Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kiwango cha tofauti ya nchi zote kabisa za Africa hasa za watu weus na nchi zingine ni kikubwa kwa kila eneo. Maendeleo, ugunduzi, utafiti, siasa, elimu hata michezo. Muda wote wenzetu kuanzia...
4 Reactions
5 Replies
141 Views
Lugha pekee watakayoielewa ccm ni ile ya Octoba 29. Lugha iliyozungumzwa na watanzania siku ya uchaguzi mkuu octoba 29/2025 ndiyo lugha pekee wanayoielewa CCM hasa CCM mtandao. 1. Kwanza kususia...
19 Reactions
62 Replies
1K Views
Hii Hotuba ya Bajeti ya Upinzani leo Bungeni ni hatari sana ,maana imeonyesha uozo mkubwa sana wa serikali katika maeneo yafuatayo; 1. Vitabu vya mapato na matumizi havibalance 2. Bajeti sio...
5 Reactions
135 Replies
45K Views
Wanabodi, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuna "kirusi" ndani ya Chadema ambacho kinakitafuna Chadema ndani kwa ndani kwa mtindo wa Kikulacho!. Je unakijua kirusi...
28 Reactions
629 Replies
59K Views
Hongera Chadema safisha uchafu, msicheke na kima yeyote mtavuna mabua. Chama ni kikubwa kuliko mwanachama, walikuwepo kina Zitto, Mkumbo, akaondoka Mbowe na G55 yake bado chama kinasonga, sembuse...
31 Reactions
74 Replies
1K Views
  • Redirect
Ninakumbuka Musiba aliwahi kusema baada ya Lissu na Hche kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa Chadema kuwa CCM wajiandae na siasa ngumu kutokana na haiba ya hawa watu. Ni kweli tumeyaona utabili wake...
4 Reactions
Replies
Views
Akizungumza na wanahabari usiku wa kuamkia leo Alhamisi, Julai 9, 2026, Katibu wa CHADEMA mkoani humo Barnabas Okola ameeleza kuwa viongozi wa Chadema ni binadamu na siyo malaika, na hivyo...
2 Reactions
87 Replies
1K Views
HAWASEMI NI FEDHA GANI HIZO ALIZOKULA M/M/KITI CHADEMA JOHN HECHE? KIVIPI NA WAPI? NI MANENO MATUPU YA HEWANI TU! VERY POOR PLANNED STRATEGY!! Nimewaza na kuwazua... Nikajiuliza hivi hizi fedha...
9 Reactions
9 Replies
273 Views
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama. Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama. Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa...
7 Reactions
164 Replies
2K Views
Yote haya ni kuokota okota tu watu kushika nafasi Uzuri wangu si Mekko wala Samia amewahi niongoza nimetoka Tanzania 2015 Mwishoni , Ila kupitia watu wanaoishi Tanzania na Wengine ni wakubwa...
13 Reactions
27 Replies
469 Views
  • Poll Poll
jamiiforum inaiwakilisha jamii katika uhalisia wake kwenye jambo lolote lile .. Utafiti wowote unaofanyika hapa matokeo yake ndio uhalisia uliopo kwenye jamii Sasa kuelekea maandamano ya 77...
17 Reactions
106 Replies
2K Views
Mwenyekiti Mheshimiwa Tundu Lissu na Makamu Mheshimiwa John Heche, sisi watanzania tupo nyuma yenu. Mungu wa mbinguni aliye hai, asiyesinzia yupo pamoja nanyi. Mungu baba yetu ni Mungu wa haki na...
6 Reactions
16 Replies
406 Views
Nianze na nukuu hii ambayo ni mtazamo/msimamo wangu mimi mwenyewe kama mwandishi wa andiko hili👇🏽 "There is no a loyal Politician in a presence of Iternal Party Political Vacuum...".Swali hapa...
0 Reactions
14 Replies
228 Views
Lengo letu ni kuwashirikisha watu wengi kama sio wote kwenye majimbo yote. Ili waweze kupewa elimu kuhusu umuhimu wa kutunza na kuhifadhi Mazingira Kwa muda mfupi. Tena tutaweza kuwashirikisha...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Nyerere, Amani Karume wote walikuwa wanaharakati na ndio Mababa wa Taifa letu, tunaanzaje kushetanisha uwanaharakati wakati Taifa letu limejengwa na wanaharakati." Askofu Bagonza akichangia kwenye...
6 Reactions
8 Replies
201 Views
  • Redirect
Mwalimu wa Sekondari Mbeya aripotiwa kushikiliwa na Polisi kwa zaidi ya wiki tatu Mwalimu wa Shule ya Sekondari Itunge iliyopo wilayani Kyela, mkoani Mbeya, Anyambilile Ibrahim Mwamwile...
0 Reactions
Replies
Views
Mmemsikia akipayuka maneno ambapo hata akiulizwa ameongea nini, hajui. Anasema wanaharakati ni sawa na magaidi. Kwa hiyo Nyerere na wenzake waliopigania uhuru wetu walikuwa ni magaidi? Tangu...
3 Reactions
3 Replies
106 Views
Ni wazi sakata la rushwa na ufisadi wa mali za chama ndani ya Chadema taifa ni kaa la moto, na sasa limechukua sura mpya baada ya viongozi wa chadema ngazi mbalimbali kuanza kuonja joto ya jiwe...
1 Reactions
12 Replies
194 Views
Nimetaarifiwa rasmi kuwa karibu watu wote waliotekwa wamkwishakufa, kutokana na mateso, kuugua kwa sabababu ya majeraha wakati wa kutekwa kwao na pia wengine wawili walikufa kutokana na sonona ya...
33 Reactions
83 Replies
2K Views
Yaan unaweka akina babu tale Bungeni unemfumga Lissu huu ni upuuzi Likitokea jambo tusianze kufufua nyuzi achia Lissu
5 Reactions
6 Replies
182 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…