Licha ya hali ya hewa kua na mvua za hapa na pale maeneo mengine ya Dar Es Salaam, hali ya kiusalama ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kama kawaida, NYOMI LA SABASABA...
======================
Gwajima alimuonya Samia, ni rahisi sana kuiba kura kwa Bunduki
Lakini ni ngumu sana kutawala nchi kwa kupitia uchaguzi wa kutumia Bunduki
Aliwaambia CCM wazi pia kwamba...
Akili ndogo ya tafakari kama mwanazuoni wa siasa za kikanda au kiuchumi na kiulinzi na kiusalama inakupeleka kwenye hitimisho moja muhimu sana.
Tanzania imekuwa "under attack" kwa muda mrefu sana...
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...
Lakini hadi hivi...
Moja ya sifa ya tishio la ugaidi ni kuzuia shughuli kuacha kufanyika.
Iwe kwenda sokoni, kanisani, kwenye biashara ama kukusanyika kwa namna yeyote ile.
Kinachotokea sasa kuhusu maandamano na...
Watoto wetu wanarudishwa majumbani kwa tarifa ya kupisha maandamano
Kama ndivyo, serikali haioni ni wakati mwafaka kuwatangazia waandamaji kuwa ni ruksa na kwamba jeshi la polisi litayalinda...
In general wote tunajua palipo na vurugu au tishio la amani hata Hela huwa tunakosa sehemu ya kuzitumia lakini mtu anazungumzia mapato ya nchi huu ni ujinga kwakweli.
Sasa hebu jiulizeni inamaana...
Leo ndo nimeamini akili ndogo haiwezi kushinda akili kubwa. Maandamano yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Mauaji yameandamana yakiwa na mitutu ya bunduki kwa niaba yetu na kusimamisha uchumi.
Wafuasi wa Chadema wanahitaji tiba akili, otherwise tutakuwa na watu wenye upungufu wa afya ya akili wengi sana nchini na Africa mashariki.
Imagine from nowhere mtu anaanza kutukana watu na...
Kuna mambo yanaendelea ni ya kushangaza, Sasa ona Leo hata kazi za ujenzi wa taifa na uchumi wa individuals hazijafanyika kisa Waandamanaji wamealikana wao wenyewe lakini walioandamana na kwa...
Ingekuwa vyema baadhi ya masheikh hasa wa BAKWATA wajitokeze hadharani kukemea, kulaani na kujitenga na jambo analofanya sheikh Mwaipopo la kukusanya makundi ya kupambana na kufanya mapigano.
Sabasaba ni alama ya biashara, uwekezaji na maendeleo. Ili ifikie malengo hayo kikamilifu, kunahitajika mazingira yenye utulivu, yanayojengwa juu ya utawala wa sheria, mazungumzo ya wazi, na imani...
Rais Samia Suluhu Hassan amejipambanua kuwa mmoja wa viongozi mahiri zaidi katika kusimamia taswira ya nje kwenye siasa za kisasa. Ziara yake ya hivi karibuni katika Hospitali ya Aga Khan...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa na AMANI ya kweli kama viongozi na wananchi tutazingatia kusema UKWELI. Utamaduni wa kusema UONGO umeharibu nchi yetu Kuteka, kuuwa au kuwabambikia kesi...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Lissu ameiomba Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mkurugenzi wa Mashtaka DPP na amlipe fidia kwa...
Communists wanasema na kuwafundisha Africans kwamba colonial governments benefited by exploiting Africans, wanasema kwamba eti investments zote zilizofanywa na serikali za kikoloni afrika...
Nadhani wakati umefika Sasa Tanzania tufute vyama vyote vya siasa na nchi isiwe na Chama chochote cha siasa.
Ujengwe mfumo ambao wananchi wataruhusiwa kuchagua viongozi wao bila ya kupitia vyama...
Hivi ni kweli ni rahisi kulalamika ukiwa nje ya mfumo eti kwa sababu wewe si mnufaika wa moja kwa moja?
Kwa mfano, unaweza kusema mtu fulani ni fisadi. Lakini je, ukipewa nafasi ya huyo mtu, una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.