Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama dangote ameamua kwenda kujenga crude oil refinery lamu ni sawa kama nchi hatujashindwa bado tutafute mwekezaji mwingine wa kujenga crude oil refinery Tanga hatujashindwa bado
4 Reactions
14 Replies
203 Views
Msanii wa Bongo Fleva Selemani Msindi(Afande Sele), amesema Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio amani. Amesisitiza watu wapewe kilichofanya watake kuandamana. Kasema wanaingiziwa Posho na...
8 Reactions
19 Replies
584 Views
Hii ndio Taarifa Mpya iliyovuja hivi punde kutoka kwenye chanzo cha kuaminika Mkakati uliopa sasa ni kuanzia kwa Maandamano hayo ya amani kutokea ndani ya Uwanja huo Haijulikani baada ya kuanza...
19 Reactions
58 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesisitiza kuwa utulivu wa nchi ndiyo sifa kuu na ya kwanza inayovutia wawekezaji, kabla hata ya kuangalia masuala mengine...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Kumekuwa na kufeli kwa mission nyingi za kukiondoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo katika uso wa siasa zetu, majaribio yote yameishia kuwa kituko cha awamu husika, propaganda za kitoto dhidi...
12 Reactions
24 Replies
288 Views
Kwa mara nyingine tena, wapigania haki wa Tanzania tumeonesha nguvu yetu kwa watawala haram very clearly. Hakuna ubishi kwamba sisi hatuna hata manati, lakini (for more than a week now)...
19 Reactions
22 Replies
732 Views
JUMA KIBO Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Rungwe mkoani Mbeya Juma Kibo amesema amechelewa kujiunga na upinzani kutokana na propaganda za chama cha...
2 Reactions
5 Replies
137 Views
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku Mabadiliko ya...
12 Reactions
90 Replies
2K Views
Mie nawashauri kwamba kesho msiandamane. Hakuna haja ya kukabili askari wauaji ambao wanaamriwa na watu wasio na akili timamu wa-shoot waandamanji hadi kuua. Mkiuwawa haimtaisaidia hii nchi na...
13 Reactions
55 Replies
842 Views
Kitendo hiki kinakera sana. Yaani raia wanaolipa kodi zao ili ustawi wa taifa lao ukae vizuri. Imekuwa kosa kukosoa na kuhoji juu ya mustakabari wa taifa lao! Kila anayehoji na kupinga ufisadi...
2 Reactions
2 Replies
54 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati akizungumza katka mahojiano yaliyorushwa Julai 8, 2026 na M & S Podcast "Kwa hiyo watu wafanye kazi zao, na...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
1. Baada ya octoba 29 iliyotengenezwa na kuratibiwa na serikali yake alisema mbona nasisi Zanzibar yalitokea haya haya (wakati wa mkapa akimaanisha) mbona nyie hamkupiga kelekele. Kwahiyo KWAAJILI...
14 Reactions
25 Replies
559 Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza, amesema "Vijana wengi katika taifa letu wanabaguliwa katika michakato ya kisiasa kwa...
0 Reactions
0 Replies
83 Views
TOP 10 YA NCHI ZENYE VURUGU ZAIDI AFRIKA (2025–2026) Orodha hii inazingatia migogoro ya silaha, ugaidi, mapinduzi, vita vya wenyewe kwa wenyewe na kiwango cha ukosefu wa usalama. 1. Sudan Vita...
0 Reactions
3 Replies
161 Views
CHADEMA kwa sasa imeendelea kutikiswa na migogoro mbalimbali ya ndani ambayo imevuta hisia za wanachama na umma kwa ujumla. • Kumekuwa na kesi na mjadala kuhusu mgawanyo wa mali za chama. •...
1 Reactions
1 Replies
71 Views
Ni wazi kwenye uchaguzi mkuu wa Oct.2030, vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na chama chao watakataliwa wazi wazi kabisa na wapiga kura, hasa baada ya kujibainisha na kujitambulisha wazi kwamba...
2 Reactions
81 Replies
517 Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewapongeza Watanzania kwa kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano wa nchi huku wakipuuza wito wa baadhi ya watu wanaochochea vitendo vya...
1 Reactions
16 Replies
259 Views
Wakuu wa jukwaa, Leo ningeomba tukumbushane, ni nini hasa kilisababisha vurugu za mwembechai mwaka 1998? Wakina nani walikuwa nyuma ya tukio lile? Wangapi walipoteza maisha? Je kuna askari ambao...
24 Reactions
489 Replies
83K Views
Hili ndilo Swali ambalo Wadau wa Ndani na Nje ya Nchi (Ikiwemo Kenya) Wanajiuliza., kwamba inakuwaje mpaka sasa wadau hawa wa Maendeleo na demokrasia ya Tanzania wamenyamaza? Je ni kweli Tajiri...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimedai kuwa viongozi wake wanne kutoka mikoa ya Tanga na Manyara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, kikieleza kuwa walikamatwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
66 Views
Back
Top Bottom