Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uhalifu dhidi ya uhai wa binadamu ni kitendo chochote kiovu kinachokatisha au kuhatarisha maisha ya mtu mwingine kinyume cha sheria na maadili. Vitendo hivi vinasababisha maumivu makubwa, hofu, na...
0 Reactions
2 Replies
50 Views
BALOZI MTEULE WA UJERUMANI AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KWA WAZIRI KOMBO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.)...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata...
6 Reactions
8 Replies
76 Views
Bila huruma ya Samia, hata lami yenye Mashimo isingekuwepo. . Kazi na Utu tunasonga mbele
24 Reactions
72 Replies
1K Views
Katika Nchi ambayo uhusiano wa serikali na wananchi ni wa kikatiba. Uhusiano wa Mwananchi kama muajiri na serikali kama muajiriwa huwezi kuona upuuzi kama huu. Nchi hii wananachi wanachukuliwa...
11 Reactions
54 Replies
600 Views
Kabla ya Dangote kusema anataka kujenga refinery Africa Mashariki serikali ya CCM katika kile ambacho huita ilani ilikuwa ina mpango wowote wa kujenga refinery au Dangote ndio aliwaamsha wakaona...
3 Reactions
17 Replies
159 Views
My Take Chadema ni wapumbavu sijui wanahubiri ukombozi gani wakati Tanu ilishaleta ukombozi 😂😂👇👇 https://www.instagram.com/reel/DbsGl72oHQJ/?igsh=cXJvajNzaTVnZXd6
0 Reactions
1 Replies
36 Views
Wana-JF, Kasi ya siasa za kimataifa hivi sasa inatupa masomo makubwa sana kuhusu nguvu ya sheria na umuhimu wa mifumo imara ya kikatiba. Hivi karibuni, tumeshuhudia Rais wa zamani wa Korea...
1 Reactions
1 Replies
103 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukiwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu Wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Maana yake ni Kuwa Umebeba Dhamana ya Maisha ya Watu. Maana yake ni Kuwa Maisha ya Watu yapo...
1 Reactions
19 Replies
103 Views
Kwa muda sasa Makamanda muhimu ambao ni sehemu ya uongozi wa JWTZ hawajaonekana. Nao ni Meja Jenerali Ibrahim Mhona na Meja Jenerali Mkeremy. Tunataka kujua wapo wapi?
4 Reactions
50 Replies
2K Views
LIVE UPDATES Tshs. 280.000,000/=. Binafsi sidhani kama Chadema kinashindwa kukusanya kiasi hicho pasipo kuwashirikisha wanachama wake na wananchi wa kawaida. Nina uhakika kinaweza kuandika...
47 Reactions
161 Replies
3K Views
Tusiogope kupata kitu Kuna watoto First born yeye ilikuwa sigara na safari larger Second born horizontal engineering Third born ilikuwa Kilimanjaro larger Fourth yeye music Kwenda mbele na...
20 Reactions
48 Replies
853 Views
Naanza KAGERA na KIGOMA- Hii mikoa ilikuwa na utiifu uliotukuka Singida ilitegemewa kitanuka sababu mtoto wao yupo ndani, ila tofauti na mategemeo hali ilikuwa shwari kabisa Njombe na Iringa...
12 Reactions
78 Replies
1K Views
Katibu wa NEC, Organizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Chacha, amesema CCM haina ajenda za kuua watu, kama ambavyo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amekuwa akidai...
1 Reactions
16 Replies
291 Views
Alichoandika Hilda Newton: Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha...
6 Reactions
24 Replies
911 Views
Ukisikia neno Serikali unaweza kudhani wanajua kila kitu wanachokifanya kumbe...
15 Reactions
19 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , Yeye badala ya kuwaita watanzania wenzake...
12 Reactions
57 Replies
3K Views
Kila kukicha serikali inawakamata wahamiaji wanaotoka Ethiopia somalia wakiwa wamefichwa kwenye magari. Lengo lao kubwa kupita kwenda A.kusini wanapita kenya Tanzania wanapita Malawi na...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kada wa Chama cha Mapinduzi CDE Bakari Kazungu akifanya mahojiano na Jambo TV Februari 4, 2026 alisema kuwa kwa mujibu wa ahadi namba 8 ya CCM inayomtaka mwanachama kusema ukweli daima lakini kwa...
4 Reactions
10 Replies
481 Views
  • Redirect
Vyama vya upinzani nchini Namibia vyapinga uteuzi wa jaji katika tume ya uchunguzi ya Tanzania. Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom