Kwako ,
Rais wetu Dkt. Samia Suluhu na Serikali kwa ujumla,
Nakusalimu kwa jina la JMT,
Nina ushauri wa kudhibiti hali ya tishio la maandamano la mara kwa mara. Katika matishio hayo...
Kwenye moja ya hoja moto kwa viongozi wa serikalini hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa siku za karibuni ni Amani.
Hebu tujadili hivi Tanzania kweli hakuna Aman kiasi cha nchi kuwa na...
Mtangazaji wa EFM anasema kwa hapa tulipo siasa hazina maana, waliopo madarakani wachape kazi, Je, hawa watangazaji waanze kupimwa akili kabla ya kupewa vipasa sauti?
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema matukio ya utekaji nchini yameanza kuwa jambo la kawaida, akieleza kuwa yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote...
Nashangaa sana kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wanaishi Kenya. Je, nani anaowahifadhi na nani anaowafadhiri hao wanaharakati?
Je, huyo anayewafadhiri yeye ananufaika na nini na...
1. Mara nyingi huwa najiuliza hivi kweli chadema wanajua wanataka nini? Mara nyingi wamekuwa wanachagua njia yenye miba sana kwa wafuasi wao ili wakijichoma wao wapige kelele
2. Kwanza lazima...
Natoa Pole za Dhati kwa CHADEMA kwa kuondokewa na mwanafamilia ambaye alikua dereva wa Dereva wa John Heche Kama ni Dereva wa John Heche na Mtu Wa mwisho kuonekana na Marehemu ni John Heche hakika...
Kanusho bodaboda,bajaj na daladala hawaja tangaza kuuunga maandamano aidha wanawasihi wananchi kuyapinga kqa kuwa wao bila watu kwenda kutafuta hawapati chochote kitu
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake.
Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake.
Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
Ni ukweli ulio wazi sasa hivi wakuu wa taasisi za serikali ikiwemo TANESCO wanamdharau huyu Rais ndiyo maana wanamhujumu, wanamchonganisha kwa wananchi aonekane ameshindwa kuongoza.
TANESCO...
Hamjambo!
Moja ya mambo ambayo CCM na serikali inajiamini nayo ni pamoja na falsafa ya ngoma ya watoto haikeshi. Wengine huita nguvu ya soda.
Na sasa kwenye Mpira wa Afrika kuna kushikilia Bomba...
Ni mara ngapi umepiga simu kwenye Taasisi na simu haikupokelewa?
Ni mara ngapi umetuma ujumbe na hukujibiwa?
Ni mara ngapi umepiga simu na number haipatikani sasa unajiuliza kwanini waliweka...
Kizazi cha Waandishi wa Habari Takamwili Kuna tofauti kati ya mtu asiyejua (mjinga) na mtu anayechagua kutokujua kwa manufaa yake binafsi (mnafiki). Huu ni ugonjwa wa njaa ya njaa ya akili na...
Dr. Zack,
Mchambuzi wa Siasa
Tanzania imeandika ukurasa mwingine wa kujivunia katika historia yake ya kudumisha amani na utulivu, baada ya wananchi kuendelea na shughuli zao za kawaida licha ya...
Nimefurahishwa sana na tamko la Mzee Dangote la kuamua kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta nchi Kenya na sio kwenye nchi iliyojaa wauaji.
Hipo wote hongereni sana kwa kuijenga nchi
Soma pia...
1. Anzisha mchakato wa katiba usio wa kisiasa. Yaani fanya kama Kenya katiba iandikwe na wataalamu bila kupendelea kabila wala chama chochote
2. Fukuza wakuu wote wa vyombo vya usalama. Omba...
Wanabodi
Rwanda na Uganda ndizo nchi mbili pekee kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC katika orodha ya nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.