Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna vitu vinafanana sana lakini viko mbali kabisa. Hekima imefanana sana busara lakini ni vitu viwili tofauti. Hekima ni karma ya Roho Mtakatifu, inatoka kwa Mungu. Busara ni akili ya kibinadamu...
7 Reactions
8 Replies
432 Views
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo! Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya...
11 Reactions
41 Replies
5K Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), Machi 12, 2026 ikitembelea na kukagua ujenzi wa jengo jipya la ghorofa...
0 Reactions
1 Replies
131 Views
Staki niongee mengi hata kidogo naomba ukiingia KAZINI kesho ULIZIA kile kitabu ambacho wananchi uandikwa MAELEZO ULIZIA kesi ya mtu aliyevunjiwa biashara yake pale kibosho road, akaja kituoni...
5 Reactions
14 Replies
275 Views
DKT. MWIGULU AWASILI MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili ya kuanza ziara ya...
1 Reactions
5 Replies
149 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefanya mazungumzo na Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Yordenis Despaigne Vera, mazungumzo yaliyofanyika...
0 Reactions
3 Replies
140 Views
Serikali ya Tanzania ipo Vitani? Internet ni shida, na Askari kila kila kona Nini kinaendelea? Wananchi tuambiwe kama TFF wameshaingia Mjini ili tusaidie kuwatafuta. Hakuna huduma za Kijamii...
24 Reactions
64 Replies
2K Views
Huyu mwakilishi wa UN sina Imani kutokana na UN ilivyosasa ni kama kikundi fulani cha wahuni na wahuni wanaweza kukitumia pia kuwalizisha wananchi wa nchi ya kusadikika na wasichukue hatua yoyote.
4 Reactions
4 Replies
183 Views
  • Redirect
Wazanzibari wengi sana huwaona waarabu kama watu perfect sana na hupenda kwa namna yoyote kujega ukaribu nao. Sijashangaa kabisa Rais kusema aliyotamka kuhusu kuwapa ndugu zake Mbuga
0 Reactions
Replies
Views
Ukimya wa wakuu wa majeshi juu ya mauaji na utekaji ya halaiki ya watanzania inatupa picha kuwa hatuna viongozi sahihi kwenye jeshi, wanaua nchi. Mambo haya hayavumiliki wamesahau wajibu wao...
4 Reactions
16 Replies
289 Views
Wakati mgogoro wa aridhi unaendelea kweli kama anaejiita amiri jeshi mkuu alishindwa kutoka na kusimama na kusema wamasai hawatikiwi kwenda popote wabaki ngorongoro kauli yake si ilikua inatosha...
6 Reactions
12 Replies
266 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amemjulia hali Diwani wa Kata ya Kidaru, Ndugu Philipo Manguli wa Iramba, mkoani Singida, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa...
1 Reactions
1 Replies
111 Views
Kwenye kabumbu kiungo mchezeshaji akiyumba timu lazima ichezee kichapo ama ifanye vibaya Maziwa ya ng'ombe yako ya aina mbili, fresh na mtindi.. Ukisikia maziwa yamekatika maana yake sio fresh na...
7 Reactions
23 Replies
414 Views
Sasa ni zamu ya Dr. Slaa live on Star TV.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau tuangalie mjadala huo muda huu kuona nini kitajadiliwa na hawa jamaa.
12 Reactions
68 Replies
5K Views
Jeshi la Polisi limesema kuanzia leo tarehe 29 mwisho wa watu kuwa nje ni saa 12 Jioni.
5 Reactions
120 Replies
5K Views
Salaam wakuu, Natumai sote ni wenye Jumapili Njema Karibuni katika Mjadala utakaomulika matukio muhimu ya kisiasa kwa mwaka 2012 kuelekea 2013. Lengo ni kujipima katika siasa za Tanzania na...
12 Reactions
265 Replies
21K Views
Kipindi kinaendelea na kimeanza kama dakika 20 zilizopita.Ni katika kipindi cha Star magazine. Huyu mtu katoka mbali na amepitia magumu mengi sana katika maisha yake. Kwakweli sijaamini masikio...
3 Reactions
45 Replies
12K Views
Kipindi ni jicho letula habari hoja Dr. Slaa alikuwa sahihi kusema Dr. Slaa kusema waandishi wa habari si watafiti hawana uweledi. Mwana JF Paschal Mayalla ndani ya mada. Dr.slaa alisema...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo, Alhamisi Machi 12.2026 imewaachia huru vijana watatu (3) waliokuwa wanakabiliwa na shtaka moja la uchomaji wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Back
Top Bottom