu ujumbe naona una circulate kwenye makundi kadhaa huko whatsap nadhan huyu ndo britanicca wa hapa au wapo tofauti ?
RPC wa mkoa wa Pwani, ACP Salim Morcase amezuia shughuli za Chadema za uzinduzi wa vizimba iliyokuwa ifanywe na Katibu Mkuu John Mnyika asubuhi ya leo Jumamosi, Juni 13, 2026.
RPC huyo...
Swali dogo, kama ambavyo tunaona CCM imeshaingia mikonon mwa mtu mmoja,
Chama kikuu Cha upinzani kina
Kina ubavu wa kumwondoa mwenyekiti wake madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia...
Naanza na ushauri Kwa msajili wa vyama USITHUBUTU KUIFUTA CHADEMA, WAACHE WACHOKE WENYEWE KAMA ILIVYOKUWA NCCR NA CUF Sisi ni nchi ya utawala wa kidemokrasia
Kwa makosa yanayoshabihiana na ugaid...
Mpumbavu hawez kujiona kamwe namaanisha nini
Katika kikao cha Umoja wa mataifa huru ya Africa ukianza mjadala wa kuhusu viongozi wa Africa kuacha udictator utayasikia kabisa mawazo mazuri ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.