Wakuu, nipende kuwatangazia kuwa siku ya tarehe 9 ya mwezi wa 9 (9/9), kutakuwa na maandamano makubwa Tanzania nzima.
Maandamano haya yatakuwa yakushtukiza, yaani Kila mtanzania ataweka hii...
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema agenda ya sekta binafsi siyo tu agenda ya sekta binafsi pekee bali ni agenda muhimu na mtambuka ya taifa...
HONGERENI CHADEMA, MMEWAITA NA WAMEJAA KWENYE TARGET KWA MARA YA PILI
Haina shaka yoyote tena kuwa tishio la kuifungia CHADEMA kwa kumtumia Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa Sisty Nyahoza na...
Kutokana na tishio la Maandamano Makubwa kufanyika Nchi nzima tarehe 7.7 ni wazi kabisa sasa kwamba Maonesho ya kimataifa ya biashara yanayofanyika kila mwaka na kufikia kilele chake July 7...
Januari 16, 2026
WASHINGTON, D.C. — Ikikabiliwa na uangalizi wa kimataifa kufuatia matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025 ulioharibu sifa yake, Serikali ya Rais Samia imezindua...
Wakuu,
Katika ulimwengu wa siasa na diplomasia za kimataifa, taswira ni kila kitu. Lakini taswira hiyo inagharimu kiasi gani, na ni nani anayelipa ankara hiyo?
Uchunguzi wa kina umebaini...
Wakuu umuofia kwenu!
Nawasilimu kwa jina la Tanzania......
Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap"
Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza...
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameihimiza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuacha kutegemea ukusanyaji wa mapato pekee na badala yake kukumbatia ubia kati ya...
Ameandika Dr. Godbless Charles
Na: Godbless Charles
Kwa Watanzania wengi, tarehe 7 Julai ni siku ya kumbukumbu ya kihistoria. Lakini kwa wachumi, wafanyabiashara na wawekezaji, tarehe hiyo ni...
Leo hii ilitangazwa kuwa itakuwa ni siku ya maandamano nchi mzima.
Huyo admin wa hayo maandamano inaonekana anatumia akili nyingi sana huku akiiacha serikali ikiandaa ulizi wakidhania watakutana...
Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku...
Licha ya hali ya hewa kua na mvua za hapa na pale maeneo mengine ya Dar Es Salaam, hali ya kiusalama ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kama kawaida, NYOMI LA SABASABA...
======================
Gwajima alimuonya Samia, ni rahisi sana kuiba kura kwa Bunduki
Lakini ni ngumu sana kutawala nchi kwa kupitia uchaguzi wa kutumia Bunduki
Aliwaambia CCM wazi pia kwamba...
Akili ndogo ya tafakari kama mwanazuoni wa siasa za kikanda au kiuchumi na kiulinzi na kiusalama inakupeleka kwenye hitimisho moja muhimu sana.
Tanzania imekuwa "under attack" kwa muda mrefu sana...
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...
Lakini hadi hivi...
Moja ya sifa ya tishio la ugaidi ni kuzuia shughuli kuacha kufanyika.
Iwe kwenda sokoni, kanisani, kwenye biashara ama kukusanyika kwa namna yeyote ile.
Kinachotokea sasa kuhusu maandamano na...
Watoto wetu wanarudishwa majumbani kwa tarifa ya kupisha maandamano
Kama ndivyo, serikali haioni ni wakati mwafaka kuwatangazia waandamaji kuwa ni ruksa na kwamba jeshi la polisi litayalinda...
In general wote tunajua palipo na vurugu au tishio la amani hata Hela huwa tunakosa sehemu ya kuzitumia lakini mtu anazungumzia mapato ya nchi huu ni ujinga kwakweli.
Sasa hebu jiulizeni inamaana...
Leo ndo nimeamini akili ndogo haiwezi kushinda akili kubwa. Maandamano yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Mauaji yameandamana yakiwa na mitutu ya bunduki kwa niaba yetu na kusimamisha uchumi.
Wafuasi wa Chadema wanahitaji tiba akili, otherwise tutakuwa na watu wenye upungufu wa afya ya akili wengi sana nchini na Africa mashariki.
Imagine from nowhere mtu anaanza kutukana watu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.