Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwako , Rais wetu Dkt. Samia Suluhu na Serikali kwa ujumla, Nakusalimu kwa jina la JMT, Nina ushauri wa kudhibiti hali ya tishio la maandamano la mara kwa mara. Katika matishio hayo...
2 Reactions
15 Replies
212 Views
Kwenye moja ya hoja moto kwa viongozi wa serikalini hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa siku za karibuni ni Amani. Hebu tujadili hivi Tanzania kweli hakuna Aman kiasi cha nchi kuwa na...
1 Reactions
2 Replies
95 Views
  • Redirect
Mtangazaji wa EFM anasema kwa hapa tulipo siasa hazina maana, waliopo madarakani wachape kazi, Je, hawa watangazaji waanze kupimwa akili kabla ya kupewa vipasa sauti?
0 Reactions
Replies
Views
Hii nchi kwa sasa hakuna Kiongozi mwenye sauti anaweza kutoka akakemea mambo yanayoendelea kwenye hii Nchi hakasikilizwa kutokana na past zao...
8 Reactions
45 Replies
572 Views
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema matukio ya utekaji nchini yameanza kuwa jambo la kawaida, akieleza kuwa yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote...
1 Reactions
6 Replies
151 Views
Nashangaa sana kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wanaishi Kenya. Je, nani anaowahifadhi na nani anaowafadhiri hao wanaharakati? Je, huyo anayewafadhiri yeye ananufaika na nini na...
2 Reactions
24 Replies
337 Views
1. Mara nyingi huwa najiuliza hivi kweli chadema wanajua wanataka nini? Mara nyingi wamekuwa wanachagua njia yenye miba sana kwa wafuasi wao ili wakijichoma wao wapige kelele 2. Kwanza lazima...
3 Reactions
20 Replies
345 Views
Natoa Pole za Dhati kwa CHADEMA kwa kuondokewa na mwanafamilia ambaye alikua dereva wa Dereva wa John Heche Kama ni Dereva wa John Heche na Mtu Wa mwisho kuonekana na Marehemu ni John Heche hakika...
3 Reactions
51 Replies
1K Views
Kanusho bodaboda,bajaj na daladala hawaja tangaza kuuunga maandamano aidha wanawasihi wananchi kuyapinga kqa kuwa wao bila watu kwenda kutafuta hawapati chochote kitu
1 Reactions
9 Replies
169 Views
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake. Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
0 Reactions
2 Replies
55 Views
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake. Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
3 Reactions
3 Replies
64 Views
Ni ukweli ulio wazi sasa hivi wakuu wa taasisi za serikali ikiwemo TANESCO wanamdharau huyu Rais ndiyo maana wanamhujumu, wanamchonganisha kwa wananchi aonekane ameshindwa kuongoza. TANESCO...
1 Reactions
6 Replies
227 Views
Hamjambo! Moja ya mambo ambayo CCM na serikali inajiamini nayo ni pamoja na falsafa ya ngoma ya watoto haikeshi. Wengine huita nguvu ya soda. Na sasa kwenye Mpira wa Afrika kuna kushikilia Bomba...
3 Reactions
10 Replies
153 Views
Ni mara ngapi umepiga simu kwenye Taasisi na simu haikupokelewa? Ni mara ngapi umetuma ujumbe na hukujibiwa? Ni mara ngapi umepiga simu na number haipatikani sasa unajiuliza kwanini waliweka...
0 Reactions
1 Replies
62 Views
Kizazi cha Waandishi wa Habari Takamwili Kuna tofauti kati ya mtu asiyejua (mjinga) na mtu anayechagua kutokujua kwa manufaa yake binafsi (mnafiki). Huu ni ugonjwa wa njaa ya njaa ya akili na...
2 Reactions
0 Replies
91 Views
Dr. Zack, Mchambuzi wa Siasa Tanzania imeandika ukurasa mwingine wa kujivunia katika historia yake ya kudumisha amani na utulivu, baada ya wananchi kuendelea na shughuli zao za kawaida licha ya...
1 Reactions
0 Replies
95 Views
  • Redirect
Nimefurahishwa sana na tamko la Mzee Dangote la kuamua kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta nchi Kenya na sio kwenye nchi iliyojaa wauaji. Hipo wote hongereni sana kwa kuijenga nchi Soma pia...
2 Reactions
Replies
Views
1. Anzisha mchakato wa katiba usio wa kisiasa. Yaani fanya kama Kenya katiba iandikwe na wataalamu bila kupendelea kabila wala chama chochote 2. Fukuza wakuu wote wa vyombo vya usalama. Omba...
11 Reactions
25 Replies
386 Views
Wanabodi Rwanda na Uganda ndizo nchi mbili pekee kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC katika orodha ya nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara...
18 Reactions
94 Replies
3K Views
Back
Top Bottom