Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://youtu.be/1J1k-Bpi9Vc SWALI KWA JASUSI BUTIKU: TUNAWEZAJE KUPATA NGUVU YA KUVUNJA DUARA LA UHARAMU, UKATILI NA UDHAIFU WA SERIKALI UTOKANAO NA CHAGUZI BATILI MWAKA HADI MWAKA? Taasisi ya...
5 Reactions
1 Replies
189 Views
Simaanishi kusema waliowahi kuwepo nafasi za juu hapo awali warudi, Hawastahili kurudi kwasababu walikigeuza chama kwajili ya maslahi yao. Bila nia ya kubeza wala kupunguza mchango wa yeyote, ni...
3 Reactions
43 Replies
564 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa wananchi wa Iguguno na Wilaya ya Mkalama kwa ujumla kudumisha umoja, upendo na mshikamano.
1 Reactions
31 Replies
430 Views
Chama cha Mapinduzi ni chama cha siasa, lakini ndani yake kinaonekana ni chama cha kifamilia kutokana na historia inavyojionyesha huko nyuma, Kuna baadhi ya Wabunge wake waliofariki kwenye majimbo...
3 Reactions
12 Replies
302 Views
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗚𝗔𝗩𝗔𝗡𝗔 𝗪𝗔 𝗕𝗘𝗡𝗞𝗜 𝗞𝗨𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20, 2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba...
0 Reactions
3 Replies
186 Views
Naanza kwa kutanguliza interest zangu kuwa naipenda Tanzania na Samia nakutakia umalize Urais wako salama 2030 utuachie nchi ikiwa salama. 1 . Baraza lako la mawaziri kuna watu umewaacha ambao...
9 Reactions
32 Replies
869 Views
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, akimtuhumu kuonesha chuki dhidi ya aliyekuwa Balozi...
4 Reactions
10 Replies
398 Views
Hili ni swali muhimu kwa wananchi hivi sasa. Chadema ya sasa chini ya uwenyekiti wa LISSU imejikuta ikihangaika na vurugu na uhaini na usaliti tu kwa Tanzania. Je mbowe anapasha misuli kurejea...
1 Reactions
12 Replies
237 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema hayo akiwa wilaya ya Mkalama mkoani Singida.
0 Reactions
4 Replies
169 Views
Kimya kingi kina mshindo mkuu, Waswahili wanasema. Hivyo ndivyo mikakati inavyopangwa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kurejeshwa kwenye chama hicho kwa mlango wa nyuma kwa...
9 Reactions
56 Replies
1K Views
Akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali ya Tanzania kupitia TPDC inamiliki asilimia 15% katika Mradi wa Crude oil pipeline...
1 Reactions
3 Replies
153 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania, @kenanikihongosi amesema CCM haitapoteza muda kujibu propaganda zinazoenezwa na watu wasiolitakia mema Taifa, badala...
0 Reactions
3 Replies
130 Views
Huyu alikua ni fanyabiashara mashuhuri wa simu za mkononi hapa bongo. Amekamatwa Oman akiwa amemeza kete za sembe, ni kipindi kama cha mwaka sasa alikua amehamia Oman baada ya mambo yake hapa TZ...
6 Reactions
138 Replies
41K Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoani Tanga, Kazungu Bakari Kazungu, amewatolea uvivu vijana wanaojiita wanaharakati, Joseph Yona na Ahmed Kombo, kufuatia tuhuma zao nzito dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa watanzania waliopata bahati kushiriki siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingine mwaka 1995. Lakini Kila miaka inavyosonga mbele naona idadi ya...
1 Reactions
0 Replies
55 Views
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗨𝗡𝗚𝗨𝗠𝗭𝗢 𝗡𝗔 𝗠𝗛𝗔𝗡𝗗𝗜𝗦𝗜 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗨𝗡𝗜 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Wanajamvi; nimeamka nikaona niseme kidogo. Kumekuwa na matukio mawili ambayo yamekuwa yakielezwa kama kigezo cha taswira njema kwa yaliyotokea nchini mwetu wakati na baada ya uchaguzi. Matukio...
2 Reactions
8 Replies
180 Views
Mpango wa maridhiano hautakubalika kwasababu hauna nia njema kwa taifa.Yaani Mama kachagua watu ambao ni majaji wa serikali hiyo hiyo ya CCM pekee kwante kamati ya kutafuta ukweli wakati yeye...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Katika press ya msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameeleza namna ambavyo bandari ya DP World ilivyotatua changamoto ya ajira kwa viajana wasomi wa kitanzania ambapo amesema bandari hiyo...
0 Reactions
4 Replies
138 Views
Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 amesema kuwa Rais Samia alifanya maamuzi makini ya kuingia mkataba wa upangishaji na uendeshwaji wa...
0 Reactions
5 Replies
207 Views
Back
Top Bottom