Anayemshauri Samia amuweke kizuizini Lissu ni huyu mzee wa GombeYaan unaweka akina babu tale Bungeni unemfumga Lissu huu ni upuuzi
Likitokea jambo tusianze kufufua nyuzi achia Lissu
Ndunia haiko fairHii ni maajabu, imagine product ya Illboru special school iko kizuizini halafu form 4 failure yuko Ikulu...nchi kupata maendeleo hapo ni ndoto, eti mtawala hajui hata exchange rate ya pesa maarufu zaidi duniani kama US dola!!!.
Halafu zero brain linasema maridhiano si uzaifuYanayoendelea kwenye hii nchi yanakera na kuhuzunisha