Kiwango cha tofauti ya nchi zote kabisa za Africa hasa za watu weus na nchi zingine ni kikubwa kwa kila eneo.
Maendeleo, ugunduzi, utafiti, siasa, elimu hata michezo.
Muda wote wenzetu kuanzia...
Lugha pekee watakayoielewa ccm ni ile ya Octoba 29.
Lugha iliyozungumzwa na watanzania siku ya uchaguzi mkuu octoba 29/2025 ndiyo lugha pekee wanayoielewa CCM hasa CCM mtandao.
1. Kwanza kususia...
Hii Hotuba ya Bajeti ya Upinzani leo Bungeni ni hatari sana ,maana imeonyesha uozo mkubwa sana wa serikali katika maeneo yafuatayo;
1. Vitabu vya mapato na matumizi havibalance
2. Bajeti sio...
Wanabodi,
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuna "kirusi" ndani ya Chadema ambacho kinakitafuna Chadema ndani kwa ndani kwa mtindo wa Kikulacho!.
Je unakijua kirusi...
Hongera Chadema safisha uchafu, msicheke na kima yeyote mtavuna mabua.
Chama ni kikubwa kuliko mwanachama, walikuwepo kina Zitto, Mkumbo, akaondoka Mbowe na G55 yake bado chama kinasonga, sembuse...
Ninakumbuka Musiba aliwahi kusema baada ya Lissu na Hche kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa Chadema kuwa CCM wajiandae na siasa ngumu kutokana na haiba ya hawa watu.
Ni kweli tumeyaona utabili wake...
Akizungumza na wanahabari usiku wa kuamkia leo Alhamisi, Julai 9, 2026, Katibu wa CHADEMA mkoani humo Barnabas Okola ameeleza kuwa viongozi wa Chadema ni binadamu na siyo malaika, na hivyo...
HAWASEMI NI FEDHA GANI HIZO ALIZOKULA M/M/KITI CHADEMA JOHN HECHE? KIVIPI NA WAPI? NI MANENO MATUPU YA HEWANI TU!
VERY POOR PLANNED STRATEGY!!
Nimewaza na kuwazua...
Nikajiuliza hivi hizi fedha...
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama.
Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama.
Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa...
Yote haya ni kuokota okota tu watu kushika nafasi
Uzuri wangu si Mekko wala Samia amewahi niongoza nimetoka Tanzania 2015 Mwishoni ,
Ila kupitia watu wanaoishi Tanzania na Wengine ni wakubwa...
jamiiforum inaiwakilisha jamii katika uhalisia wake kwenye jambo lolote lile .. Utafiti wowote unaofanyika hapa matokeo yake ndio uhalisia uliopo kwenye jamii
Sasa kuelekea maandamano ya 77...
Mwenyekiti Mheshimiwa Tundu Lissu na Makamu Mheshimiwa John Heche, sisi watanzania tupo nyuma yenu. Mungu wa mbinguni aliye hai, asiyesinzia yupo pamoja nanyi. Mungu baba yetu ni Mungu wa haki na...
Nianze na nukuu hii ambayo ni mtazamo/msimamo wangu mimi mwenyewe kama mwandishi wa andiko hili👇🏽
"There is no a loyal Politician in a presence of Iternal Party Political Vacuum...".Swali hapa...
Lengo letu ni kuwashirikisha watu wengi kama sio wote kwenye majimbo yote.
Ili waweze kupewa elimu kuhusu umuhimu wa kutunza na kuhifadhi Mazingira Kwa muda mfupi.
Tena tutaweza kuwashirikisha...
Nyerere, Amani Karume wote walikuwa wanaharakati na ndio Mababa wa Taifa letu, tunaanzaje kushetanisha uwanaharakati wakati Taifa letu limejengwa na wanaharakati." Askofu Bagonza akichangia kwenye...
Mwalimu wa Sekondari Mbeya aripotiwa kushikiliwa na Polisi kwa zaidi ya wiki tatu Mwalimu wa Shule ya Sekondari Itunge iliyopo wilayani Kyela, mkoani Mbeya, Anyambilile Ibrahim Mwamwile...
Mmemsikia akipayuka maneno ambapo hata akiulizwa ameongea nini, hajui.
Anasema wanaharakati ni sawa na magaidi. Kwa hiyo Nyerere na wenzake waliopigania uhuru wetu walikuwa ni magaidi?
Tangu...
Ni wazi sakata la rushwa na ufisadi wa mali za chama ndani ya Chadema taifa ni kaa la moto, na sasa limechukua sura mpya baada ya viongozi wa chadema ngazi mbalimbali kuanza kuonja joto ya jiwe...
Nimetaarifiwa rasmi kuwa karibu watu wote waliotekwa wamkwishakufa, kutokana na mateso, kuugua kwa sabababu ya majeraha wakati wa kutekwa kwao na pia wengine wawili walikufa kutokana na sonona ya...