Ndugu Madereva wa Bodaboda, Bajaji, Daladala, Mabasi ya Mikoani, Wamiliki wa Magari, na Vijana wote wa Tanzania,
Salamu za amani na mshikamano.
1. UTANGULIZI
Hii ni taarifa rasmi kutoka kwa...
Asanteni Wana Dar es salaam kwa kutomtii Katambi, hamjafanya biashara kama siku zingine, ishara nchi haiko kwenye amani. Another loss kwenye utawala wa Samia hadi hii ifirisike.
KISWAHILI NI URITHI NA NGUZO YA UMOJA AFRIKA MASHARIKI, VIONGOZI WATOA WITO WA HATUA ZA VITENDO.
Maadhimisho ya 5 ya Siku ya Kiswahili Duniani yamefikia kilele jijini Bujumbura, Burundi, huku...
Ninaitwa Daniel Yohana Mussa, na napenda kuweka wazi kuwa ninaungana na kauli za Karori Jacob kuhusu umuhimu wa Jeshi la Polisi kuwatambua waandishi wa habari na kuwapa ushirikiano wanapotekeleza...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema hali ya nchi ni salama akiwashukuru Watanzania kwa kutunza amani.
Waziri Katambi ameyasema hayo alasiri ya leo Jumanne, Julai 7, 2026 baada ya...
Jeshi la Polisi Tanzania limesema limepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari na wananchi wakitaka kufahamu hali ya usalama nchini, na limethibitisha kuwa hali ya usalama inaendelea kuwa...
WAZIRI MKUU: TUTAFUTE MBINU MPYA ZA KUKIENEZA KISWAHILI
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ya kimataifa...
Wanabodi,
Hili ni Hakikisho la Kiusalama, kesho hali ni shwari kabisa, usalama umeimarishwa!, Umetolewa Mwito, Wananchi tujitokeze kwa wingi, kwenye Maonesho ya Saba Saba!.
============
Mheshimiwa...
Wakuu, nipende kuwatangazia kuwa siku ya tarehe 9 ya mwezi wa 9 (9/9), kutakuwa na maandamano makubwa Tanzania nzima.
Maandamano haya yatakuwa yakushtukiza, yaani Kila mtanzania ataweka hii...
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema agenda ya sekta binafsi siyo tu agenda ya sekta binafsi pekee bali ni agenda muhimu na mtambuka ya taifa...
HONGERENI CHADEMA, MMEWAITA NA WAMEJAA KWENYE TARGET KWA MARA YA PILI
Haina shaka yoyote tena kuwa tishio la kuifungia CHADEMA kwa kumtumia Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa Sisty Nyahoza na...
Kutokana na tishio la Maandamano Makubwa kufanyika Nchi nzima tarehe 7.7 ni wazi kabisa sasa kwamba Maonesho ya kimataifa ya biashara yanayofanyika kila mwaka na kufikia kilele chake July 7...
Januari 16, 2026
WASHINGTON, D.C. — Ikikabiliwa na uangalizi wa kimataifa kufuatia matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025 ulioharibu sifa yake, Serikali ya Rais Samia imezindua...
Wakuu,
Katika ulimwengu wa siasa na diplomasia za kimataifa, taswira ni kila kitu. Lakini taswira hiyo inagharimu kiasi gani, na ni nani anayelipa ankara hiyo?
Uchunguzi wa kina umebaini...
Wakuu umuofia kwenu!
Nawasilimu kwa jina la Tanzania......
Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap"
Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza...
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameihimiza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuacha kutegemea ukusanyaji wa mapato pekee na badala yake kukumbatia ubia kati ya...
Ameandika Dr. Godbless Charles
Na: Godbless Charles
Kwa Watanzania wengi, tarehe 7 Julai ni siku ya kumbukumbu ya kihistoria. Lakini kwa wachumi, wafanyabiashara na wawekezaji, tarehe hiyo ni...
Leo hii ilitangazwa kuwa itakuwa ni siku ya maandamano nchi mzima.
Huyo admin wa hayo maandamano inaonekana anatumia akili nyingi sana huku akiiacha serikali ikiandaa ulizi wakidhania watakutana...
Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.