Mimi ni mmoja wa watu ambao nimemfatilia sana Mwana FA toka akiwa msanii hadi pale alipoanza siasa mwanzon ila baadae nikaja nikaacha.
Sifikirii kua na sitaki kuamini kua Mwana FA niliekua namjua...
Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva liliyofanyika usiku wa kuamkia Julai 11 yalikuwa ya shangwe, burudani na kumbukumbu za safari ya muziki huo. Hata hivyo, tukio lililovuta hisia za wengi halikuwa...
Wana-JamiiForums,
Leo tarehe 9 Julai 2026, tumeshuhudia kile kinachoitwa 'Tamko la Pamoja la Maridhiano' kati ya CCM na ACT-Wazalendo huko Zanzibar. Wakati viongozi wakitabasamu mbele ya kamera...
Anaandika Hilda Newton.
‼️PESA ZA ABDUL NA SARAKASI ZINAZOENDELEA NDANI YA CHAMA‼️
Wakati kiu ya Wananchi kutaka Mabadiliko ndani ya Taifa letu inazidi kuongezeka.
Wakati mpaka leo hatujui...
Mpo salama!
0. Wakati baadhi ya vijana kama kina Lucas wakijiingiza kwenye uchawa kwa sababu ya Woga na tabia za kujidhalilisha. Wanawake wengi sasa wanajiingiza kwenye mapigano ya haki(harakati)...
Magufuli alimfungulia kesi nyingi Lissu na alijua Kuna jinsi hawezi toboa ndo maana vijana kama B…E wakaamua wampige risAsi maana hakuna jinsi ,
Lissu Ana ushawishi mkubwa mno akiwa anajenga...
Sifatiliagi siasa sana ila huyu mwamba kanivutia na kunifanya nipende kufatilia habari zake
1>kusota kote gerezani. hii inaonyesha jamaa hanunuliki kirahisi km walivowanasiasa wengne...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga na Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Lembrus Mchome, amesema wanachama wa chama hicho hawataki kuona ufisadi ukitokea ndani ya chama chao.
Akizungumza...
Katika pitapita zangu leo mtaani, nimekuta watu wakibishana kwamba miaka 30 ya Bongo Fleva pale Mlimani City , Ndugu Yetu Bilionea Lugumi kafadhili hii Show.
Je, ni kweli???
Na Mansour Yussuf Himid.
Leo nami nimeamua kutoa mawazo yangu kupitia kwenye ukumbi huu. Kwa wale wasionifahamu mimi ni Mansoor Yussuf Himid nimezaliwa Novemba 3 mwaka 1967 Kisiwa cha Unguja ni...
Alipoapishwa kuwa rais kutokana na ajali ya kufiwa mtangulizi wake, rais Samia aliahidi mambo mengi mazuri. Alimuita Tundu Lissu na kuongea naye mambo mazuri. Alianza kujitenganisha na utawala...
Kwa sasa inavoonekana CCM imeishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kikubalike kwa watanzania.
Kitendo cha CCM kuishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kuaminiwa na watanzania wakati kikiwa...
Kauli za chuki zinaweza kuzua taharuki, kuvunja mshikamano wa kitaifa na kugeuza tofauti za kisiasa kuwa migogoro ya kijamii. Zinapolenga watu kwa misingi ya kabila, dini, eneo wanakotoka au...
Maandamano yakitokea ina maana rasilimali nyingi zitatumika kuwaamnisha hasa WHO ARE YOU kuwa mambo yapo shwari, wananchi wanampenda Rais wao mpaka wanabujijikwa machozi ya maziwa na asali. Kwa...
Mahakama ya Tanzania ni mali ya watanzania inayohudumiwa na watanzania wote kwa manufaa ya watanzania wote kama ilivyo kwa Serikali na Bunge. Serikali, Bunge na mahakama ni mihimili ambayo lazima...
Anaandika Hilda Newron Chadema huko Facebook
‼️HABARI MBAYA KUTOKA MBEYA‼️
Julai 4, 2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya liliwakamata Viongozi wa CHASO watatu wa Mkoa wa Mbeya kila mmoja...
Baada ya kufanya uchunguzi wa kina na timu yetu toka Lumumba tumegundua kuwa wanaharakati, magaidi na CHADEMA ndio walionzisha zomea zomea wakati mwana FA alipotaka kuwasilisha salamu za serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.