Kama dangote ameamua kwenda kujenga crude oil refinery lamu ni sawa kama nchi hatujashindwa bado tutafute mwekezaji mwingine wa kujenga crude oil refinery Tanga hatujashindwa bado
Hii ndio Taarifa Mpya iliyovuja hivi punde kutoka kwenye chanzo cha kuaminika
Mkakati uliopa sasa ni kuanzia kwa Maandamano hayo ya amani kutokea ndani ya Uwanja huo
Haijulikani baada ya kuanza...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesisitiza kuwa utulivu wa nchi ndiyo sifa kuu na ya kwanza inayovutia wawekezaji, kabla hata ya kuangalia masuala mengine...
Kumekuwa na kufeli kwa mission nyingi za kukiondoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo katika uso wa siasa zetu, majaribio yote yameishia kuwa kituko cha awamu husika, propaganda za kitoto dhidi...
Kwa mara nyingine tena, wapigania haki wa Tanzania tumeonesha nguvu yetu kwa watawala haram very clearly.
Hakuna ubishi kwamba sisi hatuna hata manati, lakini (for more than a week now)...
JUMA KIBO Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Rungwe mkoani Mbeya Juma Kibo amesema amechelewa kujiunga na upinzani kutokana na propaganda za chama cha...
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku
Mabadiliko ya...
Mie nawashauri kwamba kesho msiandamane. Hakuna haja ya kukabili askari wauaji ambao wanaamriwa na watu wasio na akili timamu wa-shoot waandamanji hadi kuua. Mkiuwawa haimtaisaidia hii nchi na...
Kitendo hiki kinakera sana. Yaani raia wanaolipa kodi zao ili ustawi wa taifa lao ukae vizuri. Imekuwa kosa kukosoa na kuhoji juu ya mustakabari wa taifa lao!
Kila anayehoji na kupinga ufisadi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati akizungumza katka mahojiano yaliyorushwa Julai 8, 2026 na M & S Podcast
"Kwa hiyo watu wafanye kazi zao, na...
1. Baada ya octoba 29 iliyotengenezwa na kuratibiwa na serikali yake alisema mbona nasisi Zanzibar yalitokea haya haya (wakati wa mkapa akimaanisha) mbona nyie hamkupiga kelekele. Kwahiyo KWAAJILI...
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza, amesema "Vijana wengi katika taifa letu wanabaguliwa katika michakato ya kisiasa kwa...
TOP 10 YA NCHI ZENYE VURUGU ZAIDI AFRIKA (2025–2026)
Orodha hii inazingatia migogoro ya silaha, ugaidi, mapinduzi, vita vya wenyewe kwa wenyewe na kiwango cha ukosefu wa usalama.
1. Sudan
Vita...
CHADEMA kwa sasa imeendelea kutikiswa na migogoro mbalimbali ya ndani ambayo imevuta hisia za wanachama na umma kwa ujumla.
• Kumekuwa na kesi na mjadala kuhusu mgawanyo wa mali za chama.
•...
Ni wazi kwenye uchaguzi mkuu wa Oct.2030, vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na chama chao watakataliwa wazi wazi kabisa na wapiga kura, hasa baada ya kujibainisha na kujitambulisha wazi kwamba...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewapongeza Watanzania kwa kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano wa nchi huku wakipuuza wito wa baadhi ya watu wanaochochea vitendo vya...
Wakuu wa jukwaa,
Leo ningeomba tukumbushane, ni nini hasa kilisababisha vurugu za mwembechai mwaka 1998? Wakina nani walikuwa nyuma ya tukio lile? Wangapi walipoteza maisha? Je kuna askari ambao...
Hili ndilo Swali ambalo Wadau wa Ndani na Nje ya Nchi (Ikiwemo Kenya) Wanajiuliza., kwamba inakuwaje mpaka sasa wadau hawa wa Maendeleo na demokrasia ya Tanzania wamenyamaza?
Je ni kweli Tajiri...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimedai kuwa viongozi wake wanne kutoka mikoa ya Tanga na Manyara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, kikieleza kuwa walikamatwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.