Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,161
Kilichotokea kwa polepole ni sawa na lowasa.
Polepole aliambiwa tangulia tunakuja, anza kwa kuandika barua ya kujiuzulu, wewe ndiyo utaongoza mapambano. Jamaa kavuka mto akajikuta yupo peke yake.
Lowasa aliambiwa tangulia chadema tunakuja akajikuta yupo na mgeja, mgana msindai na guninita
Wenzake wale walomwambia tangulia ndo wakawa wanamcheka
Aliyemchoma H. P ni Mzee butiku. Huyu ni miiongoni mwa walomwambia jamaa atangulie
 
Kilichotokea kwa polepole ni sawa na lowasa.
Polepole aliambiwa tangulia tunakuja, anza kwa kuandika barua ya kujiuzulu, wewe ndiyo utaongoza mapambano. Jamaa kavuka mto akajikuta yupo peke yake.
Lowasa aliambiwa tangulia chadema tunakuja akajikuta yupo na mgeja, mgana msindai na guninita
Wenzake wale walomwambia tangulia ndo wakawa wanamcheka
Aliyemchoma H. P ni Mzee butiku. Huyu ni miiongoni mwa walomwambia jamaa atangulie
Basi alikuwa Hana Akili inawezekana vipi ugeuzwe kukubali kuwa chambo

Kama vita ni yetu sote situnapaswa sosi wote tusimame tutangaze kuhusu uwepo wa hiyo vita
 
Kuna wakati nape alianza kuleta za kuleta akaambiwa akae kimya, akaambiwa alishalipwa kwa kazi hizo aache kutoa povu. Maana yake ni kwamba kule hata uwe mkubwa vipi ukitoa siri za huko wanakumaliza, usalama ni kukaa kimya uishi kama ulivyoapa kuwa hutatoa siri
 
Back
Top Bottom