Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mimi ni mmoja wa watu ambao nimemfatilia sana Mwana FA toka akiwa msanii hadi pale alipoanza siasa mwanzon ila baadae nikaja nikaacha. Sifikirii kua na sitaki kuamini kua Mwana FA niliekua namjua...
10 Reactions
27 Replies
776 Views
Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva liliyofanyika usiku wa kuamkia Julai 11 yalikuwa ya shangwe, burudani na kumbukumbu za safari ya muziki huo. Hata hivyo, tukio lililovuta hisia za wengi halikuwa...
14 Reactions
34 Replies
804 Views
Wana-JamiiForums, Leo tarehe 9 Julai 2026, tumeshuhudia kile kinachoitwa 'Tamko la Pamoja la Maridhiano' kati ya CCM na ACT-Wazalendo huko Zanzibar. Wakati viongozi wakitabasamu mbele ya kamera...
6 Reactions
6 Replies
249 Views
Anaandika Hilda Newton. ‼️PESA ZA ABDUL NA SARAKASI ZINAZOENDELEA NDANI YA CHAMA‼️ Wakati kiu ya Wananchi kutaka Mabadiliko ndani ya Taifa letu inazidi kuongezeka. Wakati mpaka leo hatujui...
34 Reactions
127 Replies
3K Views
Mpo salama! 0. Wakati baadhi ya vijana kama kina Lucas wakijiingiza kwenye uchawa kwa sababu ya Woga na tabia za kujidhalilisha. Wanawake wengi sasa wanajiingiza kwenye mapigano ya haki(harakati)...
4 Reactions
10 Replies
467 Views
Magufuli alimfungulia kesi nyingi Lissu na alijua Kuna jinsi hawezi toboa ndo maana vijana kama B…E wakaamua wampige risAsi maana hakuna jinsi , Lissu Ana ushawishi mkubwa mno akiwa anajenga...
30 Reactions
53 Replies
3K Views
Sifatiliagi siasa sana ila huyu mwamba kanivutia na kunifanya nipende kufatilia habari zake 1>kusota kote gerezani. hii inaonyesha jamaa hanunuliki kirahisi km walivowanasiasa wengne...
20 Reactions
59 Replies
889 Views
Millennials na GenZ Shikamooo 🤣🤣🤣
1 Reactions
11 Replies
325 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga na Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Lembrus Mchome, amesema wanachama wa chama hicho hawataki kuona ufisadi ukitokea ndani ya chama chao. Akizungumza...
0 Reactions
25 Replies
414 Views
Katika pitapita zangu leo mtaani, nimekuta watu wakibishana kwamba miaka 30 ya Bongo Fleva pale Mlimani City , Ndugu Yetu Bilionea Lugumi kafadhili hii Show. Je, ni kweli???
1 Reactions
3 Replies
197 Views
Na Mansour Yussuf Himid. Leo nami nimeamua kutoa mawazo yangu kupitia kwenye ukumbi huu. Kwa wale wasionifahamu mimi ni Mansoor Yussuf Himid nimezaliwa Novemba 3 mwaka 1967 Kisiwa cha Unguja ni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Alipoapishwa kuwa rais kutokana na ajali ya kufiwa mtangulizi wake, rais Samia aliahidi mambo mengi mazuri. Alimuita Tundu Lissu na kuongea naye mambo mazuri. Alianza kujitenganisha na utawala...
1 Reactions
9 Replies
184 Views
Kwa sasa inavoonekana CCM imeishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kikubalike kwa watanzania. Kitendo cha CCM kuishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kuaminiwa na watanzania wakati kikiwa...
17 Reactions
26 Replies
508 Views
Kauli za chuki zinaweza kuzua taharuki, kuvunja mshikamano wa kitaifa na kugeuza tofauti za kisiasa kuwa migogoro ya kijamii. Zinapolenga watu kwa misingi ya kabila, dini, eneo wanakotoka au...
0 Reactions
3 Replies
154 Views
Huyu buana na anaetumia akaunti Gavana Bilah na Kigogo hawa watu wanaweza kujua mambo mengi sana siku tukijua count za hawa watu kuna Mengi wanajua.
2 Reactions
2 Replies
153 Views
Maandamano yakitokea ina maana rasilimali nyingi zitatumika kuwaamnisha hasa WHO ARE YOU kuwa mambo yapo shwari, wananchi wanampenda Rais wao mpaka wanabujijikwa machozi ya maziwa na asali. Kwa...
7 Reactions
9 Replies
203 Views
Tukio hilo limetokea kwenye usiku wa tamasha la Miaka 30 ya Bongo Flava lilifanyika Mlimani City, Jijini Dar es salaam.
15 Reactions
27 Replies
672 Views
Mahakama ya Tanzania ni mali ya watanzania inayohudumiwa na watanzania wote kwa manufaa ya watanzania wote kama ilivyo kwa Serikali na Bunge. Serikali, Bunge na mahakama ni mihimili ambayo lazima...
5 Reactions
30 Replies
499 Views
Anaandika Hilda Newron Chadema huko Facebook ‼️HABARI MBAYA KUTOKA MBEYA‼️ Julai 4, 2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya liliwakamata Viongozi wa CHASO watatu wa Mkoa wa Mbeya kila mmoja...
1 Reactions
23 Replies
419 Views
Baada ya kufanya uchunguzi wa kina na timu yetu toka Lumumba tumegundua kuwa wanaharakati, magaidi na CHADEMA ndio walionzisha zomea zomea wakati mwana FA alipotaka kuwasilisha salamu za serikali...
2 Reactions
7 Replies
200 Views
Back
Top Bottom